TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,749
- 21,200
Nimesoma komenti kadhaa hapo juu nahisi wote wanaweza kujibu kuwa "ZIUZWE TU"
Maana hakuna binadamu anayemaliza kipindi chake duniani akaacha taswira nzuri, wote ni kulaumiwa tu but mwisho wa siku hayupo.
Rais gani aliwahi kuendesha nchi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ambayo chama ilitembea nayo?
Maana hakuna binadamu anayemaliza kipindi chake duniani akaacha taswira nzuri, wote ni kulaumiwa tu but mwisho wa siku hayupo.
Rais gani aliwahi kuendesha nchi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ambayo chama ilitembea nayo?