Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Siku ipo nitatoa somo la ndoa ila ipo hivyo, mke wako na mme wako ni mwili mmoja wewe ni yeye damu moja ndio maana mnatumia mwili kupata watoto.
Ikitokea mama anaumwa na mke wako kwa wakati mmoja anza kumpa pesa ya matibabu mke wako kwanza kwakua ni mwili wako, ni bora ufiwe na mtoto, baba na mama kwa wakati mmoja ila sio mke au mume.
Vijana ngojeni nitarudi kuwapa somo hapa nasema Mke na Mume katika ndoa sio mnaookotana kwenye madanguro nyie sio Mke na Mume nyie ni wahuni.
Ikitokea mama anaumwa na mke wako kwa wakati mmoja anza kumpa pesa ya matibabu mke wako kwanza kwakua ni mwili wako, ni bora ufiwe na mtoto, baba na mama kwa wakati mmoja ila sio mke au mume.
Vijana ngojeni nitarudi kuwapa somo hapa nasema Mke na Mume katika ndoa sio mnaookotana kwenye madanguro nyie sio Mke na Mume nyie ni wahuni.