UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 566
Kumekuwa na utaratibu wa wanawake wanapokuwa katika migogoro na waume zao kuwalisha maneno watoto ili wamchukie baba yao matokeo yake watoto wanakuwa kiburi wanafuata maneno ya mama yao.
Wanakuwa jeuri shule hawaendi kwakuwa mama anawapenda sana wapo tayari kusema uongo kumlinda mama yao.
Wazazi tuwe makini katika hili kuwapaka mavi wanaume wenu huku mkijificha kwenye migongo ya watoto.
Wanakuwa jeuri shule hawaendi kwakuwa mama anawapenda sana wapo tayari kusema uongo kumlinda mama yao.
Wazazi tuwe makini katika hili kuwapaka mavi wanaume wenu huku mkijificha kwenye migongo ya watoto.