Pamela na Fredy hata udiwani au ujumbe wa kamati kuu hawana!! Kama sio mnafiki hembu tuambie wafuatao;
Fatma Bulembo-mbunge vitttanda maalumu CCM!!
Amos Makala,kabwagwa ubunge Mvomero ila Kikwete kampa Ukuu wa Mkoa!!
Vita Kawawa,kabwagwa Ubunge Namtumbo ila kapewa Ukuu wa Mkoa na Kikwete!!
Ridhiwani Kikwete-hamna haya ya kufafanua maana huyu ni donb kuliko PM!!
Ashamsupta Mshana,kabwagwa ubunge ila kapewa Ukuu wa Wilaya juzi tu!!
Hussein Mwinyi anajulikana tangu 95 yupo serikalini kama kifurushi tu na uwaziri juu!!
Makongoro Nyerere,yeye hoja za mashiko kwa Taifa ni Kofia oyee,kifimbo oyee na zipu oyeee,hapo bado hajataja ulanzi,komoni,chimpumu na gongo oyeee!!!
List ni ndefu kweli kweli,hapo badu hujaenda BoT na balozi zetu!!!