Watekaji wana access kubwa ambazo upata taarifa njia nyingi na zengine wanapewa bila lizaa ya mtu.

Watekaji wana access kubwa ambazo upata taarifa njia nyingi na zengine wanapewa bila lizaa ya mtu.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Watekaji wanaweza kuomba taarifa zako TRA,Ardhi,idara ya maji,Tanesco,ving'amuzi au sehemu yoyote itakayokuwa na usajili wako.

Kwa Jamiiforum ndio maana bado wanaumia kwa nini hawapewi taarifa.

Kuna mchezo mmoja jamaa alitekwa wali trace namba yake SMS alinunua umeme.Wakaona jina mita namba alipopanga,wakaenda TANESCO KUJUA MITA NAMBA HIPO WAPI?.
 
Kuna ile kujiachia sana kwenye mitandao kama facebook unadakwa tu kirahisi wakiamua kukupata
 
Sasa hivi mufumo mingi imeunganishwa na NIDA so kwa njia hiyo ni rahisi. Lakini pia kwa technology ilivyokuwa sasa hivi kumpata mtu ni rahisi sana bila hata kutumia hayo mamifumo.
 
Hata kama wana access ya kuteka watu, kwa nini wateke? Tuendelee kupigania uongozi unaofata sheria na haki,Kama mtu kakosea afikishwe mahakamani,sio kuwa na viongozi wanakua juu ya sheria, wanafikiri wenyewe ndo wana maamuzi ya nani aishi na nani asiishi
 
Watekaji wanaweza kuomba taarifa zako TRA,Ardhi,idara ya maji,Tanesco,ving'amuzi au sehemu yoyote itakayokuwa na usajili wako.

Kwa Jamiiforum ndio maana bado wanaumia kwa nini hawapewi taarifa.

Kuna mchezo mmoja jamaa alitekwa wali trace namba yake SMS alinunua umeme.Wakaona jina mita namba alipopanga,wakaenda TANESCO KUJUA MITA NAMBA HIPO WAPI?.
Kwahiyo wanaoahiriki utekaji ni wengi kumbe!
 
MWISHO WA MAMBO HAYA YA UTEKAJI NI 12/1/2026.MAANA KUTAKUWA NA MAANDAMANO YASIYO NA KIKOMO NA YATAHUSISHA SILAHA NZITONZITO ZA MOTO KAMA WATATAKA KUTUZUIA KUTIMIZA HAKI YETU YA KUANDAMANA KUMTOA PAKA PANGONI.
 
Yule mwamba kiutani utani akapotea mazima.

Enzi hizo Twitter ilikuwa ya moto sana
 
Back
Top Bottom