Bongo ukimpenda mtu utaitwa mshamba. Mwanamke wa kibongo akijua unampenda na kumjali anakutangaza kwa rafiki zake kuwa amekukamata na huwezi kufurukuta, na hata fala atakuita.
Wabongo wengi hawajui thamani ya upendo. Niliwahi kununua maua Mlimani city halafu nikampa muuzaji kama ishara ya upendo, my god sitosahau. Walinishangaa mno, nilichekwa na kuulizwa we kabila gani? Ingawa yule mzee muuzaji hakucheka na hakuwa na nongwa.
Hatujui thamani ya upendo, inaonekana hatutakiwi kupendwa wala kuoneshwa upendo. Hivi wazungu wanatuacha wapi? Mbona wapo tofauti mno na sisi?
Mwisho, ni kwa nini Wabongo wengi hupenda kucheka cheka hovyo? Sio vyuoni, sio mikutanoni sio ofisini. Mbona tuna vitabia vya kipuuzi puuzi hivi?
Tunafeli wapi? Je, Trump alikuwa sahihi?
Wabongo wengi hawajui thamani ya upendo. Niliwahi kununua maua Mlimani city halafu nikampa muuzaji kama ishara ya upendo, my god sitosahau. Walinishangaa mno, nilichekwa na kuulizwa we kabila gani? Ingawa yule mzee muuzaji hakucheka na hakuwa na nongwa.
Hatujui thamani ya upendo, inaonekana hatutakiwi kupendwa wala kuoneshwa upendo. Hivi wazungu wanatuacha wapi? Mbona wapo tofauti mno na sisi?
Mwisho, ni kwa nini Wabongo wengi hupenda kucheka cheka hovyo? Sio vyuoni, sio mikutanoni sio ofisini. Mbona tuna vitabia vya kipuuzi puuzi hivi?
Tunafeli wapi? Je, Trump alikuwa sahihi?