Watanzania Wengi ni Wavivu? The Moment of Truth!

Maisha ya Wakenya wengi wasio katika mfumo wa ufanyaji kazi serikalini na hata viwandani ni ya ovyo sana ,na umaskini mukubwa huwezi kulinganisha maisha ya Kibera,Pumwani na maisha ya aina yeyote hapa Tanzania,Watanzania tuko mbali sana hapa kila mtu anakula kwake kila mtu kwa njia moja au nyingine ana shamba na ana kwao hali ambayo si laisi nchini Kenya,Tanzania na Kutokujua Kiingereza imetoa viongozi wa Ngazi za Jumuiya ya Kimataifa kuliko hao wakenya Kama Migiro,Tibaijuka,Salim,Salim na wengine wengi tuu kwa hiyo hii Tabia ya Watanzania kujishusha wanaposikia Wakenya inanikera sana tena sana,jamani lazima tuanze kujifunza kwama katika Africa Mashariki Lazima Watanzania tuwe viongoizi katika nyanja zote kiuchumi,kielimu,utamaduni,ustawi,na maendeleo tubadili fikra potofu,nchi yetu kubwa na tajiri sana,haya hima tuamuke
 
Hivi kuna 'common market' document ambayo ina details zote? Kama ipo tuwekeeni humu, inagawaje tatembelea tovuti ya wizara ya EAC baadaye kidogo!
 
Experts wa mtaa wa Ohio nyakati za usiku watakapoingia huko ndipo watakapoona kumbe si kazi zote lazima uende shule rasmi (formal education).
 
Napenda kuwasilisha hii mada kwa wadau..nimekutana na watu mbalimbali katika kutafuta maisha hapa na pale..

idadi kubwa ya watanzania ni wavivu hawapendi kufanya kazi na pale kazi inapopatikana basi huwa ni wachaguzi wa kazi..hata kama hana kazi..wengi wao wanapenda kupiga vibuti sio wazee wala vijana(ombaomba),Wanapenda sana starehe kuliko kujenga maisha yao ya baadaye.pia wanapenda kuongea zaidi kuliko kufanya maamuzi..(slow dicision making),pia ni walalamishi kupitiliza..

Hata wale waliobaatika kwenda nje basi wengine wao wanaweza kubadilika kimtazamo na kuanza kufanya kazi kwa bidii..na pia wengine bado huendelea kuwa na tabia ya uvivu waliyotokana nayo bongo kwa kuendelea kuchagua kazi hata kama hana kazi..ili mradi akiwa hana kitu basi utaona simu inapigwa hakiitaji msaada lakini ukimwambia kufanya kazi basi hatakaaa na kukwambia kazi hii..ni ngumu.
 
Napenda kuwasilisha hii mada kwa wadau..nimekutana na watu mbalimbali katika kutafuta maisha hapa na pale..

idadi kubwa ya watanzania ni wavivu hawapendi kufanya kazi na pale kazi inapopatikana basi huwa ni wachaguzi wa kazi..hata kama hana kazi..wengi wao wanapenda kupiga vibuti sio wazee wala vijana(ombaomba),Wanapenda sana starehe kuliko kujenga maisha yao ya baadaye.pia wanapenda kuongea zaidi kuliko kufanya maamuzi..(slow dicision making),pia ni walalamishi kupitiliza..

Hata wale waliobaatika kwenda nje basi wengine wao wanaweza kubadilika kimtazamo na kuanza kufanya kazi kwa bidii..na pia wengine bado huendelea kuwa na tabia ya uvivu waliyotokana nayo bongo kwa kuendelea kuchagua kazi hata kama hana kazi..ili mradi akiwa hana kitu basi utaona simu inapigwa hakiitaji msaada lakini ukimwambia kufanya kazi basi hatakaaa na kukwambia kazi hii..ni ngumu.

hata wewe ni mvivu wa kufikiri...bandiko lako ni la kulalamika lalamika tuu...hutoi ushauri nini kifanyike kuondoa hii syndrome ya uvivu
 
Labda nini kifanyike, ama suluhisho nini.
Tunapenda sana raha ama?
 
Napenda kuwasilisha hii mada kwa wadau..nimekutana na watu mbalimbali katika kutafuta maisha hapa na pale..

idadi kubwa ya watanzania ni wavivu hawapendi kufanya kazi na pale kazi inapopatikana basi huwa ni wachaguzi wa kazi..hata kama hana kazi..wengi wao wanapenda kupiga vibuti sio wazee wala vijana(ombaomba),Wanapenda sana starehe kuliko kujenga maisha yao ya baadaye.pia wanapenda kuongea zaidi kuliko kufanya maamuzi..(slow dicision making),pia ni walalamishi kupitiliza..

Hata wale waliobaatika kwenda nje basi wengine wao wanaweza kubadilika kimtazamo na kuanza kufanya kazi kwa bidii..na pia wengine bado huendelea kuwa na tabia ya uvivu waliyotokana nayo bongo kwa kuendelea kuchagua kazi hata kama hana kazi..ili mradi akiwa hana kitu basi utaona simu inapigwa hakiitaji msaada lakini ukimwambia kufanya kazi basi hatakaaa na kukwambia kazi hii..ni ngumu.

Tena wavivu mno, na wakipata kazi huchezea sana,. Hiv kwa nini?
 
Japo si vema sana ku-generalize watanzania wote kuwa wana tabia mbovu, ninafikiri hata wewe pia una matatizo, ama ya kuto kufikiri au ubinafsi na uchoyo, kutopenda kuwapa mwanga wenzio ili wafikie hapo ulipofikia wewe badala yake unaishia kulalamika na kunun'gunika.

Kama kweli unayo nia njema kutoka moyoni yafaa kuwapa wenzio strategies za kutoka ki-maisha badala ya kuwa mbinafsi
 
hili jambo ni la kweli......mi nawablame UDSM ndio wanachangia kufanya watu wawe na tabia hizi.

na pia sisi kwa sisi tunasaidia pia....tunapenda kusifiana kwenye mambo ya kijinga.

solutions:
1. UDSM waanzishe volunteering programs ili kujenga hulka ya watu kupenda kazi bila kuangalia maslahi kwanza....
2. tuache kusifiana mtu akitumia shortcut kupata hela.....hela na kazi inabidi ziwe propotional. Na watu wasifiwe kwa kuwa wachapakazi, sio kwa kuwa matajiri.

Ili iwe more practical...tungeanzia humu JF kuanzisha petition ya kwenda kuvolunteer sehemu.
 
wavivu kwenye kazi?
Kazi huko zinzpatikana?
Wengine wanapewa kazi kwa masharti magumu...ndio maana wanachagua kwenye uhuru zaidi.
Mimi MTz nachapa kazi huku vzuri.
Tangu nlipokua huko Bongo...uvivu mwingine vzuri kufafafanua si kukusanya wa Tz wote.
Hupewi kazi kama ni jinsia ya kike waitiwa na kupewa hadi utowe rushwa ya ngono.
Huyu mleta hii topic sijajua ametumia vgezo gani?
Kama amegundua sasa ataje nini kifanyike?
I like to proud Mtz everywhere.
 
hili jambo ni la kweli......mi nawablame UDSM ndio wanachangia kufanya watu wawe na tabia hizi.

na pia sisi kwa sisi tunasaidia pia....tunapenda kusifiana kwenye mambo ya kijinga.

solutions:
1. UDSM waanzishe volunteering programs ili kujenga hulka ya watu kupenda kazi bila kuangalia maslahi kwanza....
2. tuache kusifiana mtu akitumia shortcut kupata hela.....hela na kazi inabidi ziwe propotional. Na watu wasifiwe kwa kuwa wachapakazi, sio kwa kuwa matajiri.

Ili iwe more practical...tungeanzia humu JF kuanzisha petition ya kwenda kuvolunteer sehemu.

mkuu.... watanzania wachache sana wanapitia hapo UDSM ..... ungetuambia wanafunzi wakifika form three waende ku volunteer katika centers za community na municipal councils.... na miradi mingine ya taifa....hapo tunaweza kuanza kujenga hulka ya kupenda kufanya kazi

lakini pia mvivu ni mvivu tu...
 
Napenda kuwasilisha hii mada kwa wadau..nimekutana na watu mbalimbali katika kutafuta maisha hapa na pale..

idadi kubwa ya watanzania ni wavivu hawapendi kufanya kazi na pale kazi inapopatikana basi huwa ni wachaguzi wa kazi..hata kama hana kazi..wengi wao wanapenda kupiga vibuti sio wazee wala vijana(ombaomba),Wanapenda sana starehe kuliko kujenga maisha yao ya baadaye.pia wanapenda kuongea zaidi kuliko kufanya maamuzi..(slow dicision making),pia ni walalamishi kupitiliza..

Hata wale waliobaatika kwenda nje basi wengine wao wanaweza kubadilika kimtazamo na kuanza kufanya kazi kwa bidii..na pia wengine bado huendelea kuwa na tabia ya uvivu waliyotokana nayo bongo kwa kuendelea kuchagua kazi hata kama hana kazi..ili mradi akiwa hana kitu basi utaona simu inapigwa hakiitaji msaada lakini ukimwambia kufanya kazi basi hatakaaa na kukwambia kazi hii..ni ngumu.

Data?
Source of your personal research?
 
wewe mwenyewe unaonyesha ni mvivu ila unabadiliko lako ni lakuongea 2uu hebu kwanza nikuulize je ulipoona hvyo umewashaur nini hao uliokutana nao? Au na wewe ndo umekuwa mvivu kama hao?
 
Wengi tunachapa kazi bila kupumzika kwa ufanisi mkubwa mkuu

Hao walioko serikali (civil servants) ndio wavivu wengi wao ni wakristo (maofisa)

Wavivu kazi kufikiria bia, vikao, na wanawake period! tena si kuuoa ni vimada
 
uvivu unakujaje? yawezekana nawe umechangia uvivu huo. imajine mkulima anajikunja kulima mazao anapata gunia let say 100. msimu wa kuuza ukifika anaambiwa haruhusiwi kusafirisha mazao nje bali auze ndani kwa bei ya kutupwa. Je mwakani atajituma?. upo ofisini unafanya kazi kwa kujituma wa kwanza kukudisapoint ni bosi wako anahakikisha kuwa kazi zote anazihodhi ili kulinda maslahi yake. hapo kujituma kutatoka wapi? mifano ipo mingi inayozalisha wavivu. tujaribu kutatua vizalisha uvivu ndo tutafanikiwa
 
Hivi kuna watu wavivu kama wazungu? hata uji wa mtoto au chakula cha watoto kipo kwenye makopo hana haja ya kujishughulisha. Mbongo anajitahidi kukopa ajenge kibanda Mzungu anajitahidi kuweka akiba ili mwisho wa mwaka akatembee africa,hana haja ya kujenga yeye anapanga kwenye flats ndio maisha yao, kazi zao nyingi zinafanywa na mashine,sasa utasemaje mbongo ni mvivu mtu anashidna shamba kutwa analima kwa jembe la mkono? mfano wachaga wa rombo wanaokesha kulima huko mashambani kenya nk,nenda morogoro,rukwa nk, mijini huku kazi hazipo,si wote waliobahatika kusoma hadi UDSM,wapo wengine wanapenda kufanya biashara lakini mitaji hawana sasa wafanyeje? Waajiri nao wanabagua wabongo wanawapa kazi watu wa nje kama kenya na Uganda kisa wanajua kiingereza nk fanya savei makampuni mengi tu hata mahoteli utashangaa meneja ni Mkenya ilihali mbongo anaachwa wkt ana uwezo.Sijaelewa unaposema wataz ni wavivu.
 
Habari zenu wanajf wote kwa ujumla wakiwemo mods,

naomba tupate mawazo kwenye hili suala.
leo asubuh nikiwa kwenye kisusafiri naelekea kazini nimesikia East africa radio wakiuliza '' watanzania ni wavivu katika utendaji wa kazi katika nyanja zote au?''compared to kenye and uganda
bahati mbaya sikuweza kusikiliza maoni ya wachangiaji.
nimeamua nililete apa jf tupate mawazo.
 
Back
Top Bottom