ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,159
Wanawake baadhi uwaga na hii tabia yao moja ya kipumbavu sana..ya kumpandikiza mtoto chuki natamani wangejua jinsi mtoto akikua anavyoharibikiwa na kuwa na moyo wa chuki na visasi ambavyo mwisho wa siku anajuta kwanini anakuwa na roho ngumu ya kusamehe wanajamii waliomkosea kumbe machuki,mavisasi,mahasira sio hata asili yake ni vitu vya kupandikizwa na mzazi wake...