watoto wa kagame museveni kiir garang wanapatikana jeshini hawa wakwetu wanapatikana kwenye mabenki na kwenye show za diamond, JP yatimue yote ndo hayohayo yanashinda humu JF yakitukana.Mbona watoto wa Nyerere hakuna kabisa, sio tu BOT bali hata sehemu nyeti za serikali.Wao walipatikana Jeshini na wengine sikuwahi wasikia wakifanya kazi inayoeleweka. Mwinyi naona watoto wake woote mashavu tu sehemu nyeti zote serikalini.