Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Jamani huu utawandazi. Chanzo ni simu hizi za smart phone. wtt wanaangalia huko U tube maana kila kitu kipo. Eee Mungu tuepushe na dhahma hii
 
Yote ni mabaya kwa mvulana,awe anapiga wanawake au anapigwa yeye.
Akianza kupiga wanawake ktk umri mdogo ndo mwanzo wa hata yeye kuwa anapiga wanaume wenzake au kupigwa yeye na wanaume wenzake
Mwanaume ni kwa minajili ya kufanya mapenzi na wanawake hata akilala nao 2000 kwa wiki ni ahuweni kuliko kuwa Mchicha Mwiba.
 
Utampiga mwenyewe brush! uuuwi njooni muumsikie huyu.
Pumbavu sana jina lako halisadiki unachodhani, Kupiga brush unawaza ni kuinamisha mwanangu au unawaza ni kulawiti.

Akili yako ina mapengo kweli na jina lako hilo linasadiki pia ujinga wa walitumialo hata kitaaluma.
 
Mwanza hata yule binti SHONZA alivikwa pete na mwanamke mwenzake huko huko mwanza. Hata lile jambo halizungumziwi tena.

Mwanza amkeni muwanusuru watoto maana miaka ijayo inaweza kuwa Mwanza ya wanaume wasioleweka waliolegea na kujiremba kwenye vioo.
Tabora nako umesikia?Wasichana 18,000 wamepachikwa mimba za utotoni
 
Source: Azam news

Watoto Igoma jijini Mwanza wameingiwa na kapepo kakufumuana marinda cha kusikitisha ni kuwa hawa watoto ni umri wa miaka 12 - 22 ambao ni umri wa shule.

Pia geto lao ni kwenye mapango jirani na yale mawe ya Mwanza ndo chumba chao.

Ushauri: mchunge watoto wenu.
Oooooh my god

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume,badilikeni muokoe kizazi chetu.
Sijui ni ushirikina au Ukame?

Wanasema uvutaji wa bangi pia pombe hufanya watoto wako unaowazaa kuelekea huko, wengine wanasema hata kiti moto husababisha hiyo hali
 
Nadhani waTz wengi tumekua wavivu wakutafakari na hii inapelekea kuwa vipofu kwa mambo mengi yanayoizunguka jamii. Suala la watoto kushiriki ktk mapenzi ya jinsia moja limekua ni janga la Taifa ila watu hawataki kuliongolea kwa kina.

Ebu ujiulize mtoto wa miaka 12 amejifunza wapi kula TIGO ya mwanaume mwenzie ?? Jibu utalipata kuwa kuna watu wazima ambao wamekua wakiwageuza hawa watoto na ndipo hawa watoto hujifunza kupitia hao watu wazima na baada ya mda wanakua addicted na kukua na hiyo tabia hata wanapotimiza umri wa ujana.

Now days suala la kulana tigo kwa maboy imekua ni fashion sio tu kwa machokoraa bali hata wanafunzi na hata wafanyakaz na vitendo hivi vinafanyika in dark way kiasi ningumu kujua.

Leo hii tutawatazama hao watoto kama machokoraa ila ndio hao ambao badae hukua na hutoka ktk hali ya uchokora na kuishi maisha ya kawaida na hivyo kuilendeleza vitendo hivyo kwa watu wengine na kufanya kundi hili kukua na kukua.

********
 
Aiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?

Anaefungwa minyororo labda ni shetana wa waislamu. Ila sisi wengine shetani bado anatenda kaz yake.
 
Nadhani waTz wengi tumekua wavivu wakutafakari na hii inapelekea kuwa vipofu kwa mambo mengi yanayoizunguka jamii. Suala la watoto kushiriki ktk mapenzi ya jinsia moja limekua ni janga la Taifa ila watu hawataki kuliongolea kwa kina.

Ebu ujiulize mtoto wa miaka 12 amejifunza wapi kula TIGO ya mwanaume mwenzie ?? Jibu utalipata kuwa kuna watu wazima ambao wamekua wakiwageuza hawa watoto na ndipo hawa watoto hujifunza kupitia hao watu wazima na baada ya mda wanakua addicted na kukua na hiyo tabia hata wanapotimiza umri wa ujana.

Now days suala la kulana tigo kwa maboy imekua ni fashion sio tu kwa machokoraa bali hata wanafunzi na hata wafanyakaz na vitendo hivi vinafanyika in dark way kiasi ningumu kujua.

Leo hii tutawatazama hao watoto kama machokoraa ila ndio hao ambao badae hukua na hutoka ktk hali ya uchokora na kuishi maisha ya kawaida na hivyo kuilendeleza vitendo hivyo kwa watu wengine na kufanya kundi hili kukua na kukua.

********

Tanzania bado hivi vitendo havijashamiri...kwahio tuna nafasi ya kuvizuia visi shamiri.

Lkn ni ngumu sana, huwezi kuzuia. Hata iwekwe sheria kali. Picha linaanza hayafanywi hadharani.

Chamsingi kila mtu akae karibu na watoto wake wakiume, awe nao makini sana. Kila familia ikifanya hivi kwa nguvu zoote. Naamini tutasahau hili. Sasa kwa hawa machokoraa sijui itakuaje?
 
Back
Top Bottom