Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Subiri siku akute picha za member wa jf kwny simu ya mwanae ndio atakapozimia


Mimi mtaani kuna kabinti miaka miwili iliyopita kalikuwa kananiheshimu km mzazi wake sasa naona heshima imepungua kuja kufuatilia naambiwa kanapasuliwa na jamaa mmoja makamo yangu
Hapana nokia, ukiwa karibu na mtoto utayajua mengi kuhusu yeye na hata kama kuna analoyaficha basi ni machache sana. Kwa kiasi kikubwa utakuwa unajua.
Pia naelewa mazingira anayoishi. Si ya kujichanganya..so naelewa ninachoongea.
 
Yaani awe na simu nani amemnunulia? Sina malezi hayo ambayo mtoto anakuwa na simu sijui imetoka wapi. Kama ni kumiliki simu basi nitakuwa nimemnunulia mimi.
Akienda chuo hapo nitakuwa sina jinsi...My house my rules!
.
.
mtoto mdogo kumiliki simu na mzazi hajamnunulia basi kuna shida kubwa sana kwa hao wazazi.

Simu siku hizi elf 20 tu unapata sasa unadhani binti wa miaka 16 akidhamiria miezi miwili hii awe na simu yake atashindwa na hela ya matumizi yake unampa
 
Hapana nokia, ukiwa karibu na mtoto utayajua mengi kuhusu yeye na hata kama kuna analoyaficha basi ni machache sana. Kwa kiasi kikubwa utakuwa unajua.
Pia naelewa mazingira anayoishi. Si ya kujichanganya..so naelewa ninachoongea.

Ww unakumbuka chenga ulizowapiga wazazi wako?!
 
Shida sio kuwa na hela..shida ni kununua simu bila kuruhusiwa...sijui aifiche wapi nisione.

Utakuja kugundua lkn too late...hawa watoto wakishafika form 4 na kuendelea wanakuwa wajanja sana
 
Hakuna maana ya kuandika maneno kibao ili hali husemi hayo mambo ya ajabu aliyofanya.
Mkuu mwanamke na mwanaume kikawaida hukutana kwa muingiliano wa tupu ya kike na tupu ya kiume,
Sasa ukikuta mwanamke anataka au anakudai umlawiti hayo ni mambo ya ajabu na ya kishenzi,tena inaonesha amezoea na hatosheki bila ya kutendwa hivyo na kwa laana waliyonayo hata aibu au haya huwaondoka kwenye nyuso,yaani anakudai umlawiti huku anakuangalia machoni !
Ee Mungu tulinde sisi na vizazi vyetu ,na wale ambao wameshaanza huo mchezo basi tunakuomba badilisha fikra zao ili wawe sawa
 
Mkuu mwanamke na mwanaume kikawaida hukutana kwa muingiliano wa tupu ya kike na tupu ya kiume,
Sasa ukikuta mwanamke anataka au anakudai umlawiti hayo ni mambo ya ajabu na ya kishenzi,tena inaonesha amezoea na hatosheki bila ya kutendwa hivyo na kwa laana waliyonayo hata aibu au haya huwaondoka kwenye nyuso,yaani anakudai umlawiti huku anakuangalia machoni !
Ee Mungu tulinde sisi na vizazi vyetu ,na wale ambao wameshaanza huo mchezo basi tunakuomba badilisha fikra zao ili wawe sawa

Nipe no yake nimkanye
 
Ww unakumbuka chenga ulizowapiga wazazi wako?!
Nazikumbuka vizuri mno ha haaa na walikuwa wakali kinoma. Ila huyu nambana sana. No tuition no what..yaani akiwa likizo anakuwa pochi yangu. Shule ni boarding nampeleka na akifunga lazima nikamchukue.
Sasa mimi nilisoma mkoani nasafiri mwenyewe, nikirudi home tuition kibao so mazingira yalichangia mimi kupiga chenga vzr.
 
Nazikumbuka vizuri mno ha haaa na walikuwa wakali kinoma. Ila huyu nambana sana. No tuition no what..yaani akiwa likizo anakuwa pochi yangu. Shule ni boarding nampeleka na akifunga lazima nikamchukue.
Sasa mimi nilisoma mkoani nasafiri mwenyewe, nikirudi home tuition kibao so mazingira yalichangia mimi kupiga chenga vzr.

Wewe jione mjanja siku utakosa usingizi
 
Usiseme hivyo banaa. Kweli akifika 18 sitambana.

Hehehe 18 mbali sana ww kuwa umembana bado.

Hata kama anasoma shule ya wasichana watupu akimaliza form 4 utaona mabadiliko
 
Nitajitahidi kumnyoosha, hata kwa kiasi kidogo.

Inabidi tu umwambie ukweli ila kumbana utashindwa utaona hata hizo safari za kumfanya pochi lako nyingine atazikataa
 
Nami nashangaa
Ndugu kazana hivyo hivyo maombi kwasana Mungu atasaidia tu, miaka hiyo ke
tulijilea lakini kulikuwa shwari lakini sio sasa hali ni mbaya usichoke
 
Back
Top Bottom