Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,335
- 113,990
Mwanakijiji,
Hivi ni lini hizo nafasi za kazi hapo BOT zilitangazwa japo magazetini ili watanzania wote wazione au ndiyo kupachikana tu ati kwa sababu baba ni waziri?.
Hivi kuna mtu anaweza kutuletea titles za hawa watoto hapo BOT ili tulinganishe education,experience zao na hizo position? maana kama ni wafagiaji au ni majanitors nafikiri wanaweza kuwa wanaqualify.
Halafu kuna huyu mtoto wa Makama anaitwa January Makamba ambaye mara tu baada ya kumaliza shule kapata kazi IKULU sasa hizo kazi
ni nani anawapatia? na kuna utaratibu gani unatumika kuwaajili hawa watoto ili tujue kuwa qualifications ni kuwa mtoto wa mkubwa tu!! au la?
-Wembe
Wewe hiyo kazi ulitaka apate nani sasa...?