Asilimia kubwa ya Watanzania hatupendani, tuna kinyongo na wivu na ni wavivu sana

PharaohMtakatifu

JF-Expert Member
Jul 3, 2023
659
1,074
Wasalam,

Mimi kama Pharaoh Mtakatifu nashangaa sana na baadhi ya ndugu zangu Watanzania kwanini, hatupendani kwanini tuna wivu na kwanini ni wavivu kiasi hiki!

Sijawahi enda nje ya nchi kikazi la hasha naogopa dhambi au uongo, lakini nimefanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali baadhi nayaorodhesha hapa; Waaustralia, Canada, Philipino, China, South Africa, Misri, Burkinafaso, Ghana, Mali, Zambia, Malawi nk.

Nimefanya nao kazi za migodini kwa muda mrefu sana, wengine hata kibiashara, nakiri wazi jamaa wanapendana kuliko sisi wabongo.

Kwanini mbongo akiona mbongo mwenzie kapandishwa cheo au kamzidi kwa lolote aisee anainua majungu na fitina hatari, lakini hali ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama Ghana. Mwezao akipandishwa cheo tegemea watamfanyia party ya kumpongeza hata kama wasipofanya lakini utaona wazi kabisa wanampa sapport kubwa sana mwenzao.

Hata hawa Waarabu, Wamisri na mataifa mengine hufanya hivyohivyo lakini kwetu sisi ni toafuti. Ikitokea inafanywa party basi jua kabisa hiyo party umehusika wewe asilimia %99.99 japo watakuja kula na kunywa kwa unafiki tu huku wakizuga kucheza, lakini kwa chini chini utasikia hapo hapo kwenye party watu wanapiga misumari na kula umewalisha! Tubadilike ndugu zangu.

Wabongo ni wavivu sana, ni ukweli usiopingika. Mtanzania atakuja kuomba kazi huku mikono ikiwa mbele tena kwa nidhamu na heshima ya juu sana lakini pindi akipata tu hiyo kazi ndio utajua humjui!

Atakuonuesha kila aina ya mabaka yake na ruhusa zisizo na maana kabisa, akimaliza za kuuguliwa mke au watoto anaanza kuua ndugu zake kama mjomba kafariki nahitajika msibani, mara shangazi, mara mama mdogo kafa na ajari ndio alikuwa ananilea na visingizio vya ajabu ajabu ilimradi umpe ruhusa!

Hata akiwa kazini anafanya tu ili muda ufike arudi nyumbani. Mbongo yupo radhi alale muda wa kazi na akuambie angalia ukiona kiongozi anakuja au tochi/nisitue (kwa waliowahi fanya kazi za underground wataelewa) jambo ambalo kwa mataifa mengine ni ngumu sana kuliona.

Mbongo hajali kabisa muda wa kazi lakini muda wa kutoka kazini anajali kuliko kawaida, tena akichelewa siku 3 tu anadai alipwe lakini kuchelewa eneo la kazi ni kila siku.

Hawa Wazungu hasa wa Canada na Australia niliowahi kufanya nao kazi aisee hadi raha, wanakuelekeza kwa vitendo na kazi mnafanya wote, hawachagui, ukifika muda wa msosi ni msosi. Yaani ukienda nae site unajua kabisa hapa tunafika kwa wakati eneo la kazi na tutafanya kazi kwa wakati na kutoka kwa wakati na kitu kinaenda hivohivo.

Mbongo sasa umkute yeye anajua kitu fulani na wewe hukijui, utajuta! Atakupasha matusi mara wee umesoma kweli wewe, wakati yeye hata la saba hakumaliza!

Yaani hii haipo kwa wengine, hao wote anakumbia hapa nitakufundisha kwa masaa 2 kwa leo tutaendelea tena kesho, ni raha tu mradi wewe uwe unajua lugha tu na hata usipojua kikubwa juhudi na heshima yako utaelewa hadi kimombo chenyewe!

Wabongo tunakera sana, kwanini tunashindwa kujifunza hata kwa Kafrika wenzetu kama watu wa Mali na Malawi, Ghana nk?

Akiona unataka kuchomoza tu mbongo anaenda kukusagia kunguni kwa boss ili ufukuzwe kazi, hapo ndio raha ya mbongo. Sasa kwa wenzetu ni huzuni sana mwenzao akifukuzwa kazi!

Najiuliza tunafeli wapi sisi? Mimi au yule akifanikiwa wewe utapungukiwa na nini? Kwanini uwe mvivu basi? Kazi zenyewe tunapeana kwa kujuana, ukabila upo juu sana bongo hii.

Ni mengi acha mimi Pharaoh Mtakatifu niishie hapa.

Tubadilike.

Ahsanteni.
 
Wacha matusi wewe.

Una utukana Umma na Wanajamii wa Tanzania kwa ujumla kisa umevurugwa na Ndugu zako! na kuunga unga uwongo. Ushindwe na Ulegee

Hamia huko wasipokuwa na Hulka za Kibinadamu.

Rongo rongo tupu.
 
Watanzania wana roho mbaya na hawapendani utakuta mtu anavyoelezea matatizo ya mwenzake kama anaelezea mafanikio yake, kila mtu anamuomnea mwenzake aanguke ndio furaha yetu, na wakikaa watatu tu badala ya kuzungumza mipango ya maendeleo lazima wamjadili mtu vibaya hii nchi ngumu sana, tujitahidi kufanya mambo yetu kwa siri sana maadui ni wengi hata usiowategemea
 
Watanzania wana roho mbaya na hawapendani utakuta mtu anavyoelezea matatizo ya mwenzake kama anaelezea mafanikio yake ,kila mtu anamuomnea mwenzake aanguke ndio furaha yetu, na wakikaa watatu tu badala ya kuzungumza mipango ya maendeleo lazima wamjadili mtu vibaya hii nchi ngumu sana, tujitahidi kufanya mambo yetu kwa siri sana maadui ni wengi hata usiowategemea
Nimejifunza sana kutoka Kwa wenzetu mataifa mengine hutokaa usikie ana msemea mwenzeka mabaya ni mwiko utafikiri ni Watoto wa family Moja Hadi unashangaza hivi Hawa mbona wamelelewa vzr hiv. Mbongo hata umemfania mke wako anakuja nalo site kuwaambia watu kuwa jamaa anat*bewa.ukijiuliza anafaidika na Nini huoni Cha maana!!
 
Sikupingi ndugu Bongo hiyo kitu iko damuni
Sio strory wala nini mimi mzazi wangu ananionea wivu baada ya kujua nina ukwasi wa milion 25
Wakati yeye ana ukwasi wa zaidi ya milion 200

Mpaka nashangaa kwanini
Tuna tatizo tena kubwa....Huwa sipati majibu kabisa
 
Wasalam,

Mimi kama Pharaoh Mtakatifu nashangaa sana na baadhi ya ndugu zangu Watanzania kwanini, hatupendani kwanini tuna wivu na kwanini ni wavivu kiasi hiki!

Sijawahi enda nje ya nchi kikazi la hasha naogopa dhambi au uongo, lakini nimefanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali baadhi nayaorodhesha hapa; Waaustralia, Canada, Philipino, China, South Africa, Misri, Burkinafaso, Ghana, Mali, Zambia, Malawi nk.

Nimefanya nao kazi za migodini kwa muda mrefu sana, wengine hata kibiashara, nakiri wazi jamaa wanapendana kuliko sisi wabongo.

Kwanini mbongo akiona mbongo mwenzie kapandishwa cheo au kamzidi kwa lolote aisee anainua majungu na fitina hatari, lakini hali ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama Ghana. Mwezao akipandishwa cheo tegemea watamfanyia party ya kumpongeza hata kama wasipofanya lakini utaona wazi kabisa wanampa sapport kubwa sana mwenzao.

Hata hawa Waarabu, Wamisri na mataifa mengine hufanya hivyohivyo lakini kwetu sisi ni toafuti. Ikitokea inafanywa party basi jua kabisa hiyo party umehusika wewe asilimia %99.99 japo watakuja kula na kunywa kwa unafiki tu huku wakizuga kucheza, lakini kwa chini chini utasikia hapo hapo kwenye party watu wanapiga misumari na kula umewalisha! Tubadilike ndugu zangu.

Wabongo ni wavivu sana, ni ukweli usiopingika. Mtanzania atakuja kuomba kazi huku mikono ikiwa mbele tena kwa nidhamu na heshima ya juu sana lakini pindi akipata tu hiyo kazi ndio utajua humjui!

Atakuonuesha kila aina ya mabaka yake na ruhusa zisizo na maana kabisa, akimaliza za kuuguliwa mke au watoto anaanza kuua ndugu zake kama mjomba kafariki nahitajika msibani, mara shangazi, mara mama mdogo kafa na ajari ndio alikuwa ananilea na visingizio vya ajabu ajabu ilimradi umpe ruhusa!

Hata akiwa kazini anafanya tu ili muda ufike arudi nyumbani. Mbongo yupo radhi alale muda wa kazi na akuambie angalia ukiona kiongozi anakuja au tochi/nisitue (kwa waliowahi fanya kazi za underground wataelewa) jambo ambalo kwa mataifa mengine ni ngumu sana kuliona.

Mbongo hajali kabisa muda wa kazi lakini muda wa kutoka kazini anajali kuliko kawaida, tena akichelewa siku 3 tu anadai alipwe lakini kuchelewa eneo la kazi ni kila siku.

Hawa Wazungu hasa wa Canada na Australia niliowahi kufanya nao kazi aisee hadi raha, wanakuelekeza kwa vitendo na kazi mnafanya wote, hawachagui, ukifika muda wa msosi ni msosi. Yaani ukienda nae site unajua kabisa hapa tunafika kwa wakati eneo la kazi na tutafanya kazi kwa wakati na kutoka kwa wakati na kitu kinaenda hivohivo.

Mbongo sasa umkute yeye anajua kitu fulani na wewe hukijui, utajuta! Atakupasha matusi mara wee umesoma kweli wewe, wakati yeye hata la saba hakumaliza!

Yaani hii haipo kwa wengine, hao wote anakumbia hapa nitakufundisha kwa masaa 2 kwa leo tutaendelea tena kesho, ni raha tu mradi wewe uwe unajua lugha tu na hata usipojua kikubwa juhudi na heshima yako utaelewa hadi kimombo chenyewe!

Wabongo tunakera sana, kwanini tunashindwa kujifunza hata kwa Kafrika wenzetu kama watu wa Mali na Malawi, Ghana nk?

Akiona unataka kuchomoza tu mbongo anaenda kukusagia kunguni kwa boss ili ufukuzwe kazi, hapo ndio raha ya mbongo. Sasa kwa wenzetu ni huzuni sana mwenzao akifukuzwa kazi!

Najiuliza tunafeli wapi sisi? Mimi au yule akifanikiwa wewe utapungukiwa na nini? Kwanini uwe mvivu basi? Kazi zenyewe tunapeana kwa kujuana, ukabila upo juu sana bongo hii.

Ni mengi acha mimi Pharaoh Mtakatifu niishie hapa.

Tubadilike.

Ahsanteni.
Sio swala la Watanzania Bali hulka ya binadamu popote kwenye jamii wanapokuwa wanagombea ugali,Vyeo,mamlaka nk lazima hiyo iwepo.

Ni mbaya upande mmja lakini ni nzuri upande mwingine,Mungu aliziweka hivyo automatically Ili maisha ya kufa kufaana yaende.

Unadhani jamii gani hapa Duniani inapendana? Watashikamana wakikabiliwa na hatari ya pamoja tuu.
 
Wapo watu wema wengi, tupo milioni 60+, unaposema wabongo "wengi" Unamaanisha nini?huwezi, kuwa umefanya, kazi na wabongo milioni 15!! Impossible, we umekutana na kufanya kazi, na watu wabongo wasiozidi 500! Ukaona tabia zao, mbovu,sasa unahukumu wabongo wote kuwa ni wavivu!!! Sio haki bro, wabongo tuna matatizo, wapo wavivu, wapo wenye msaaada Sana,
Nilikuwa South Afrika kwa ajili ya training, tukiwa Oliver tambo, kuna jamaa nirifikiri ni wakenya au nigeria, walipoona passport yangu, wakajua ni mbongo, wakaja kunisemesha, kumbe ni wabongo wenzangu, walikuwa vijana wameletwa, na, TRA kuja kusoma kozi, za cyber security, wakanipa michogo kibao, jinsi walivyoingia TRA kutoka sekta binafsi,
Kule South tukapata connection ya Dada wa kibongo(mangi)ana miliki supermarket, na, hotel, akatutafutia hotel nzuri tukawa tunakwenda kula hotelini kwake, information kibao, akatupa, za, huko bondeni.
Uvivu sio exclusive kwa watz tu, ni human defect,
Uktaka kujua vijana wabongo walivyo wachapa kqzi nenda kanda ya ziwa kwenye migodi midogo,
Au, vijana walioajiliwa kwenye taasisi za nje, boss mzungu, wanapiga kazi huwezi, amin,
Nimefanya kazi Airtel, Vodacom, Tigo, vitengo vya engineering kuna wabongo wanapiga kzi balaa, hawa wanalipwa vzr,
Sasa, huko serikalini,ni, mifumo ndio inasababisha madudu, kwanini voda, tigo,halotel wafanikiwe na ttcl washindwe wakati wote wapo kwenye soko moja,na wafanyakazi, ni wabongo hawa hawa!
Kuna, factor nyingi za, kumfanya, MTU akuchukie ukifanikiwa, it's human, has nothing to do with africaniam, or blackness,
Ni tatizo LA kibinadamu, kulitibu unaweka mifumo, sheria na taratibu, wenzetu wazungu, wanalijua hili vzr, wameweka miingozo mizuri ya, kufata,hata, kama, kuna MTU kimeo ofcn, hawezi kuleta madhara, maaana, kuna check and balance system,
Bongo, Mkurugenzi, anashika makalio ya wanawake, akishitakiwa, badala ya kufukuzwa kazi, anahamishwa kituo, kwa wenzetu, kazi, human, period!
 
Wasalam,

Mimi kama Pharaoh Mtakatifu nashangaa sana na baadhi ya ndugu zangu Watanzania kwanini, hatupendani kwanini tuna wivu na kwanini ni wavivu kiasi hiki!

Sijawahi enda nje ya nchi kikazi la hasha naogopa dhambi au uongo, lakini nimefanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali baadhi nayaorodhesha hapa; Waaustralia, Canada, Philipino, China, South Africa, Misri, Burkinafaso, Ghana, Mali, Zambia, Malawi nk.

Nimefanya nao kazi za migodini kwa muda mrefu sana, wengine hata kibiashara, nakiri wazi jamaa wanapendana kuliko sisi wabongo.

Kwanini mbongo akiona mbongo mwenzie kapandishwa cheo au kamzidi kwa lolote aisee anainua majungu na fitina hatari, lakini hali ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama Ghana. Mwezao akipandishwa cheo tegemea watamfanyia party ya kumpongeza hata kama wasipofanya lakini utaona wazi kabisa wanampa sapport kubwa sana mwenzao.

Hata hawa Waarabu, Wamisri na mataifa mengine hufanya hivyohivyo lakini kwetu sisi ni toafuti. Ikitokea inafanywa party basi jua kabisa hiyo party umehusika wewe asilimia %99.99 japo watakuja kula na kunywa kwa unafiki tu huku wakizuga kucheza, lakini kwa chini chini utasikia hapo hapo kwenye party watu wanapiga misumari na kula umewalisha! Tubadilike ndugu zangu.

Wabongo ni wavivu sana, ni ukweli usiopingika. Mtanzania atakuja kuomba kazi huku mikono ikiwa mbele tena kwa nidhamu na heshima ya juu sana lakini pindi akipata tu hiyo kazi ndio utajua humjui!

Atakuonuesha kila aina ya mabaka yake na ruhusa zisizo na maana kabisa, akimaliza za kuuguliwa mke au watoto anaanza kuua ndugu zake kama mjomba kafariki nahitajika msibani, mara shangazi, mara mama mdogo kafa na ajari ndio alikuwa ananilea na visingizio vya ajabu ajabu ilimradi umpe ruhusa!

Hata akiwa kazini anafanya tu ili muda ufike arudi nyumbani. Mbongo yupo radhi alale muda wa kazi na akuambie angalia ukiona kiongozi anakuja au tochi/nisitue (kwa waliowahi fanya kazi za underground wataelewa) jambo ambalo kwa mataifa mengine ni ngumu sana kuliona.

Mbongo hajali kabisa muda wa kazi lakini muda wa kutoka kazini anajali kuliko kawaida, tena akichelewa siku 3 tu anadai alipwe lakini kuchelewa eneo la kazi ni kila siku.

Hawa Wazungu hasa wa Canada na Australia niliowahi kufanya nao kazi aisee hadi raha, wanakuelekeza kwa vitendo na kazi mnafanya wote, hawachagui, ukifika muda wa msosi ni msosi. Yaani ukienda nae site unajua kabisa hapa tunafika kwa wakati eneo la kazi na tutafanya kazi kwa wakati na kutoka kwa wakati na kitu kinaenda hivohivo.

Mbongo sasa umkute yeye anajua kitu fulani na wewe hukijui, utajuta! Atakupasha matusi mara wee umesoma kweli wewe, wakati yeye hata la saba hakumaliza!

Yaani hii haipo kwa wengine, hao wote anakumbia hapa nitakufundisha kwa masaa 2 kwa leo tutaendelea tena kesho, ni raha tu mradi wewe uwe unajua lugha tu na hata usipojua kikubwa juhudi na heshima yako utaelewa hadi kimombo chenyewe!

Wabongo tunakera sana, kwanini tunashindwa kujifunza hata kwa Kafrika wenzetu kama watu wa Mali na Malawi, Ghana nk?

Akiona unataka kuchomoza tu mbongo anaenda kukusagia kunguni kwa boss ili ufukuzwe kazi, hapo ndio raha ya mbongo. Sasa kwa wenzetu ni huzuni sana mwenzao akifukuzwa kazi!

Najiuliza tunafeli wapi sisi? Mimi au yule akifanikiwa wewe utapungukiwa na nini? Kwanini uwe mvivu basi? Kazi zenyewe tunapeana kwa kujuana, ukabila upo juu sana bongo hii.

Ni mengi acha mimi Pharaoh Mtakatifu niishie hapa.

Tubadilike.

Ahsanteni.
Uliyoongea ni mazuri hongera sana....

Wapo ambao ni waaminifu,smart na wanajituma Sana na pia wapo watu wa nje ambao wanaleta kadhia kubwa kwa baadhi ya watanzania

Sitaki kusimamia upande wowote ila nachoamini mtangulize Mungu naye atanyoosha mapito yako...wanadamu tunaweza kukupangia mabaya mia lakini Mungu akakulinda na kukuepusha na yote hayo....

Pia Jamii ina watu wa KILA aina ,usitumie nguvu kubwa kuchunguza ama kujipa umuhimu kwenye maisha ya wengine fanya mambo YAKO na simamia katika misingi yako tu
 
Naungana na ww ndugu......mleta uzi tuseme ameshaaminisha kuwa wabongo wote tupo hivo.....
Kuna wimbo wa Boni Mwaitege unasema"Baado safari bado,ndugu yangu usidharau watu safari bado inaendelea"

Yawezekana kwa mazingira yake ya kazi watu wengi anaokutana nao hawaendani na kasi yake (mienendo yake) ila wapo weeng smart,waaminifu wanajituma Sana ) hatuwezi ongea kila kitu kumuaminisha ila kuna mtazamo utabadilika kwake
Wapo watu wema wengi, tupo milioni 60+, unaposema wabongo "wengi" Unamaanisha nini?huwezi, kuwa umefanya, kazi na wabongo milioni 15!! Impossible, we umekutana na kufanya kazi, na watu wabongo wasiozidi 500! Ukaona tabia zao, mbovu,sasa unahukumu wabongo wote kuwa ni wavivu!!! Sio haki bro, wabongo tuna matatizo, wapo wavivu, wapo wenye msaaada Sana,
Nilikuwa South Afrika kwa ajili ya training, tukiwa Oliver tambo, kuna jamaa nirifikiri ni wakenya au nigeria, walipoona passport yangu, wakajua ni mbongo, wakaja kunisemesha, kumbe ni wabongo wenzangu, walikuwa vijana wameletwa, na, TRA kuja kusoma kozi, za cyber security, wakanipa michogo kibao, jinsi walivyoingia TRA kutoka sekta binafsi,
Kule South tukapata connection ya Dada wa kibongo(mangi)ana miliki supermarket, na, hotel, akatutafutia hotel nzuri tukawa tunakwenda kula hotelini kwake, information kibao, akatupa, za, huko bondeni.
Uvivu sio exclusive kwa watz tu, ni human defect,
Uktaka kujua vijana wabongo walivyo wachapa kqzi nenda kanda ya ziwa kwenye migodi midogo,
Au, vijana walioajiliwa kwenye taasisi za nje, boss mzungu, wanapiga kazi huwezi, amin,
Nimefanya kazi Airtel, Vodacom, Tigo, vitengo vya engineering kuna wabongo wanapiga kzi balaa, hawa wanalipwa vzr,
Sasa, huko serikalini,ni, mifumo ndio inasababisha madudu, kwanini voda, tigo,halotel wafanikiwe na ttcl washindwe wakati wote wapo kwenye soko moja,na wafanyakazi, ni wabongo hawa hawa!
Kuna, factor nyingi za, kumfanya, MTU akuchukie ukifanikiwa, it's human, has nothing to do with africaniam, or blackness,
Ni tatizo LA kibinadamu, kulitibu unaweka mifumo, sheria na taratibu, wenzetu wazungu, wanalijua hili vzr, wameweka miingozo mizuri ya, kufata,hata, kama, kuna MTU kimeo ofcn, hawezi kuleta madhara, maaana, kuna check and balance system,
Bongo, Mkurugenzi, anashika makalio ya wanawake, akishitakiwa, badala ya kufukuzwa kazi, anahamishwa kituo, kwa wenzetu, kazi, human, period!
 
M
Wasalam,

Mimi kama Pharaoh Mtakatifu nashangaa sana na baadhi ya ndugu zangu Watanzania kwanini, hatupendani kwanini tuna wivu na kwanini ni wavivu kiasi hiki!

Sijawahi enda nje ya nchi kikazi la hasha naogopa dhambi au uongo, lakini nimefanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali baadhi nayaorodhesha hapa; Waaustralia, Canada, Philipino, China, South Africa, Misri, Burkinafaso, Ghana, Mali, Zambia, Malawi nk.

Nimefanya nao kazi za migodini kwa muda mrefu sana, wengine hata kibiashara, nakiri wazi jamaa wanapendana kuliko sisi wabongo.

Kwanini mbongo akiona mbongo mwenzie kapandishwa cheo au kamzidi kwa lolote aisee anainua majungu na fitina hatari, lakini hali ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama Ghana. Mwezao akipandishwa cheo tegemea watamfanyia party ya kumpongeza hata kama wasipofanya lakini utaona wazi kabisa wanampa sapport kubwa sana mwenzao.

Hata hawa Waarabu, Wamisri na mataifa mengine hufanya hivyohivyo lakini kwetu sisi ni toafuti. Ikitokea inafanywa party basi jua kabisa hiyo party umehusika wewe asilimia %99.99 japo watakuja kula na kunywa kwa unafiki tu huku wakizuga kucheza, lakini kwa chini chini utasikia hapo hapo kwenye party watu wanapiga misumari na kula umewalisha! Tubadilike ndugu zangu.

Wabongo ni wavivu sana, ni ukweli usiopingika. Mtanzania atakuja kuomba kazi huku mikono ikiwa mbele tena kwa nidhamu na heshima ya juu sana lakini pindi akipata tu hiyo kazi ndio utajua humjui!

Atakuonuesha kila aina ya mabaka yake na ruhusa zisizo na maana kabisa, akimaliza za kuuguliwa mke au watoto anaanza kuua ndugu zake kama mjomba kafariki nahitajika msibani, mara shangazi, mara mama mdogo kafa na ajari ndio alikuwa ananilea na visingizio vya ajabu ajabu ilimradi umpe ruhusa!

Hata akiwa kazini anafanya tu ili muda ufike arudi nyumbani. Mbongo yupo radhi alale muda wa kazi na akuambie angalia ukiona kiongozi anakuja au tochi/nisitue (kwa waliowahi fanya kazi za underground wataelewa) jambo ambalo kwa mataifa mengine ni ngumu sana kuliona.

Mbongo hajali kabisa muda wa kazi lakini muda wa kutoka kazini anajali kuliko kawaida, tena akichelewa siku 3 tu anadai alipwe lakini kuchelewa eneo la kazi ni kila siku.

Hawa Wazungu hasa wa Canada na Australia niliowahi kufanya nao kazi aisee hadi raha, wanakuelekeza kwa vitendo na kazi mnafanya wote, hawachagui, ukifika muda wa msosi ni msosi. Yaani ukienda nae site unajua kabisa hapa tunafika kwa wakati eneo la kazi na tutafanya kazi kwa wakati na kutoka kwa wakati na kitu kinaenda hivohivo.

Mbongo sasa umkute yeye anajua kitu fulani na wewe hukijui, utajuta! Atakupasha matusi mara wee umesoma kweli wewe, wakati yeye hata la saba hakumaliza!

Yaani hii haipo kwa wengine, hao wote anakumbia hapa nitakufundisha kwa masaa 2 kwa leo tutaendelea tena kesho, ni raha tu mradi wewe uwe unajua lugha tu na hata usipojua kikubwa juhudi na heshima yako utaelewa hadi kimombo chenyewe!

Wabongo tunakera sana, kwanini tunashindwa kujifunza hata kwa Kafrika wenzetu kama watu wa Mali na Malawi, Ghana nk?

Akiona unataka kuchomoza tu mbongo anaenda kukusagia kunguni kwa boss ili ufukuzwe kazi, hapo ndio raha ya mbongo. Sasa kwa wenzetu ni huzuni sana mwenzao akifukuzwa kazi!

Najiuliza tunafeli wapi sisi? Mimi au yule akifanikiwa wewe utapungukiwa na nini? Kwanini uwe mvivu basi? Kazi zenyewe tunapeana kwa kujuana, ukabila upo juu sana bongo hii.

Ni mengi acha mimi Pharaoh Mtakatifu niishie hapa.

Tubadilike.

Ahsanteni.
Mfano wako ni wa mbali sana,anza na ngazi ya familia. Mbona ni juzi tu tumeona familia ya Mwakinyo!
 
Wasalam,

Mimi kama Pharaoh Mtakatifu nashangaa sana na baadhi ya ndugu zangu Watanzania kwanini, hatupendani kwanini tuna wivu na kwanini ni wavivu kiasi hiki!

Sijawahi enda nje ya nchi kikazi la hasha naogopa dhambi au uongo, lakini nimefanya kazi na watu wa mataifa mbalimbali baadhi nayaorodhesha hapa; Waaustralia, Canada, Philipino, China, South Africa, Misri, Burkinafaso, Ghana, Mali, Zambia, Malawi nk.

Nimefanya nao kazi za migodini kwa muda mrefu sana, wengine hata kibiashara, nakiri wazi jamaa wanapendana kuliko sisi wabongo.

Kwanini mbongo akiona mbongo mwenzie kapandishwa cheo au kamzidi kwa lolote aisee anainua majungu na fitina hatari, lakini hali ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama Ghana. Mwezao akipandishwa cheo tegemea watamfanyia party ya kumpongeza hata kama wasipofanya lakini utaona wazi kabisa wanampa sapport kubwa sana mwenzao.

Hata hawa Waarabu, Wamisri na mataifa mengine hufanya hivyohivyo lakini kwetu sisi ni toafuti. Ikitokea inafanywa party basi jua kabisa hiyo party umehusika wewe asilimia %99.99 japo watakuja kula na kunywa kwa unafiki tu huku wakizuga kucheza, lakini kwa chini chini utasikia hapo hapo kwenye party watu wanapiga misumari na kula umewalisha! Tubadilike ndugu zangu.

Wabongo ni wavivu sana, ni ukweli usiopingika. Mtanzania atakuja kuomba kazi huku mikono ikiwa mbele tena kwa nidhamu na heshima ya juu sana lakini pindi akipata tu hiyo kazi ndio utajua humjui!

Atakuonuesha kila aina ya mabaka yake na ruhusa zisizo na maana kabisa, akimaliza za kuuguliwa mke au watoto anaanza kuua ndugu zake kama mjomba kafariki nahitajika msibani, mara shangazi, mara mama mdogo kafa na ajari ndio alikuwa ananilea na visingizio vya ajabu ajabu ilimradi umpe ruhusa!

Hata akiwa kazini anafanya tu ili muda ufike arudi nyumbani. Mbongo yupo radhi alale muda wa kazi na akuambie angalia ukiona kiongozi anakuja au tochi/nisitue (kwa waliowahi fanya kazi za underground wataelewa) jambo ambalo kwa mataifa mengine ni ngumu sana kuliona.

Mbongo hajali kabisa muda wa kazi lakini muda wa kutoka kazini anajali kuliko kawaida, tena akichelewa siku 3 tu anadai alipwe lakini kuchelewa eneo la kazi ni kila siku.

Hawa Wazungu hasa wa Canada na Australia niliowahi kufanya nao kazi aisee hadi raha, wanakuelekeza kwa vitendo na kazi mnafanya wote, hawachagui, ukifika muda wa msosi ni msosi. Yaani ukienda nae site unajua kabisa hapa tunafika kwa wakati eneo la kazi na tutafanya kazi kwa wakati na kutoka kwa wakati na kitu kinaenda hivohivo.

Mbongo sasa umkute yeye anajua kitu fulani na wewe hukijui, utajuta! Atakupasha matusi mara wee umesoma kweli wewe, wakati yeye hata la saba hakumaliza!

Yaani hii haipo kwa wengine, hao wote anakumbia hapa nitakufundisha kwa masaa 2 kwa leo tutaendelea tena kesho, ni raha tu mradi wewe uwe unajua lugha tu na hata usipojua kikubwa juhudi na heshima yako utaelewa hadi kimombo chenyewe!

Wabongo tunakera sana, kwanini tunashindwa kujifunza hata kwa Kafrika wenzetu kama watu wa Mali na Malawi, Ghana nk?

Akiona unataka kuchomoza tu mbongo anaenda kukusagia kunguni kwa boss ili ufukuzwe kazi, hapo ndio raha ya mbongo. Sasa kwa wenzetu ni huzuni sana mwenzao akifukuzwa kazi!

Najiuliza tunafeli wapi sisi? Mimi au yule akifanikiwa wewe utapungukiwa na nini? Kwanini uwe mvivu basi? Kazi zenyewe tunapeana kwa kujuana, ukabila upo juu sana bongo hii.

Ni mengi acha mimi Pharaoh Mtakatifu niishie hapa.

Tubadilike.

Ahsanteni.
Hata mimi binafsi sipendi kuajili wabongo kutokana na ubabaishaji wao na uvivu makazini pia ni wezi sana.
 
Maskini huchukiwa hata na ndugu zake bali tajiri huwa na marafiki wengi. roho ya umaskini ni mbaya sana. Ikimvaa mtu hata awe na hekima vipi hekima yake haitasikilizwa coz hana influence 😂😂😂😁😀.
 
Back
Top Bottom