Mimi siyo miongoni mwa buku 7 ila ninauliza hao watoto wana kosa gani kuwa hapo kama w anakidhi viwango ? Hapo tutakuwa tunawaonea hao watoto.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hizo kazi nafasi za kazi wanazoshikilia ziliwahi kutangazwa magazetini? Waliingizwa hapo kwa mchakato upi basi? Walikuwa exposed kwenye fair competition wakati wanaingizwa hapo? Hapa siyo suala la kuoneana hapa tunahojiana kwani kuna watoto wa wakulima wengine ambao unaweza kukuta wangestahili zaidi kuwepo pale lakini utaratibu mbovu wa namna ya kuajiri ndio uliotufikisha hapa,tujibizane tu haya maswali hakuna mtu anayemuonea mtu wivu,mashirika ya umma nilazima yaonekane ni ya umma kweli kweli na si mali za wanasiasa wachache wenye choyo,kwanini yawe majina yaleyale tu? Hao ni watoto ambao wazazi wao wanatunzwa VIZURI na serikali mpaka umauti unapowakuta,na pia watoto wao wengi wapo kwenye daraja fulani la maisha ambalo kutokana na nafasi za wazazi wao KUSHINDA NA NJAA hakuwezi kujua anuani za nyumba zao kwenye maisha yao yote,ndugu unaweza kuwa hujawahi kuona watanzania wanavyoteseka wewe kwa ajili ya shughuli za taifa hili kila siku,peleka wtoto shule shiriki kwenye nyingine nyingi tu za kimaendeleo,wana watoto wenye vipaji na vichwa vizuri lakini wanafungiwa milango na viongozi wetu kwasababu nafasi nyeti wanagawana kwa kufahamiana nawatoto wa wakulima wanaishia kuwaa frustrated mtaani,hii haijakaa vizuri ni lazima tuhojiane.Mimi siyo miongoni mwa buku 7 ila ninauliza hao watoto wana kosa gani kuwa hapo kama wanakidhi viwango? Hapo tutakuwa tunawaonea hao watoto.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mimi siyo miongoni mwa buku 7 ila ninauliza hao watoto wana kosa gani kuwa hapo kama wanakidhi viwango? Hapo tutakuwa tunawaonea hao watoto.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
uwezo wako wa kuwaza unaishia ndani ya kichwa chako, jaribu kufikiria nje ya kichwa utagundua, ulishawahi kuona bot imetangaza nafas za kazi, au tangu bot ianzishwe haijawahi kuhitaji wafanyakaz?Mimi siyo miongoni mwa buku 7 ila ninauliza hao watoto wana kosa gani kuwa hapo kama wanakidhi viwango? Hapo tutakuwa tunawaonea hao watoto. Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Nilitegemea magamba watajibu hivyo?Je hao wana first class ya UDSM?IFM?Mzumbe?
Mimi siyo miongoni mwa buku 7 ila ninauliza hao watoto wana kosa gani kuwa hapo kama wanakidhi viwango? Hapo tutakuwa tunawaonea hao watoto.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu first class zipo tunazo na kazi tunaomba kila leo. binafsi nimeamua kujiajiri naendelea vizuri tuu.
uwezo wako wa kuwaza unaishia ndani ya kichwa chako, jaribu kufikiria nje ya kichwa utagundua, ulishawahi kuona bot imetangaza nafas za kazi, au tangu bot ianzishwe haijawahi kuhitaji wafanyakaz?
kwenye red ,weka TANGANYIKAjamhuri ya muungano wa tanzania ni muungano wa nchi mbili
1.zanzibar
2.tanzania bara
tatizo linaanzia hapo kwenye red.,kama tumelaaniwa vile!!!
Nadhani wewe uwezo wako wa kufikiri ndio unaishi kwenye kichwa chako! Kuna msemo unasema, "No Research, No Right to Speak"! Ulishafanya utafiti ukaona kuwa tangu BoT ianzishwe hakujawahi kuwa na tangazo la nafasi za kazi? Sasa tafuta gazeti la Daily News la tarehe 04 November, 2008 ucheki. Nalikumbuka hilo gazeti kwa sababu mimi ni mmojawapo wa niliyeona hilo tangazo, nika-apply, nikaitwa kwenye interview (tena mbili) na nikafanikiwa kuajiriwa! Yupo pia jamaa yangu aliajiriwa mwaka 2010, wote sisi ni watoto wa wakulima na hatuna memo. Memo yetu ni kuwa tuna vyeti vikali sana (tena shule zote na Vyuo tumesomea hapa hapa nchini, tena zile za Serikali) lakini pili ni tuko vizuri sana ktk lugha, yaani kujieleza kwa Kizungu. Issue hapa siyo tu kuwa na 1st Class kama wengi wanavyoamini, issue ni je, wakiku-test upstairs through oral interview una-reflect performance yako kwenye hivyo vyeti? Maana tumeona wengi wana GPA za 4.8; 4.9 na 5.0 (hasa kutoka vyuo vya kimagumashi) lakini ukimuhoji kwa Kiingereza utaona bora Form 6! Lakini pia, kwa wanaodai kuwa kupata kazi BoT, TRA, n.k. ni mpaka uwe mtoto wa Kigogo, hivi ukijumlisha vigogo wote nchi hii wanafika laki 1 kweli? Je, hata kama wanafika, kila mtu anaweza kuzaa watoto 10 kweli? Hivi inawezekanaje wafanyakazi wooote wa BoT, TRA, TPA, TCRA, EWURA, TANROADS, n.k. wawe ni watoto wa vigogo tu? Basi kama ni hivyo hao vigogo wanazaa sana mithili ya kuku!uwezo wako wa kuwaza unaishia ndani ya kichwa chako, jaribu kufikiria nje ya kichwa utagundua, ulishawahi kuona bot imetangaza nafas za kazi, au tangu bot ianzishwe haijawahi kuhitaji wafanyakaz?
Nadhani wewe uwezo wako wa kufikiri ndio unaishi kwenye kichwa chako! Kuna msemo unasema, "No Research, No Right to Speak"! Ulishafanya utafiti ukaona kuwa tangu BoT ianzishwe hakujawahi kuwa na tangazo la nafasi za kazi? Sasa tafuta gazeti la Daily News la tarehe 04 November, 2008 ucheki. Nalikumbuka hilo gazeti kwa sababu mimi ni mmojawapo wa niliyeona hilo tangazo, nika-apply, nikaitwa kwenye interview (tena mbili) na nikafanikiwa kuajiriwa! Yupo pia jamaa yangu aliajiriwa mwaka 2010, wote sisi ni watoto wa wakulima na hatuna memo. Memo yetu ni kuwa tuna vyeti vikali sana (tena shule zote na Vyuo tumesomea hapa hapa nchini, tena zile za Serikali) lakini pili ni tuko vizuri sana ktk lugha, yaani kujieleza kwa Kizungu. Issue hapa siyo tu kuwa na 1st Class kama wengi wanavyoamini, issue ni je, wakiku-test upstairs through oral interview una-reflect performance yako kwenye hivyo vyeti? Maana tumeona wengi wana GPA za 4.8; 4.9 na 5.0 (hasa kutoka vyuo vya kimagumashi) lakini ukimuhoji kwa Kiingereza utaona bora Form 6! Lakini pia, kwa wanaodai kuwa kupata kazi BoT, TRA, n.k. ni mpaka uwe mtoto wa Kigogo, hivi ukijumlisha vigogo wote nchi hii wanafika laki 1 kweli? Je, hata kama wanafika, kila mtu anaweza kuzaa watoto 10 kweli? Hivi inawezekanaje wafanyakazi wooote wa BoT, TRA, TPA, TCRA, EWURA, TANROADS, n.k. wawe ni watoto wa vigogo tu? Basi kama ni hivyo hao vigogo wanazaa sana mithili ya kuku!
mzee, you are missing the picture, just because you happen to get the job that does not mean they are fair and balance, wamekamatwa hapo na vyeti feki that is fact kwahiyo kama wangepewa interview unayodai ulipewa bila shaka wahusika hao wangekamatwa kwahiyo utaona kuwa lazima walipitia mlango wa nyuma. utakuwa ni mtu wa ajabu sana kama unaamini kuwa watoto waliomaofisini maeneo hayo yote walipata kihalali.Nadhani wewe uwezo wako wa kufikiri ndio unaishi kwenye kichwa chako! Kuna msemo unasema, "No Research, No Right to Speak"! Ulishafanya utafiti ukaona kuwa tangu BoT ianzishwe hakujawahi kuwa na tangazo la nafasi za kazi? Sasa tafuta gazeti la Daily News la tarehe 04 November, 2008 ucheki. Nalikumbuka hilo gazeti kwa sababu mimi ni mmojawapo wa niliyeona hilo tangazo, nika-apply, nikaitwa kwenye interview (tena mbili) na nikafanikiwa kuajiriwa! Yupo pia jamaa yangu aliajiriwa mwaka 2010, wote sisi ni watoto wa wakulima na hatuna memo. Memo yetu ni kuwa tuna vyeti vikali sana (tena shule zote na Vyuo tumesomea hapa hapa nchini, tena zile za Serikali) lakini pili ni tuko vizuri sana ktk lugha, yaani kujieleza kwa Kizungu. Issue hapa siyo tu kuwa na 1st Class kama wengi wanavyoamini, issue ni je, wakiku-test upstairs through oral interview una-reflect performance yako kwenye hivyo vyeti? Maana tumeona wengi wana GPA za 4.8; 4.9 na 5.0 (hasa kutoka vyuo vya kimagumashi) lakini ukimuhoji kwa Kiingereza utaona bora Form 6! Lakini pia, kwa wanaodai kuwa kupata kazi BoT, TRA, n.k. ni mpaka uwe mtoto wa Kigogo, hivi ukijumlisha vigogo wote nchi hii wanafika laki 1 kweli? Je, hata kama wanafika, kila mtu anaweza kuzaa watoto 10 kweli? Hivi inawezekanaje wafanyakazi wooote wa BoT, TRA, TPA, TCRA, EWURA, TANROADS, n.k. wawe ni watoto wa vigogo tu? Basi kama ni hivyo hao vigogo wanazaa sana mithili ya kuku!