Kama mshua wangu angejiweka kwenye siasa mapema, huenda na mimi ningekuwa nakula bata pale BOT kama jinsi ambavyo watoto hawa wa vigogo wanavyopeta.
Samahani lakini, nasikiasikia eti hawa wote wanafanya kazi BOT na walipigiwa mapande na washua wao walioujua mchezo huu wa siasa mapema, wakuu kama nimekosea anayejua atanirekebisha kwa sababu najijua uelewa wangu ni mdogo.
ORODHA YA WATOTO WA VIGOGO WANAOFANYA KAZI BOT
Filbert Sumaye, Beatrice Bomani, Pamela Lowassa, Zacharia Kawawa, Salama Mwinyi, Salama Mahita, Rachel Msekwa, Jane Sitta, Yasmine Karume, Rabia Shein, Joshua Nchimbi, Gracia Mkapa, Jane Diallo, Likel Ngasongwa, Andy Magufuli, Thomas Mongela, Jubilee Kigoda, Raymond Zanga, Ismail Meghji, Morris Mramba et al.
Nawasilisha!
Ulitaka wakfanye kazi wapi? Chapa kazi dogo Mungu atakuinua..........kwani hao wazazi wao hawakuwahi kuwa watoto wa vigogo, Mkate wako upo tu pambana.........!