Watanzania waliosoma Havard

Watanzania waliosoma Havard

So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?

Seneta Wa Mtwiz,

Huyu amesoma pale Bachelor, Master hadi Ph.D,

Na anafundisha palepale.

Ongezeni wengine tuwatambue zaidi.

 
Kusoma vyuo vikubwa Kama Harvard, Yale, Imperial, Cambridge , Oxford or LSE...ni opportunity kubwa sana. Kwanza wana pesa kwa hiyo ukiingia hautakosa funds za kufanya research unayoitaka.

Hii dunia has immense opportunities. It is just for people to tap them.

Nakumbuka wakati nataka kufanya masters..I applied to more than 15 universities in US and Europe! Siyo rahisi especially for kids from poor background, lakini hivi vyuo ukipambana vinaingilika sana tuu.
 
Kama alivyosema Sheriff Arpaio...Harvard kuna baadhi ya wabongo wapo hapo na wengine wamepiga Ila kwa privacy za watu hatupendi kuziingilia au kuzivuruga. Kuna Kijana mmoja ni Daktari(Bio Chem)na wawili ni wachumi.
Haya ndio mambo yanayofanya umasikini apa Africa. Kuficha kuficha, unakuta MTU ana uwezo lakini anafichwa fichwa eti Privacy kweli Africa ni shithole
 
Nimepata admission huko Harvard nimeomba nchi inisaidie gharama eeh Mungu saidia sina kadi ya chama
 
Nimeona comments nyingi za majungu kuliko majina ya wana Havard. Wabongo nawapigia salute.
 
kuna tofauti na mtu aliyesoma Makerere siku za nyuma? ina maana ni genius tu wanaoenda Havard? nawajua watu wa kawaida tu wapo Harvard. Anyway, is among the best universities in the world
 
Na Professor Mwajaha POSSI (sijui kama nimepatia jina la kwanza), FF umenikumbusha Justinian(R.I.P). Je former Prime Minister one Sumaye hajasoma Havard kweli - if my memories servers me right.
Ni Mwajabu Possi, the mother of PhD sons, wale ma albino cousin of high court judge, etc etc kuna familia zimeenda shule kusoma
 
Back
Top Bottom