Watoto wa vigogo na ajira BoT

Watoto wa vigogo na ajira BoT

Nkajua nawe umo kumbe unashadadia wenzako...kwa mtazamo huo nawe ni wa kata
 
Juzi nilifowardiwa hii text kwenye group fulani la whatsapp:
fikiria ktk sekta moja tu ya BENK KUU tunawakuta watoto wa vigogo
1.FILBET SUMAYE 2.BEATRICE BOMANI
3.PAMELA LOWASA
4.ZACHARIA KAWAWA
5.SALAMA MWINYI
6.RACHEL MSEKWA
7.SALAMA MAHITA 8.JANE SITA
9.JASMIN KARUME 10.JUSTINA NCHIMBI
11.BLASIA W.MKAPA
12.RADHIA SHEIN
13.JEROME DIALO 14.LIKELE NGASONGWA 15.ANDY MAGUFULI
16.THOMAS MONGELA
17.JABIR KIGODA 18.MARY MRAMBA 19.ISMAIL MEGJI
wewe na ndugu zako mko bank gani,....? Tusiruhusu utawala wa aina hii uendeleze hayo na maovu mengine yanayoibuliwa kila kukicha.TAFAKARI....!
first of all, mimi si mfuasi wa cçm wala chama chochote cha sasa. chama changu mimi ni good governance, accountability na total welfare of the community. Nikirejea kwenye mada, hivi swala la watoto wa wakubwa kuwa katika taasisi nyeti kama benki na they have all the required qualifications kuna tatizo gani? hivi ni nani ambaye motto wake akiomba samaki atampa nyoka? sioni tatizo katika hili kwa maana hata waswahili wanasema mwenye nacho ataongezewa. hata vyombo kama jeshi siku hizi kuingia ni ngumu sana kama huna referee. Jiulize ni wahitimu wangapi wa chuo wana haha kuzunguka na bahasha mitaani kutafuta kazi bila mafanikio kisa hawana mibuyu? tuache unafki, hata wewe baba yako angekua ni kigogo unafkiri angekuacha upate tabu ilhali anauwezo wa kukusaidia? tuache siasa za uchochezi na fitna na tujipange sahihi kidemokrasia ili tuweze kuleta maendeleo katika nchi yetu. NI MTAZAMO TU!
 
Kwa hiyo unaona ni sawa? Hao ndio wenye qualifications kuliko watanzania wengine? Acha hizo bhana
 
waacheni wengne wachukue mafunzo ya karate ktk nyumba za ibada waje wabebe mabomu kwa kujitoa mhanga...

unaonaje !!?
 
sio hvyo mkuu. nafkri hujanielewa

Maana hapo bado hujaweka list ya mademu wa vigogo..eg. Vicky kamata etc, sawa wanaweza kuwa na minimum qualifications lakini kuwekwa kwa kigezo cha undugu/kujuana hilo ndio tatizo...
 
KAKA ACHA MAPEPE,UNAJITUNGIA HABARI TU HAPA,KAMA HUNA KIPYA KAA PEMBENI.KWANZA SUMAYE HANA MTOTO ANAEITWA ROGERS,BALI ANA WATOTO WAWILI AMBAO NI FILBERT NA FRANK,PILI FILBERT ALIRUDI NCHINI BAADA YA KUMALIZA MASTERS YAKE YA COMPUTER SCIENCE.NA ALIPORUDI ALIKAA MIEZI NANE AKIFANYA KAZI KTK KAMPUNI BINAFSI NDIO AKAAJILIWA.HUO UZUSHI UMETOA WAPI KAKA?ATA UKIULIZA WATU ALIOSOMA NAO TOSAMAGANGA F 5&6 WATAKWAMBIA JINSI ALIVYO MTU SIMPLE NA WAKUJITUMA.KAZINI KWAKE WANAMTEGEMEA MTAFUTE BOSI WAKE MZEE MASAWE ATAKWAMBIA.PIA WAPO WENYE CPA NA
NK.WIVUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU MBAYA JAMANI

Kweli Mkuu,jamaa alikua cool saana pale shule(Tosa) ili mpaka uambiwe kuwa Ni mtoto WA Prime Minister,bustanini(Idete) alikua hakosi.Jamaa alikua mchapa kazi sana
 
Maana hapo bado hujaweka list ya mademu wa vigogo..eg. Vicky kamata etc, sawa wanaweza kuwa na minimum qualifications lakini kuwekwa kwa kigezo cha undugu/kujuana hilo ndio tatizo...

kwa mtazamo huo ni kweli uko sahihi kabisa ila je vp kama wanakua wana qualification za kutosha, would it be a sin for a father to help a son?
 
Maana hapo bado hujaweka list ya mademu wa vigogo..eg. Vicky kamata etc, sawa wanaweza kuwa na minimum qualifications lakini kuwekwa kwa kigezo cha undugu/kujuana hilo ndio tatizo...

kwa mtazamo huo ni kweli uko sahihi kabisa ila je vp kama wanakua wana qualification za kutosha, would it be a sin for a father to help a son?
 
hadi fisadi lishaweka ntu wake BOT!!! tusubiri kina cheenge kujichotea mapesa.
 
mbna hvyo hatuwaoni kwenye ubwana kilimo, afisa mtendaji, ualimu n.k au wao vigezo huwa vipo bot, nssf n.k tu!?


Usalama, ikulu, tanesco, tanapa na wanakuwa vitengo muhim ha ha haaaaa acha nicheke miye maana hata nikinuna nitajiumiza bureeeeeeees nchi inawenyee hii acha tuendelee kusugua gaga......!
 
Wakuu lina ukweli hili la kuwekana kiasi hiki?

Watoto wa vigogo tele, Benki kuu ya TZ( BOT )

Beatrice Bomani

Zakaria Kawawa,

Salama Mwinyi,

Rachel Msekwa,

Salama Mahita,

Jane Sita,

Jasmin Karume,

Justina Nchimbi,

Blasia W. Mkapa,

Radhia Shein,

Jerome Dialo,

Likele Ngasongwa,

Andy Magufuli,

Thomas. Mongela,

Jabiri Kigoda,

Mary Mramba

Ismail Meghji

#copiedsomewhere!
 
tehteh............Govt connection will be an added advantage.........
 
Wakuu lina ukweli hili la kuwekana kiasi hiki?

Watoto wa vigogo tele, Benki kuu ya TZ(BoT)

Beatrice Bomani

Zakaria Kawawa,

Salama Mwinyi,

Rachel Msekwa,

Salama Mahita,

Jane Sita,

Jasmin Karume,

Justina Nchimbi,

Blasia W. Mkapa,

Radhia Shein,

Jerome Dialo,

Likele Ngasongwa,

Andy Magufuli,

Thomas. Mongela,

Jabiri Kigoda,

Mary Mramba

Ismail Meghji

#copiedsomewhere!

Personalized
 
Kaangalie utawala wa chadema viti maalum...wamestahili ndio maana wamepewa...wakati wanaangaika na chama pamoja na kakazo,waume zao,ddaada zao, wake zao na watoto zao sie tulikuwa pemben...walivyopata ubunge ndio macho yanawatoka....ooh cdm imejaa undugu...tuache majungu..mwenye kustahili na apate sio anyimwe kisa ndugu ake yu kigogo
 
Back
Top Bottom