Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
a FOOL doesn't understand how 'IGNORE LIST TOOL' works, you are talking to yourself.. lolz
you are a "nerd"
a FOOL doesn't understand how 'IGNORE LIST TOOL' works, you are talking to yourself.. lolz
wanamuziki wabongo tatizo exposure ndogo.
1.wanamziki wa Bongo flavor woooote wanaboa hawako well organized ,hawajali time ,wanadhani wote tunapuliza bangi wakisema saa 3 wanapanda jukwaani saa saba .wanapaform ka song ka moja then wanakata kona
Sijui mawazo yao huwa wanadhani tumeingia bure??
Mwisho hawajui kuimba live katika majukwa ni bora usikilize miziki yao kwenye TV ,au redio
Hawa masupa staa wa movie za kibongo -- sitaki hata kuziangalia
Marin Hassan Marin wa TBC jamaa sijui huwa linaongeaje, mijitu mingine bwana, yaani nilikuwa nataka kuangalia interview ya elizabeth wa BBA ghafla nikaliona na stimu zote kwishney.
Hii ni kweli kabisa 100%;anarusharusha mikono hovyo, anapepesa kichwa kama vile ana taahira ya akili, hayuko serious kabisa na anamove left right and center
The person who hates u most is the one who loves u most.
a FOOL doesn't understand how 'IGNORE LIST TOOL' works, you are talking to yourself.. lolz
"Better to remain silent and be thought a fool than to speak out and remove all doubt.
Any fool can make things bigger, more complex, and more violent. It takes a touch of genius - and a lot of courage -to move in the opposite direction.
Hahaha! Umenikumbusha mtanzania anayekwenda kwa jina la Isack Muyenjwa Gamba wa ITV. Akiwa anamfanyia mtu interview huwa nahamisha channel!
Marin Hassan Marin wa TBC jamaa sijui huwa linaongeaje, mijitu mingine bwana, yaani nilikuwa nataka kuangalia interview ya elizabeth wa BBA ghafla nikaliona na stimu zote kwishney.
Unaweza ukadandia treni yoyote kwa mbele kama inarudi nyuma........ Usikariri. Inategemea direction.Naona unadandia treni za India kwa mbele..
Huo ujumbe ulitakiwa uuchukue wewe mwenyewe na kuufanyia kazi..Mr. Clueless..lolz.
Simtembelei, asinitembelee, simsalimii na wala asinisalimie......... MBONA INGEKUWA KAZI...!!!vipi angekuwa ni ndugu yako?
Sauda Mwilima, Dida na Maimatha wanaboa sana
Naona unadandia treni za India kwa mbele..
Huo ujumbe ulitakiwa uuchukue wewe mwenyewe na kuufanyia kazi..Mr. Clueless..lolz.