Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,384
- 3,057
Baada ya October 29 kwa kweli watu hawana tena mzuka na mpira. Nipo kwenye group lina watu 237 si jana, juzi wala leo watu hawajapost habari za mpira. Ni muda sasa hizi teams zinacheza hakuna mvuto wala heka heka.
Hii ni ishara kuwa watanzania sasa wamekua na kukataa kutumika. Wamegundua kuwa hizi teams ni za kisiasa na zinatumika vibaya wao wakiwa kama chambo na kuonwa ni matutusa tu. Sasa sioni mabishano ya Simba na Yanga kabisa. Watu wamepevuka. Wamekua kiakili.
Hii ni ishara kuwa watanzania sasa wamekua na kukataa kutumika. Wamegundua kuwa hizi teams ni za kisiasa na zinatumika vibaya wao wakiwa kama chambo na kuonwa ni matutusa tu. Sasa sioni mabishano ya Simba na Yanga kabisa. Watu wamepevuka. Wamekua kiakili.