Danken Mbombo
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 651
- 339
Sijaelewa hii mada yako: "Utajiri wa watoto wa vigogo huu hapa!" kama haiendani ni ulichosema ingawa ni point
Upo wapi huo utajiri wa watoto wa vigorously??Jamaa yangu usidanganyike mabadiliko kupitia CCM ni ndoto ya mchana kweupe.. mi mwenyewe mwana CCM lakini kura yangu ni kwa Lowasa... ikiwa CCM ilifutilia mbali maoni ya wananchi ktk katiba ni dhahiri kwamba CCM haitakuwa/haipo tayari kufanya mabadiliko yatakayoiumiza.
Maana ili ufanye mabadiliko ni lazima CCM iumie kwani CCM inauroho wa madaraka sana...na vigogo na watoto wao wachache wa CCM ndio wanaomiliki uchumi wa nchi na raslimali.
Usishangae jamaa yangu ni kwamba watanzania wameamua kwa dhati na kwa ujumla wao kuiadhibu CCM kutokana na mfumo wake wa kulindana na kuongeza maadui 2 zaidi Ufisadi na rushwa na kimsingi ukitazama kwa makini Lowassa kaachia ngazi za kiserikali toka 2007 miaka 8 takribani lakini ufisadi umeongezeka maradufu kumbe tatizo sio Lowassa ni mfumo CCM.
Pole hautaeleweka kamwe na wanaCCM kindakindaki,hasa ukizingatia CCM imekuwa ya kifamilia zaidi,anayetoa sauti ya nani ateuliwe kwenye Ukuu wa wilaya,mkoa,ubunge lazima familia ikae kujadili.Pole CCM
kwani cdm siyo ya kifamilia?
Pamela lowasa,fred sumaye nao wamo