Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

wewe Jamaa kweli Tomaso ...hahaaa..nilikuwa sitaki kukujibu " kwa sababu sikutaka kupenda kuharibu huu Uzi ...na kuingiza maswala ya udini ..LA kini maswali yako yanaonyesha kuwa unauoungufu mkubwa mnoo wakile unachokiamini ....
Wewe itakua hujielewi sio bure! Soma comment yako #8 kisha urudi hapa kujikataa kua hujaleta mambo ya udini,
Ndio maana nikakwambia unatatizo la utunzaji wa kumbukumbu.
 
Wewe itakua hujielewi sio bure! Soma comment yako #8 kisha urudi hapa kujikataa kua hujaleta mambo ya udini,
Ndio maana nikakwambia unatatizo la utunzaji wa kumbukumbu.
endelea kusoma comments halafu baada ya hapo naomba " tuhame jukwaa ili kuepuka " kuwa kera watu wengine "" nilikuwa sina mood ya kukujibu lakini naona unatafuta sifa ....so kama mbwai mbwai tu
 
Aiseeee... imani hizi " ukifikaga mwezi mtukufu sihuwaga mnasema kuwa shetani anafungwa minyorolo" sasa hao Watoto nao vipi " au shetani wao " ametoroka"""?
Katoroka jela
 
Haya we zembea tu. Sio mashuleni tu hata majumbani wanaharibiwa..don't trust anyone even your relatives. Kuna mtoto dar alikuwa anafanyiwa kitu kibaya na baba yake mdogo, just imagine na tayari ameshaharibika hana uanaume tena.

Sasa hapo ndio umeshajua mtt tayari ndugu kishamharibu,unamfunga?!


Haya mambo mengine ni kumuomba Mungu tu yasikutokee
 
kwenye imani ya kiislam inaaminika kuwa mtume muhhamad mimtu wa uma wote " na ndiye mtume wa mwisho "" hivyo basii ni wazi utakuwa unakubaliana nami kuwa mtume wa uma wote anapoongea jambo basi ni mafundisho ya watu wote pasipo kujali kuwa wana muamini au Hawa muamini "" ........sasa basi hoja yangu ni hii"" hata kama ikiwa hao Watoto imani yao ni pinzani na uislam " hiyo haiharamishi " uhalali wa mtume kwao " wala hai haramishi uhalali wa mafundisho ya mtume kwao pia....."" MTUME anasema kuwa ikifika mwezi mtukufu shetani huwa ana fungwa minyorolo na means hushindwa kuweza kuzuia ushawishi wake wa kuyafnya maasi ya weze kutendeka ....""

so waweza kuniambia kuwa kauli hii haiwahusu watu ambao wanaimani tafauti na mtume " wakati tunaambiwa kuwa mtume ni wauma wote " wanao muamini na wsio muamini ....waweza kunaimbia kuwa maasi hayo yaliyofanyika kwa hao vijana yapo supported na nani wakati shetani ambaye huwa anaya support amefungwa minyorolo katika huu mwezi ....?? au shetani wapo wengi kiasi kwamba aliyepigwa minyorolo nimmoja ila wengine haijawezekana kukamatwa ..!?ndio maana tunaona hao Watoto wakiendelea kufanya maasi katika huu mwezi ...?
Unaongea kitu usichokijua ila kwa vile ulianza kwa kejeli na kashfa basi wewe sio wakujibiwa bali ni wa kupuuzwa tu kama wapuuzi wengine coz hata ukieleweshwa ni kazi bure coz hutokubaliana na maelezo utakayo pewa pia huna uwezo wa kufahamu ikiwa kukumbuka tu ulichokiandika hukikumbuki..!!
 
Unaongea kitu usichokijua ila kwa vile ulianza kwa kejeli na kashfa basi wewe sio wakujibiwa bali ni wa kupuuzwa tu kama wapuuzi wengine coz hata ukieleweshwa ni kazi bure coz hutokubaliana na maelezo utakayo pewa pia huna uwezo wa kufahamu ikiwa kukumbuka tu ulichokiandika hukikumbuki..!!
haha hahaaa ....Jamaa mwanzo si ulinishurutisha nijibu maswali yako mkuu "" ? ghafla imekuwa tena huwezi kunijibu " kwakuwa sina uwezo wakuelewa " so kwa mantiki hiyo unadai kwamba sistahiki kujibiwa "" hahaaa..Jf users kweli noma "" any way mkuu " tuachane na haya " kama kuna mahali niliwakwaza mnisamehe
 
endelea kusoma comments halafu baada ya hapo naomba " tuhame jukwaa ili kuepuka " kuwa kera watu wengine "" nilikuwa sina mood ya kukujibu lakini naona unatafuta sifa ....so kama mbwai mbwai tu
Umeisoma hiyo comment yako #8 ? Umeona kua ulianzisha udini kwa ufinyu wako wakifikra wakati mada haihusiani na udini?

Haya ni mambo/matatizo ya kijamii na ni janga kubwa kwa kizazi cha sasa,so,kama GT ulitakiwa uje na solution ya kutatua hilo tatizo na sio kucomment tu ili uchekewe! Ukisha chekewa unapata faida gani? Ndio tatizo linakua limekwisha? Jitafakari kisha think big.
 
Kwanini usimfunge? Mtu kama huyo bado utamuita ndugu yako na kuendelea kushirikiana nae?

Kwahiyo ww mwanao halali kwa ndg?!


Sasa mfano mm sasa hivi nmesafiri mwanangu kama yupo likizo inabidi aende kwa wazazi kama nina ndg wanaishi huko nafanyaje?!
 
Kwahiyo ww mwanao halali kwa ndg?!


Sasa mfano mm sasa hivi nmesafiri mwanangu kama yupo likizo inabidi aende kwa wazazi kama nina ndg wanaishi huko nafanyaje?!
Analala lakini ukiwa karibu nae kama kuna chochote tofauti utagundua mapema. Kuna wazazi hawana time na watoto wao.
 
Kwahiyo ww mwanao halali kwa ndg?!


Sasa mfano mm sasa hivi nmesafiri mwanangu kama yupo likizo inabidi aende kwa wazazi kama nina ndg wanaishi huko nafanyaje?!
Unamwomba Mungu.
Ila ukarudi ukakuta kaharibiwa unafanyaje tena?Unamwomba Mungu?
Sasa utamwomba Mungu afanyeje tena wakati mtoto kaharibiwa na muharifu anajulika?
 
Unamwomba Mungu.
Ila ukarudi ukakuta kaharibiwa unafanyaje tena?Unamwomba Mungu?
Sasa utamwomba Mungu afanyeje tena wakati mtoto kaharibiwa na muharifu anajulika?

Je watoto wenu mnaongea nao kuhusu mambo haya?!
 
Back
Top Bottom