Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Ndugu kazana hivyo hivyo maombi kwasana Mungu atasaidia tu, miaka hiyo ke
tulijilea lakini kulikuwa shwari lakini sio sasa hali ni mbaya usichoke
Ni kweli mpendwa hali ya sasa inatisha.
 
Sio kumbana bali ni kuzidi kumwelimisha basi hakuna kuchoka
Elimu itakuwepo lkn mtoto akishaanza chuo basi anaweza akafanya mengi usiyoyajua. Ila kama ulimuwekea msingi mzuri hataharibika sana.
 
Ni kweli mpendwa hali ya sasa inatisha.
Hakuna kuchoka nikuongea na kuongea hakuna kunyamaza watoto wanakua wakiwa na
12yrs sasa usipompa nasaha je wakati wetu ilikuwa mpaka 16-17yrs sio sasa
 
Elimu itakuwepo lkn mtoto akishaanza chuo basi anaweza akafanya mengi usiyoyajua. Ila kama ulimuwekea msingi mzuri hataharibika sana.
Ndiyo hivyo ila wenye malezi hata akiwa chuo anakuwa vizuri, niliwahi ishi karibu na wanachuo
waliokuwa na malezi safi wala hawakuwa na shida na wanaishi pamoja na walio virukanjia
Malezi wakati mwingine yanachangia ujinga
 
You have to
My mom was talking to my young sis
Akiwa ana miaka 13 i think very planely
It works na kusali sana
Mengine una muachia Mungu tu
Yes naongea nae sana tu mkuu. Natambua makosa niliyopitia so sitapenda aangukie humo
 
Yes unakuwa kauzu sometimes unamwambia kiutani lkn msg sent. Angekuwa mkubwa sana ingekuwa rahisi..she's just 14 hlf bado ana akili za kitoto.

Miaka 14 mdogo huyo ata bikira hana vitoto vina miaka 14 vinajua adi kulamba koni na miuno juu aloo huyo ni wa kumwambia kabisa
 
hujielewi " wewe "" nakuasa tu usiwe unapenda kudandia Gari kwa mbele..utaumbuka kama hivi Mara hii nimesha kuwa sielwi nachokiongea ..?. empty set
We kiazi bora upige kimya maana hueleweki! Mara ujikatae kua hujaingiza mambo ya udini humu,mara ulete udini! Hueleweki!! Nadhani mimba changa ndio inayokusumbua,mimi na wewe aliyeumbuka ni nani? Si ulijikataa kua hukuleta udini ni kakwambia kasome comment yako #8 ukarudi hapa kama dada poa aliyenyimwa ujira wake?!
 
Back
Top Bottom