hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,330
- 80,201
Sawa ...Kwani shetani " wapo "" wangapi ..mkuu""??Anaefungwa minyororo labda ni shetana wa waislamu. Ila sisi wengine shetani bado anatenda kaz yake.
Sawa ...Kwani shetani " wapo "" wangapi ..mkuu""??Anaefungwa minyororo labda ni shetana wa waislamu. Ila sisi wengine shetani bado anatenda kaz yake.
wapo wawili.?Sawa ...Kwani shetani " wapo "" wangapi ..mkuu""??
hahaa "" sasa umeuliza " au umejibu ""....wapo wawili.?
maswali gani hayooo....inamana hujui kusoma? Au mbwembwe?hahaa "" sasa umeuliza " au umejibu ""....
...nilikuuliza swali "?? badala ya kujibu na wewe ukauliza swali "... " imeletea mkanganyiko " kidogo..."" anyway"" ....kwa heri ""....maswali gani hayooo....inamana hujui kusoma? Au mbwembwe?
...nilikuuliza swali "?? badala ya kujibu na wewe ukauliza swali "... " imeletea mkanganyiko " kidogo..."" anyway"" ....kwa heri ""....
We mwenyewe Ni shetani coz anaeamrisha na kushawishi uovu yeyote yule Ni shetani hiyo ndio tafsr ya shetan kiarab,sasa Kuna shetani wa kijini na shetani wa kibinadamu sasa mashetani wa kijini wanafungiwa wakat wa ramadhan ila mashetani wa kibinadamu bado mpo Kama ulivo weweAiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?
Hiyo ni tafasiri siri ya kiarabu .. kwa tafasiri ya kiarabu pia jina lako lina mantiki ya kuwa wewe ni shoga _ ..... so wataka kuniambia kwamba wewe utakuwa ni shoga kweli " .... yaani kwanini uwe mtanzania halafu uishi nfumo wa maisha yako kwa kuamuliwa na race ya watu wa taifa lingine " ningekuona wa maana sana na mwenye akili timamu kama ungetumia kiswahili ili kunionyesha mantiki ya hilo neno shetani ... hahaa kumbe wewe ni mwarabu mweusiWe mwenyewe Ni shetani coz anaeamrisha na kushawishi uovu yeyote yule Ni shetani hiyo ndio tafsr ya shetan kiarab,sasa Kuna shetani wa kijini na shetani wa kibinadamu sasa mashetani wa kijini wanafungiwa wakat wa ramadhan ila mashetani wa kibinadamu bado mpo Kama ulivo wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani siyo neno la kiswahili ndugu wewe umesomea wapi hujui kuwa maneno ya kiswahili yametoholewa kutoka katka lugha za kigeni,hivo Basi neno shetani asili yake Ni kiarab na hiyo ndo tafsr yake sawa shetaniHiyo ni tafasiri siri ya kiarabu .. kwa tafasiri ya kiarabu pia jina lako lina mantiki ya kuwa wewe ni shoga _ ..... so wataka kuniambia kwamba wewe utakuwa ni shoga kweli " .... yaani kwanini uwe mtanzania halafu uishi nfumo wa maisha yako kwa kuamuliwa na race ya watu wa taifa lingine " ningekuona wa maana sana na mwenye akili timamu kama ungetumia kiswahili ili kunionyesha mantiki ya hilo neno shetani ... hahaa kumbe wewe ni mwarabu mweusi
Sawa shogaShetani siyo neno la kiswahili ndugu wewe umesomea wapi hujui kuwa maneno ya kiswahili yametoholewa kutoka katka lugha za kigeni,hivo Basi neno shetani asili yake Ni kiarab na hiyo ndo tafsr yake sawa shetani
Sent using Jamii Forums mobile app
Au jitahid uwe na point katka hoja zako kwa maana neno kiaswhili lenyewe ni kiarab kwa asili yake ,waarabu walivo wakuta watu wa pwani waliwaita wasahel maana yake watu wa pwani na kiswahili Ni kiarab kwa jina lake na kiarab kwa tabia yake hata mwanafunz wa kiswahili wa form three anakushindaHiyo ni tafasiri siri ya kiarabu .. kwa tafasiri ya kiarabu pia jina lako lina mantiki ya kuwa wewe ni shoga _ ..... so wataka kuniambia kwamba wewe utakuwa ni shoga kweli " .... yaani kwanini uwe mtanzania halafu uishi nfumo wa maisha yako kwa kuamuliwa na race ya watu wa taifa lingine " ningekuona wa maana sana na mwenye akili timamu kama ungetumia kiswahili ili kunionyesha mantiki ya hilo neno shetani ... hahaa kumbe wewe ni mwarabu mweusi
Unajua mtu huzungumza kilichopo moyoni yaezekana huo ushoga ndo Jambo upendalo Zaid that's why unahisi kila mtu yupo hivo na unahamasisha hiyo tabia ieenee Kama mfano wa shetani anavyohamasisha watu wamuasi mungu wao
Aisee miezi sita ulikuwa nje ya nchi? Wapi mkuu kisii au kakamega?Mwanza kuna Wilaya inaitwa Nyamongo? Imeanzishwa lini? Au kwa vile miezi 6 nilikuwa nje ya nchi?