Watoto wa vigogo na ajira BoT

Watoto wa vigogo na ajira BoT

Mbona sioni flani bin magufuli(uadilifu A) hahaha huyu sasa ndo yule Tabibu tuliekua tukimsubiri haya baba tumbua vijipu uchungu hivyo
 
Salute to BOT, Amathus Lyumba yeye hakupataga nafasi ya kueka mwanae hata mmoja? Only in Tanzania
 
ni chuki au......! Rais kasema wafanyakazi hewa .......... unaelewa maana yake......?

Hakuishia kwenye wafanyakazi hewa. Alienda mbali zaidi akasema kuwa na wale wasio na ulazima wa wa kuwepo na kufanya kazi BOT. Nao waondolewe. Sasa nadhani hao waliotajwa ndo hawana ulazima wa kuwa BOT.
 
Watumbuliwe,

Kama ni wapiga dili, Kama ni waajiriwa hewa, Kama waliajiriwa isivyo halali

Lakini kuanza kuwafitini watoto kwa sababu tu baba zao ni wakubwa au walikuwa watu wakubwa serikalini sio sawa hata kidogo. Mtoto hatakiwi kubeba dhambi za baba yake.

Lawama zinatakiwa kwenda kwa wadahili. Walitumia vigezo gani kuwapa kazi. Nchi za wenzetu ukiomba kazi usipate na unaona ulikuwa na haki ya kuipata hiyo kazi. Wanaweza kurudi nyuma kuangalia kama taratibu zilifuatwa kumpata mwajiriwa.
 
ukweli ni kwamba ajira za BOT zilikua ni za watoto wa vigogo na JPM analijua hili na kwenye listi ya majina aliona hayo majina ya watoto wa vigogo na wengi hawana sifa kabisa ya kukaa hapo BOT. It is not a coincidence kwa watoto wa vigogo kujikuta wote wanafanya kazi taasisi moja....acha watumbuliwe tu.
 
Hata kama wameajiriwa kihali bado kuna shida, wakayatafute hayo halmashauri
 
Yaani nchi hii jamani kila sehemu ni MAJIPU tu,, hayo majina ya watoto wa vigogo mbona huku kwingine hawapo,, kwani Quolification zao woooote zililenga kufanya kazi BOT tu,, hii nchi kweli sehemu zote za ulaji mzr ndio wazee wanatupiamo watoto wao,, pale Bandarini wakati wa Wanatumbuliwa tuliona jina la Mtoto wa Kova,,

Mbona hatuoni majina ya watoto wa vigogo huku kwetu Lindi,, hata ukienda Tandahimba hukuti watoto wao huko kumbe walijiwekea BOT kama sehemu ya Ajira kwa watoto wao ,, Tumbua baba toa Usaa wote ibakie ile BOT aliyoiacha mzee Nyerere iliyojaa uadilifu na yenye mseto mzr wa watumishi kutoka familia zote maskini na tajiri.
 
Yaani nchi hii jamani kila sehemu ni MAJIPU tu,, hayo majina ya watoto wa vigogo mbona huku kwingine hawapo,, kwani Quolification zao woooote zililenga kufanya kazi BOT tu,, hii nchi kweli sehemu zote za ulaji mzr ndio wazee wanatupiamo watoto wao,, pale Bandarini wakati wa Wanatumbuliwa tuliona jina la Mtoto wa Kova,,

Mbona hatuoni majina ya watoto wa vigogo huku kwetu Lindi,, hata ukienda Tandahimba hukuti watoto wao huko kumbe walijiwekea BOT kama sehemu ya Ajira kwa watoto wao ,, Tumbua baba toa Usaa wote ibakie ile BOT aliyoiacha mzee Nyerere iliyojaa uadilifu na yenye mseto mzr wa watumishi kutoka familia zote maskini na tajiri.
hapo atagonga mwamba ni sawa na lile jipu lililoleta zuio feki kuzuia uchaguzi wa meya wa Dar
 
Hii si habari mpya. Ilishaibuka miaka michache iliyopita. lakini kama kawaida, kuna watu katika nchii (sorry to say) ni "kenge"... mpaka damu ziwatoke masikioni ndipo wasikie na kuelewa. Sasa kwa vile JPM amegusia, utasikia wanaunga mkono kama vile ndio kwanza wanasiakia mara ya kwanza!
 
Hii si habari mpya. Ilishaibuka miaka michache iliyopita. lakini kama kawaida, kuna watu katika nchii (sorry to say) ni "kenge"... mpaka damu ziwatoke masikioni ndipo wasikie na kuelewa. Sasa kwa vile JPM amegusia, utasikia wanaunga mkono kama vile ndio kwanza wanasiakia mara ya kwanza!
Akiwatimua utasikia JPM Amewaonea,unajua kwanini KUNA VIUMBE WA LOWASSA HAPO NA HUWA HAWAKOSEI.
 
Mbona watoto wa Nyerere hakuna kabisa, sio tu BOT bali hata sehemu nyeti za serikali.Wao walipatikana Jeshini na wengine sikuwahi wasikia wakifanya kazi inayoeleweka. Mwinyi naona watoto wake woote mashavu tu sehemu nyeti zote serikalini.
 
Back
Top Bottom