Watoto wa vigogo na ajira BoT

Watoto wa vigogo na ajira BoT

Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili swala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani

1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
2. Kigoda naye the same
3. Lowasa's the same
4. And many others who have brothers there or relatives

Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?

Je ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?

Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii

May 30, 2008:


=======
Baadae: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19573-watoto-wa-vigogo-bot-wasafishwa.html
=======

Oktoba 07, 2012


Oktoba 23, 2012

wewe ndio unajua leo uko ughaibuni
 
Hujajibu maswali. Vyombo vya usalama vipi?
maswali yapi tena....post no.350 ya uzi huu..umeiulizia PCCB kwa kuitilia mashaka, yaani umeandika hivi "1. PCCB gani? Hawahawa waliosema Mzee wa Vijisenti hana cha kujibu?". PCCB ( PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION BUREAU ) ndiyo hasa moja ya chombo cha 'usalama' kinachoshughulikia masuala haya yanayolalamikiwa kwenye uzi huu. Mwenyewe umekibeza (PCCB) sasa hata tukitumia chombo kingine mfano TISS ambacho hata si wajibu wake wa moja kwa moja suala hili hasa kulinganisha na PCCB; je. utakubaliana na namna watakavyolifanyia uchunguzi?

Ni kwa muktadha huo nahitaji upendekeze njia bora ya kuchunguza hili kwa manufaa ya kuridhisha nafsi za watanzania juu ya haki kutendeka kwa wote.
 
maswali yapi tena....post no.350 ya uzi huu..umeiulizia PCCB kwa kuitilia mashaka, yaani umeandika hivi "1. PCCB gani? Hawahawa waliosema Mzee wa Vijisenti hana cha kujibu?". PCCB ( PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION BUREAU ) ndiyo hasa moja ya chombo cha 'usalama' kinachoshughulikia masuala haya yanayolalamikiwa kwenye uzi huu. Mwenyewe umekibeza (PCCB) sasa hata tukitumia chombo kingine mfano TISS ambacho hata si wajibu wake wa moja kwa moja suala hili hasa kulinganisha na PCCB; je. utakubaliana na namna watakavyolifanyia uchunguzi?

Ni kwa muktadha huo nahitaji upendekeze njia bora ya kuchunguza hili kwa manufaa ya kuridhisha nafsi za watanzania juu ya haki kutendeka kwa wote.

Kwa nini unafikiri watu wote wanapenda kupendekezapendekeza tu?
 
Kwa nini unafikiri watu wote wanapenda kupendekezapendekeza tu?

hii ni njia yako ya kukwepesha mjadala wa msingi....kwa kuuliza swali hili.
Hata hivyo..umeanza lini kazi ya kusoma mawazo ya watu....kwenye maandishi yangu hapa jukwaani, ni wapi nimeonyesha fikira za kupend watu wote (WOTE) kupenda kupendekezapendekeza ?
 
Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili swala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani

1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za kumsindikiza.
2. Kigoda naye the same
3. Lowasa's the same
4. And many others who have brothers there or relatives

Ishu hapa sio kuwa na sifa za kufanya kazi Bot bali je walipitia usahili na taratibu za ajira serikalini?

Je ni watu wangapi wenye sifa walifanya interview na kushinda na bado wakapigwa chini?

Inasikitisha kuona kuwa hata Gavana mpya anatetea maovu akiwa ofisini hata mwezi haujaisha ni SHIDA hii

May 30, 2008:


=======
Baadae: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19573-watoto-wa-vigogo-bot-wasafishwa.html
=======

Oktoba 07, 2012


Oktoba 23, 2012

- Mbona mmesahau kuongeza na mengineyo haya:-

1. Chadema Mwenyekiti Mkwe wa Muasisi wa Chadema from BOT.

2. Ndesamburo Mbunge na Mtoto Lucy Owenya Mbunge na Mkwe Grace Kiwelu Mbunge.

3. Tundu Lissu Mbunge Chadema Dada yake Christina Mbunge Chadema.

4. Vicent Nyerere Mbunge Chadema Shemeji yake Leticia Mbunge Chadema.

5. Zitto Mbunge Chadema Mchumba wake Mbunge Chadema.

6. Mwenyekiti Chadema hawara Mbunge wa Chadema.


- guess what mpaka hapa hamjashika dola je mkishika dola itakuwaje?

Le Mutuz
 
hii ni njia yako ya kukwepesha mjadala wa msingi....kwa kuuliza swali hili.
Hata hivyo..umeanza lini kazi ya kusoma mawazo ya watu....kwenye maandishi yangu hapa jukwaani, ni wapi nimeonyesha fikira za kupend watu wote (WOTE) kupenda kupendekezapendekeza ?

Kwa sababu umenitaka out of the blue nipendekeze as if kila mtu anapenda kupendekeza pendekeza tu.

Kama kijijini kwenu huko chini ya jiwe mnapenda kupendekeza pendekeza tu, kuna wengine hatufagilii habari hizo.
 
- Mbona mmesahau kuongeza na mengineyo haya:-

1. Chadema Mwenyekiti Mkwe wa Muasisi wa Chadema from BOT.

2. Ndesamburo Mbunge na Mtoto Lucy Owenya Mbunge na Mkwe Grace Kiwelu Mbunge.

3. Tundu Lissu Mbunge Chadema Dada yake Christina Mbunge Chadema.

4. Vicent Nyerere Mbunge Chadema Shemeji yake Leticia Mbunge Chadema.

5. Zitto Mbunge Chadema Mchumba wake Mbunge Chadema.

6. Mwenyekiti Chadema hawara Mbunge wa Chadema.


- guess what mpaka hapa hamjashika dola je mkishika dola itakuwaje?

Le Mutuz

Matatizo yetu wabongo yamepita ngazi za vyama, tuna matatizo kwenye mizizi ya jamii kama kwenye utamaduni huko.

Two wrongs do not make a right.

Usitake ku shift attention kutoka kwenye issue kwenda CHADEMA. Waanzishie thread tutawachabanga sawasawa na wao huko. Kuna wengine hatufagilii chama wala jina.
 
Kwani ajira za BoT walizotangaza mwezi november 2013 tayari wamefanya interview na wameajili watu
 
- Mbona mmesahau kuongeza na mengineyo haya:-

1. Chadema Mwenyekiti Mkwe wa Muasisi wa Chadema from BOT.

2. Ndesamburo Mbunge na Mtoto Lucy Owenya Mbunge na Mkwe Grace Kiwelu Mbunge.

3. Tundu Lissu Mbunge Chadema Dada yake Christina Mbunge Chadema.

4. Vicent Nyerere Mbunge Chadema Shemeji yake Leticia Mbunge Chadema.

5. Zitto Mbunge Chadema Mchumba wake Mbunge Chadema.

6. Mwenyekiti Chadema hawara Mbunge wa Chadema.


- guess what mpaka hapa hamjashika dola je mkishika dola itakuwaje?

Le Mutuz

Kaka kwa kugonga ikulu wewe! Ngoja waje wenyewe
 
Kwa sababu umenitaka out of the blue nipendekeze as if kila mtu anapenda kupendekeza pendekeza tu.

Kama kijijini kwenu huko chini ya jiwe mnapenda kupendekeza pendekeza tu, kuna wengine hatufagilii habari hizo.
Nadhani kuna jambo haliko sawa hapa....yaani yawezekana kabisa mimi na wewe tunatofautiana maana ya neno pendekeze (nililitumia kama kutoa ushauri ni namna gani jambo fulani linaweza kufanywa/tekelezwa kwa suala lililopo...ni namna gani tunaweza kujiridhisha kuwa kuna nepotism / kutoa ajira kwa vigezo vya nafasi za mzazi ama mlezi wa muhusika ama la kwenye masuala ya ajira)
 
Nadhani kuna jambo haliko sawa hapa....yaani yawezekana kabisa mimi na wewe tunatofautiana maana ya neno pendekeze (nililitumia kama kutoa ushauri ni namna gani jambo fulani linaweza kufanywa/tekelezwa kwa suala lililopo...ni namna gani tunaweza kujiridhisha kuwa kuna nepotism / kutoa ajira kwa vigezo vya nafasi za mzazi ama mlezi wa muhusika ama la kwenye masuala ya ajira)

Hujajibu swali, kwa nini unafikiri kila mtu anapenda kupendekeza pendekeza?

Damn right kuna jambo haliko sawa, unafikiri kila namba ni witiri.
 
Hujajibu swali, kwa nini unafikiri kila mtu anapenda kupendekeza pendekeza?

Damn right kuna jambo haliko sawa, unafikiri kila namba ni witiri.

Nahama kwenye mjadala kama unavyotaka....(nikijua kabisa kuwa wengine utoa mawazo yao kwa huru na amani wakiwa kwenye nafsi ya kumiliki mjadala), maana hoja ya msingi imekushida. Nadhani pia swali lako linalenga kunifanyia 'diagnosis' ya utambuzi wangu wa mambo, basi nakujibu.

Majibu ya swali lako: Ninafikiri kuwa kila mtu,hasa ambaye ni muungwana (wewe (Kiranga) pia nilikuweka kwenye kundi la waungwana) anapenda kupendekeza/kushauri juu ya jambo fulani ambalo linahitilafu. Mtu huyo anapenda kupendekeza ili hitilafu ya jambo hilo iondolewe kiasi ambacho anaona linafaa kimtazamo, kifkra na hata kivitendo kwa jamii inayomzunguka na yeye binafsi. Ni hulka ya mtu muugwana kupendekeza namna hiyo kwani jambo linapokuwa halina hitilafu ndiyo furaha, burudani, tulizo la nafsi ya muungwana huyo. Kwa wale ambao siwaungwana, mara nyingi wanapenda kutokupendekeza jambo lolote kwenye hitilafu...na wakipendekeza lazima wazidishe hitilafu ili suala husika liwe baya zaidi.
 
Nahama kwenye mjadala kama unavyotaka....(nikujua kabisa kuwa wengine utoa mawazo yao kwa huru na amani wakiwa kwenye nafsi ya kumiliki mjadala), maana hoja ya msingi imekushida. Nadhani pia swali lako linalenga kunifanyia 'diagnosis' ya utambuzi wangu wa mambo, basi nakujibu.

Majibu ya swali lako: Ninafikiri kuwa kila mtu,hasa ambaye ni muungwana (wewe (Kiranga) pia nilikuweka kwenye kundi la waungwana) anapenda kupendekeza/kushauri juu ya jambo fulani ambalo linahitilafu. Mtu huyo anapenda kupendekeza ili hitilafu ya jambo hilo iondolewe kiasi ambacho anaona linafaa kimtazamo, kifkra na hata kivitendo kwa jamii inayomzunguka na yeye binafsi. Ni hulka ya mtu muugwana kupendekeza namna hiyo kwani jambo linapokuwa halina hitilafu ndiyo furaha, burudani, tulizo la nafsi ya muungwana huyo. Kwa wale ambao siwaungwana, mara nyingi wanapenda kutokupendekeza jambo lolote kwenye hitilafu...na wakipendekeza lazima wazidishe hitilafu ili suala husika liwe baya zaidi.

Unajuaje kwamba mimi ni muungwana na si mtwana anayeona dhana nzima ya uungwana inanuka ukandamizaji wa kibwanyenye na kimwinyi ambao hauna nafasi katika karne hii?

Unajuaje kwamba mimi ni muungwana na si mchunguzi anayeona uungwana ni mzigo katika safari ya kutafuta ukweli?
 
Unajuaje kwamba mimi ni muungwana na si mtwana anayeona dhana nzima ya uungwana inanuka ukandamizaji wa kibwanyenye na kimwinyi ambao hauna nafasi katika karne hii?

Unajuaje kwamba mimi ni muungwana na si mchunguzi anayeona uungwana ni mzigo katika safari ya kutafuta ukweli?

Neno Muungwana (nomino) linatokana na neno ungwana.

Kamusi ya Kiswahili sanifu, iliyoandaliwa na Hamis Akida wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kupigwa Chapa na Oxford University Press mwaka 1981, inatoa tafsiri ya neno ungwana kuwa ni ....isiyotawaliwa au kuwa chini ya himaya au amri ya mwingine, -enye uhuru. Kwa tafsiri hii ni kuwa muungwana ni yule ambaye asiyetawaliwa au kuwa chini ya himaya au amri ya mwingine, mwenye uhuru. Kwa tafsiri hii hapa dhana yako ya ukandamizaji inakosa uhusiano wamoja kwa moja na muungwana.

Neno Mtwana linashabihiana kimaana na neno Mtumwa...asiyehuru...anayekandamizwa. Kama unakandamizwa hauna uhuru...utaitwaje mchunguzi...mchunguzi safi kabisa na ambaye anaweza kutoa repoti ya uchunguzi wake na isitiliwe mashaka ni mchunguzi huru. Hatuwezi kupata uchunguzi ambao hauna mashaka kutoka kwa mtwana. Mtwana mara zote hayuko huru. Hivyo uchunguzi wake(mtwana) waweza kuathiriwa na wale wanaomnyima uhuru.

Kiranga kama wewe ni mtwana basi unapoteza sifa ya kufanya uchunguzi ambao matokeo ya uchunguzi huo yatakubaliwa pasipo shaka.

N.B: Kama utakuwa na la kujibu kwa nilichokieleza hapa juu jibu na ukimaliza fanya hitimisho ya mjadala wetu huu usiyo rasmi ndani ya mjadala rasmi. Kama pia hauna la kujibu basi fanya hitimisho pia. Nimekuomba ufanye hivyo kwa kuzingatia heshima uliyonayo hapa Jukwaani.

Ukisha kumaliza hayo hapo juu. Turudi kwenye mjadala rasmi ambao ni
"Watoto wa vigogo walivyojazana BoT"
 
Neno Muungwana (nomino) linatokana na neno ungwana.

Kamusi ya Kiswahili sanifu, iliyoandaliwa na Hamis Akida wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kupigwa Chapa na Oxford University Press mwaka 1981, inatoa tafsiri ya neno ungwana kuwa ni ....isiyotawaliwa au kuwa chini ya himaya au amri ya mwingine, -enye uhuru. Kwa tafsiri hii ni kuwa muungwana ni yule ambaye asiyetawaliwa au kuwa chini ya himaya au amri ya mwingine, mwenye uhuru. Kwa tafsiri hii hapa dhana yako ya ukandamizaji unaitoa wapi?

Neno Mtwana linashabihiana kimaana na neno Mtumwa...asiyehuru...anayekandamizwa. Kama unakandamizwa hauna uhuru...utaitwaje mchunguzi...mchunguzi safi kabisa na ambaye anaweza kutoa repoti ya uchunguzi wake na isitiliwe mashaka ni mchunguzi huru. Hatuwezi kupata uchunguzi ambao hauna mashaka kutoka kwa mtwana. Mtwana mara zote hayuko huru. Hivyo uchunguzi wake(mtwana) waweza kuathiriwa na wale wanaomnyima uhuru.

Karanga kama wewe ni mtwana basi unapoteza sifa ya kufanya uchunguzi ambao matokeo ya uchunguzi huo yatakubaliwa pasipo shaka.

N.B: Kama utakuwa na la kujibu kwa nilichokieleza hapa juu jibu na ukimaliza fanya hitimisho ya mjadala wetu huu usiyo rasmi ndani ya mjadala rasmi. Kama pia hauna la kujibu basi fanya hitimisho pia. Nimekuomba ufanye hivyo kwa kuzingatia heshima uliyonayo hapa Jukwaani.

Ukisha kumaliza hayo hapo juu. Turudi kwenye mjadala rasmi ambao ni
[h=2]"Watoto wa vigogo walivyojazana BoT"[/h]

Mimi ni mtwana, wa ujinga, wa serikali za dunia, wa jamii, wa sheria.

Nipe mfano wa muungwana ambaye si mtwana wa haya.

Mtu anayekandamizwa hawezi kufanya uchunguzi? Ni wapi nilisema mimi ni mchunguzi safi kabisa? Na kama sijasema hivyo, kwa nini unachanganya definition ya mchunguzi na mchunguzi safi kabisa? Mchunguzi safi kabisa ana purity ya kiasi gani? 100% purity?

Stop your utopia.

Frederick Douglas na waliokuwa watumwa wengine waliweza kuchunguza na kutengeneza mambo mengi, ikiwamo a cotton ginning machine, hawa waliwezaje kuchunguza na kuvumbua mashine wakiwa utumwani kama mchunguzi hawezi kuwa mtwana?

Ile dhana ya uchunguzi tu ni utwana, ni utwana wa kielimu, huna elimu, unaitafuta kwa uchunguzi.

Utasemaje mchunguzi hawezi kuwa mtwana? It's more like mchunguzi anayejua uchunguzi hawezi kukosa utwana.

Ushawahi kusikia kitu kinaitwa "gentleman's degree"? Unajua kwa nini inaitwa "gentleman's degree" na si "slave's degree" au "workers degree"?
 
Mimi ni mtwana, wa ujinga, wa serikali za dunia, wa jamii, wa sheria.

Nipe mfano wa muungwana ambaye si mtwana wa haya.

.....

Frederick Douglas na waliokuwa watumwa wengine waliweza kuchunguza na kutengeneza mambo mengi, ikiwamo a cotton ginning machine, hawa waliwezaje kuchunguza na kuvumbua mashine wakiwa utumwani kama mchunguzi hawezi kuwa mtwana?

Ile dhana ya uchunguzi tu ni utwana, ni utwana wa kielimu, huna elimu, unaitafuta kwa uchunguzi.

Utasemaje mchunguzi hawezi kuwa mtwana? It's more like mchunguzi anayejua uchunguzi hawezi kukosa utwana.

Ushawahi kusikia kitu kinaitwa "gentleman's degree"? Unajua kwa nini inaitwa "gentleman's degree" na si "slave's degree" au "workers degree"?

Mkuu hutaki kufunga mjadala huu...!?

Sawa twendelee..!
Nakubaliana na wewe namna ulivyotafsiri neno utwana na kuibuka na dhana hizo ulizozisema. Mkuu, ninashauri, kwa kuboresha kasi ya mjadala na hatimaye kuibuka na msimamo wa pamoja (kama utaona inafaa), kila neno ambalo unadhani dhana unayoitumia uwenda ikatafsiriwa vingine, yafaa utolee ufafanuzi wakati wa kuitumia.

Kwa suala la Frederick Douglas, taarifa nilizonazo nikuwa ...Frederick Douglas huyo mtumwa wa Marekani enzi hizo alikuwa "City Slave" wala hakuwa "Slave on the Plantation." Kulikuwa na tofauti kubwa kati ya aina hii ya watumwa...Frederick mwenyewe aliwahi kusema hivi...""A city slave is almost a freeman, compared with a slave on the plantation." But they were still enslaved. Freddy kwa kiasi kikubwa alikuwa uhuru. Ni kwa uhuru huo kiasi aliweza kufanya hayo uliyoyasema.

Kwa hiyo kama una uhuru wa kiasi fulani ni rahisi kufanya uchunguzi wa kukubalika vizuri kwa wengine.
 
Mkuu hutaki kufunga mjadala huu...!?

Sawa twendelee..!
Nakubaliana na wewe namna ulivyotafsiri neno utwana na kuibuka nadhani hizo ulizozisema. Mkuu, ninashauri, kwa kuboresha kasi ya mjadala na hatimaye kuibuka na msimamo wa pamoja (kama utaona inafaa), kila neno ambalo unadhani dhana unayoitumia uwenda ikatafsiriwa vingine, yafaa utolee ufafanuzi wakati wa kuitumia.

Kwa suala la Frederick Douglas, taarifa nilizonazo nikuwa ...Frederick Douglas huyo mtumwa wa Marekani enzi hizo alikuwa "City Slave" wala hakuwa "Slave on the Plantation." Kulikuwa na tofauti kubwa kati ya aina hii ya watumwa...Frederick mwenyewe aliwahi kusema hivi..."“A city slave is almost a freeman, compared with a slave on the plantation.” But they were still enslaved. Freddy kwa kiasi kikubwa alikuwa uhuru. Ni kwa uhuru huo kiasi aliweza kufanya hayo uliyoyasema.

Kwa hiyo kama una uhuru wa kiasi fulani ni rahisi kufanya uchunguzi wa kukubalika vizuri kwa wengine.

Ukitaka nifafanue kila neno ninalofikiri linaweza kutafsiriwa vingine, itabidi nifafanue maneno yote, na hayo nitakayotumia kuyafafanulia niyafafanue, ad infinitum, ad absurdum.

Your attempt to dismiss Frederick Douglas's slavery is hilarious. One is either a slave or not.

By the way, nimetaja a whole group, aliyevumbua cotton ginning machine alikuwa plantation slave aliyekuwa anafanya kazi kwenye a cotton plantation, ndiyo maana akapata wasaa wa kuvumbua cotton ginning machine, sasa hapo utasema na yeye alikuwa city slave?
 
....

Your attempt to dismiss Frederick Douglas's slavery is hilarious. One is either a slave or not.

By the way, nimetaja a whole group, aliyevumbua cotton ginning machine alikuwa plantation slave aliyekuwa anafanya kazi kwenye a cotton plantation, ndiyo maana akapata wasaa wa kuvumbua cotton ginning machine, sasa hapo utasema na yeye alikuwa city slave?

Hilarious...funny, right? Kwa maneno mengine haukubaliani na nilichokieleza. Kwa leo binafsi anaishia hapa. Nikipata wasaa mwingine tutajadili hili. Mkuu ilikuutendea haki mjadala rasmi wa uzi huu, tutafute mahala pengine tuwekane sawa katika hili.

Jioni njema kama upo maeneo ya Afrika mashariki.
 
Back
Top Bottom