Habari zenu wanajf wote kwa ujumla wakiwemo mods,
naomba tupate mawazo kwenye hili suala.
leo asubuh nikiwa kwenye kisusafiri naelekea kazini nimesikia East africa radio wakiuliza '' watanzania ni wavivu katika utendaji wa kazi katika nyanja zote au?''compared to kenye and uganda
bahati mbaya sikuweza kusikiliza maoni ya wachangiaji.
nimeamua nililete apa jf tupate mawazo.
Nenda kwenye Facebook page yao utapata maoni yao. Hapa JF huwa tunajadili siasa kwa kwenda mbele tu.
wakati mwingine uwe unajaribu kunyamaza kama hauna cha kuchangia.
ile radio ni ya mtanzania ndo anamiliki, so sioni sababu ya wewe kusema tupeleke facebook jambo kama hili. au wewe mwenzetu unasikiliza n akufuatilia leo nep katamka nini,nani kavuliwa gamba,wapi mnapanga mashambilizi ya green guard, nyumba gani mchome. some other times try to tune your mind in other matters.
Nakujua wewe
Habari zenu wanajf wote kwa ujumla wakiwemo mods,
naomba tupate mawazo kwenye hili suala.
leo asubuh nikiwa kwenye kisusafiri naelekea kazini nimesikia East africa radio wakiuliza '' watanzania ni wavivu katika utendaji wa kazi katika nyanja zote au?''compared to kenye and uganda
bahati mbaya sikuweza kusikiliza maoni ya wachangiaji.
nimeamua nililete apa jf tupate mawazo.
'' watanzania ni wavivu katika utendaji wa kazi katika nyanja zote au?''.
wanasayansi hawajathibitisha bado.
Nenda kwenye Facebook page yao utapata maoni yao. Hapa JF huwa tunajadili siasa kwa kwenda mbele tu.
Habari zenu wanajf wote kwa ujumla wakiwemo mods,
naomba tupate mawazo kwenye hili suala.
leo asubuh nikiwa kwenye kisusafiri naelekea kazini nimesikia East africa radio wakiuliza '' watanzania ni wavivu katika utendaji wa kazi katika nyanja zote au?''compared to kenye and uganda
bahati mbaya sikuweza kusikiliza maoni ya wachangiaji.
nimeamua nililete apa jf tupate mawazo.
Lakini imethibitishwa na mikataba yetu tunayosaini kila mara inayoonesha kuwa
anayetia saini huwa hasomi kilichoandikwa ndani. Rejea mikataba yote katika nchi hii...