Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 454
Tupeni list ya WALIMU watoto wa vigogo
Sidhan kama ipo mkuu!
Tupeni list ya WALIMU watoto wa vigogo
Tuwekee hiyo orodha ili tuendelee kukasirika!Kaangalie utawala wa chadema viti maalum...wamestahili ndio maana wamepewa...wakati wanaangaika na chama pamoja na kakazo,waume zao,ddaada zao, wake zao na watoto zao sie tulikuwa pemben...walivyopata ubunge ndio macho yanawatoka....ooh cdm imejaa undugu...tuache majungu..mwenye kustahili na apate sio anyimwe kisa ndugu ake yu kigogo
Cha chama cha siasa, BOT taasisi ya umma unavilinganishaje? Hujielewi kwa kweli na hujui maudhui yaliyoko katika huu uzi
Ukizaliwa familia ya watawala ndio baraka tz.tutafute ambao ni walimu shule za msingi na sekondari.je ni watoto wangapi wa vigogo ni washika CHAKI?
Kaangali safu ya wabunge wa viti maalumu Chadema ndio utathibitisha vizuri madai yako.
Chadema siyo taasis ya serikali..B.o.T ni taasis ya serikali so haitakiw kufungamana na itikad yoyote!
Wakuu lina ukweli hili la kuwekana kiasi hiki?
Watoto wa vigogo tele, Benki kuu ya TZ( BOT )
Beatrice Bomani
Zakaria Kawawa,
Salama Mwinyi,
Rachel Msekwa,
Salama Mahita,
Jane Sita,
Jasmin Karume,
Justina Nchimbi,
Blasia W. Mkapa,
Radhia Shein,
Jerome Dialo,
Likele Ngasongwa,
Andy Magufuli,
Thomas. Mongela,
Jabiri Kigoda,
Mary Mramba
Ismail Meghji
#copiedsomewhere!
kuhusu kuwa MGANGA MKUU kila anapohamishiwa nalo unalijua ?tuwekee source ya hii taarifa yako. otherwise wewe ni lofa na mpumbavu. ninachojua mtoto wa mahita aitwaye salama ni daktari wa binadamu (MD). sasa sijui kama mahita ana watoto wawili wenye majina yanayofanana.
uchokonozi kama huu ndio uliosababisha watu waoga kuweka sheria mbaya na kandamizi ya makosa ya mitandaoni , tuombe Mungu , hata hivyo sheria hii itadumu kwa miezi miwili tu .Wakuu lina ukweli hili la kuwekana kiasi hiki?
Watoto wa vigogo tele, Benki kuu ya TZ( BOT )
Beatrice Bomani
Zakaria Kawawa,
Salama Mwinyi,
Rachel Msekwa,
Salama Mahita,
Jane Sita,
Jasmin Karume,
Justina Nchimbi,
Blasia W. Mkapa,
Radhia Shein,
Jerome Dialo,
Likele Ngasongwa,
Andy Magufuli,
Thomas. Mongela,
Jabiri Kigoda,
Mary Mramba
Ismail Meghji
#copiedsomewhere![/
URL]u
https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=cop iedsomewhere!
Wana deliver EPA,Escrow n.k?
halafu kumbe hata hii list fake ime-editiwa na kuwa fake square. ni nini hasa yalikuwa madhumuni ya mleta thtread kuondoa haya majina?kuhusu kuwa MGANGA MKUU kila anapohamishiwa nalo unalijua ?
Wabunge ni watumishi wa umma.
Wabunge ni watumishi wa umma.
Futa ww kabla watu hawajaona! MBUGE cyo mtumish wa umma ni wakisiasa! na cyo huyo2 mpk mawazir, wakuu wa mikoa na wilaya na hata wakurugenz pia!
Futa ww kabla watu hawajaona! MBUGE cyo mtumish wa umma ni wakisiasa! na cyo huyo2 mpk mawazir, wakuu wa mikoa na wilaya na hata wakurugenz pia!