Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Watoto wa Mwanza wanalawitiana

Source: Azam news

Watoto Igoma jijini Mwanza wameingiwa na kapepo kakufumuana marinda cha kusikitisha ni kuwa hawa watoto ni umri wa miaka 12 - 22 ambao ni umri wa shule.

Pia geto lao ni kwenye mapango jirani na yale mawe ya Mwanza ndo chumba chao.

Ushauri: mchunge watoto wenu.
mwanao kalawitiwa o bado?
 
hao ndio wanaume wa mikoani wanaingia mjini kwa pupa wanalawetiwa kisha wanalowea mjini kwanini wasibaki kwao wakalime
 
Mikoani mambo ni [emoji91]
Screenshot_20180524-042806.jpg
 
Mwanza hata yule binti SHONZA alivikwa pete na mwanamke mwenzake huko huko mwanza. Hata lile jambo halizungumziwi tena.

Mwanza amkeni muwanusuru watoto maana miaka ijayo inaweza kuwa Mwanza ya wanaume wasioleweka waliolegea na kujiremba kwenye vioo.
 
Source: Azam news

Watoto Igoma jijini Mwanza wameingiwa na kapepo kakufumuana marinda cha kusikitisha ni kuwa hawa watoto ni umri wa miaka 12 - 22 ambao ni umri wa shule.

Pia geto lao ni kwenye mapango jirani na yale mawe ya Mwanza ndo chumba chao.

Ushauri: mchunge watoto wenu.
Mbona hujeleweka? Unasema geto lao lipo karibu na "yale" mawe ya Mwanza, unamaanisha yale yaliyoko majini eneo la Kamanga Ferry? Kama ndilo unalosema, itakuwaje watoto wa Igoma kulala mjini?
 
We kiazi bora upige kimya maana hueleweki! Mara ujikatae kua hujaingiza mambo ya udini humu,mara ulete udini! Hueleweki!! Nadhani mimba changa ndio inayokusumbua,mimi na wewe aliyeumbuka ni nani? Si ulijikataa kua hukuleta udini ni kakwambia kasome comment yako #8 ukarudi hapa kama dada poa aliyenyimwa ujira wake?!
hahaaa...mapopoma mnashida sana "" huwaga hamjibu hoja " mbindi mnapo ona kuwa zimewazidi kina "" .....aiseee"" kazi njema mkuu
 
pale ubungo bus service terminal sijui kama serekali ya mkoa inaona wale watoto hata uongozi wa kituo ulipaswa kuchukua hatua.
 
Mbona hujeleweka? Unasema geto lao lipo karibu na "yale" mawe ya Mwanza, unamaanisha yale yaliyoko majini eneo la Kamanga Ferry? Kama ndilo unalosema, itakuwaje watoto wa Igoma kulala mjini?
Mm sio wa huko statement moja isikufanye ukashindwa kuelewa mada
 
Hali ni mbaya sana kwa watu wa mwanza iwe wanaume au wanawake.
Nilikutana na dada mmoja wa kutoka mwanza hapa,yule dada alikuja kumtembelea mdogo wake wa kike ambaye aliolewa hapa dar.
yule dada alikuwa mzuri wa sura na figure,ni black beauty na namba nane hasa,nilimtokea tukakubaliana na nilimuheshimu sana sana,
Lakini tulipofika kwenye sita kwa sita alifanya mambo ya ajabu ambayo sikutegemea kabisa kabisa.
Tangu hapo nilimkimbia na namba yangu ya simu nilibadilisha.
Kwa hiyo nadhani hakuna mkoa wala dini ambao iko salama na mambo hayo,ni kipindi kigumu sana kwa malezi ya watoto wa jinsia zote.
Kukana na kusema kwamba sisi wa mkoa fulani au dini fulani hatuna mambo hayo ni kuupalilia na kuukuza huo mchezo kwenye jamii.
Kwanza hakuna dini inayoruhusu mambo hayo,hakuna mstari wowote kwenye biblia au msaafu ambao unaruhusu huo ushenzi iwe kwa mtoto wa kike au kiume.
Ni ushenzi,ushenzi,ushenzi kabisa,tuache huo mchezo na tufuatilie makuzi na michezo ya watoto wetu wa jinsia zote.
Kwa hiyo mkuu ulizama topeni????
 
Back
Top Bottom