mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili swala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani
1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
2. Kigoda naye the same
3. Lowasa's the same
4. And many others who have brothers there or relatives
Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?
Je ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?
Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii
May 30, 2008:
=======
Baadae: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19573-watoto-wa-vigogo-bot-wasafishwa.html
=======
Oktoba 07, 2012
Oktoba 23, 2012
wewe ndio unajua leo uko ughaibuni