Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
watoto wako wanamsikiliza zaidi mkeo zaidi yako? mbona ni shida? mimi hilo kwangu halipo hadi sasaivi wananisubiri nirudi home kwa hamu na nikifika ni kwamba Baba amefika, wananipenda, ninawapenda na kuwaelekeza na vilevile wanaheshimu kuwa hapa kuna baba kaingia. fimbo wanakula vilevile, zawadi wanapata vilevile, nikilala nje wanashinda wakiuliza baba anarudi lini tumemmisss...upo hapo?Kumekuwa na utaratibu wa wanawake wanapokuwa katika migogoro na waume zao kuwalisha maneno watoto ili wamchukie baba yao matokeo yake watoto wanakuwa kiburi wanafuata maneno ya mama yao.
Wanakuwa jeuri shule hawaendi kwakuwa mama anawapenda sana wapo tayari kusema uongo kumlinda mama yao.
Wazazi tuwe makini katika hili kuwapaka mavi wanaume wenu huku mkijificha kwenye migongo ya watoto.