Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Tatizo lako ni kuwa hujijui kuwa ni mpumbavu.
Ile meseji ilielekezwa kwa mpumbavu mwingine, specifically ilikuwa mahsusi kwake. ila ilikuwa ina mtego pia ndani yake. Na mtego ulilenga kuwatambua wapumbavu wengine pia. Nashukuru kuwa umesimama uhesabiwe.
From now on, u r in my list. Hongera! LOLZ
Hivi mkiulizwa mnagombania nini mtasemaje enyi great thinkers?
Hivi Kichaa na anayejibizana na kichaa,nani anaonekana kichaa(samahani huu ni mfano tu).
Bifu sio zuri jamani! i beg you.
Nothing personal ni upendo tu