Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,123
- 93,236
Umeongea km mwanamke kweli.kweli.lkn sasa!!Unamwomba Mungu.
Ila ukarudi ukakuta kaharibiwa unafanyaje tena?Unamwomba Mungu?
Sasa utamwomba Mungu afanyeje tena wakati mtoto kaharibiwa na muharifu anajulika?