Vijana wa Rombo - Kilimanjaro wanateketea kwa unywaji pombe hovyo

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Aug 19, 2017
2,830
2,417
Kiufupi, nimesafiri kwa mara ya kwanza safari ya mabasi ya usiku yaondokayo saa 2 usiku Dar es salaam na kuelekea Rombo. Kwa bahati nzuri au mbaya nimefanikiwa kufika muda wa saa 11 asubuhi hapa Mamsera hivyo nimepata kushuhudia mengi sana.

Vijana wamejaa kwenye kibanda muda huu wanaagiza tu pombe kali na pombe za kwenye chupa zina rangi ya njano, aisee nimesikitika sana mpaka nimejiuliza ni hawa hawa wachaga ninaowaaminia kwa utafutaji wakiwa mijini huku wanakuwa wapumbavu hivi.

Kunywa pombe saa 11 asubuhi hata kwetu Rungwe Kiwira huko hawafanyi upumbavu.

Ndugu zangu wachaga jiangalieni kwenye hili kwa ajili ya vizazi vyenu vijavyo bila hivyo mtapoteza nguvu kazi zote mbeleni huko.
 
Kiufupi, nimesafiri kwa mara ya kwanza safari ya mabasi ya usiku yaondokayo saa 2 usiku Dar es salaam na kuelekea Rombo. Kwa bahati nzuri au mbaya nimefanikiwa kufika muda wa saa 11 asubuhi hapa Mamsera hivyo nimepata kushuhudia mengi sana.

Vijana wamejaa kwenye kibanda muda huu wanaagiza tu pombe kali na pombe za kwenye chupa zina rangi ya njano, aisee nimesikitika sana mpaka nimejiuliza ni hawa hawa wachaga ninaowaaminia kwa utafutaji wakiwa mijini huku wanakuwa wapumbavu hivi.

Kunywa pombe saa 11 asubuhi hata kwetu Rungwe Kiwira huko hawafanyi upumbavu.

Ndugu zangu wachaga jiangalieni kwenye hili kwa ajili ya vizazi vyenu vijavyo bila hivyo mtapoteza nguvu kazi zote mbeleni huko.


Pole na safari na Asante kwa ushauri.

Swala la pombe limekuwa tatizo sugu mkuu watu wanapitia changamoto Sana (vijana)

Ningeomba serikali iweke nguvu kwenye hizo pombe ambazo ziwe legally , ziwe ni zile ambazo hazina madhara makubwa Sana na zenye Alcohol power ndogo.
 
Hilo linafikirisha na kusikitisha mnoo aisee!Wachaga wanaeleweka kwa upambanaji.Kunywa ni kweli wanakunywa kwa baadhi lakini siyo hadi tuwaweke kundi hilo.Wabadilike.Serikali ipige marufuku vipombe bei ndogo kuzagaa mitaani.Siyo Rombo tu.Ni nchi nzima vikatazwe.
 
Kiufupi, nimesafiri kwa mara ya kwanza safari ya mabasi ya usiku yaondokayo saa 2 usiku Dar es salaam na kuelekea Rombo. Kwa bahati nzuri au mbaya nimefanikiwa kufika muda wa saa 11 asubuhi hapa Mamsera hivyo nimepata kushuhudia mengi sana.

Vijana wamejaa kwenye kibanda muda huu wanaagiza tu pombe kali na pombe za kwenye chupa zina rangi ya njano, aisee nimesikitika sana mpaka nimejiuliza ni hawa hawa wachaga ninaowaaminia kwa utafutaji wakiwa mijini huku wanakuwa wapumbavu hivi.

Kunywa pombe saa 11 asubuhi hata kwetu Rungwe Kiwira huko hawafanyi upumbavu.

Ndugu zangu wachaga jiangalieni kwenye hili kwa ajili ya vizazi vyenu vijavyo bila hivyo mtapoteza nguvu kazi zote mbeleni huko.
Huko wameshindwa hata kuzalisha wanawake, kuna shule darasa la kwanza imesajili watoto 3 tu mwaka huu. Wachaga kwao ni maskini na wa hovyo sana.
 
Kiufupi, nimesafiri kwa mara ya kwanza safari ya mabasi ya usiku yaondokayo saa 2 usiku Dar es salaam na kuelekea Rombo. Kwa bahati nzuri au mbaya nimefanikiwa kufika muda wa saa 11 asubuhi hapa Mamsera hivyo nimepata kushuhudia mengi sana.

Vijana wamejaa kwenye kibanda muda huu wanaagiza tu pombe kali na pombe za kwenye chupa zina rangi ya njano, aisee nimesikitika sana mpaka nimejiuliza ni hawa hawa wachaga ninaowaaminia kwa utafutaji wakiwa mijini huku wanakuwa wapumbavu hivi.

Kunywa pombe saa 11 asubuhi hata kwetu Rungwe Kiwira huko hawafanyi upumbavu.

Ndugu zangu wachaga jiangalieni kwenye hili kwa ajili ya vizazi vyenu vijavyo bila hivyo mtapoteza nguvu kazi zote mbeleni huko.
Sio Rombo tu. Ni uchagani kote kuanzia Rombo mpaka Sanya juu huko. Ndo maana Kilimanjaro siku hiz Kuna matukio ya ajabu ajabu. Mara ulawiti, mauaji nk
 
Back
Top Bottom