Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,992
- 146,310
Hilarious...funny, right? Kwa maneno mengine haukubaliani na nilichokieleza. Kwa leo binafsi anaishia hapa. Nikipata wasaa mwingine tutajadili hili. Mkuu ilikuutendea haki mjadala rasmi wa uzi huu, tutafute mahala pengine tuwekane sawa katika hili.
Jioni njema kama upo maeneo ya Afrika mashariki.
Mjadala wote ni mjadala rasmi. Kuna mengine yapo several layers down.
Na tukirudi huko BOT, BOT staff inatakiwa kuwa kama population ya TZ ilivyo, kama viongozi ni 0.00001 percent ya population ideally watoto wa viongozi wawe around that ratio.
Sio watu walio 0.00001 percent of the population wanaenda kuwa disproportionately represented hapo BOT.
Hata kama hamna rushwa na ubadhirifu wa vyeo vya umma, ule muonekano tu kwamba upo ni mbaya tosha.