Mkuu..Not gifted skills mkuu mbona mi sijasoma huko lakini nilipata kazi kwenye company kubwa duniani kabla hata sijafika mwaka wa mwisho mkuu,kikubwa ni kuonesha uwezo ulio nao
Hebu niambie degree ya Havard inasaidia nini kama haina mchango kwa Taifa na jamii kwa ujumla.Nataka iwe na mafanikio kwa jamii kwanza.Mafanikio yako tuyaone bila hata ya kuingia kwenye siasa.Maana kwenye siasa hata asiye genius hugeuka ghafla kuwa genius
Mmoja mtoto wa waziri wa Kike nomaa kutaja jinaNafikiri ukishasoma tu Harvard ni kitu tosha watu wakufahamu..
sio kila mtu anapata nafasi ya kusoma Harvard...
watu wangependa wajue ni nani na nani au?
Currently kuna vijana watatu wa kibongo ninaowafahamu pale Harvad School of Med. na mmoja yupo Havard Law, But as a matter of privacy I'm not gonna disclose their names
FaizaFoxy
Tuwe wa kweli hatuna pa kumuweka na urasimu wa serekali ya MACCM ni SUMU na mjua yule mtaalamu wa CUMA aliyepo Scandnavia country huko ansema walisomeshwa na Nyerere kuja kuzalisha chuma na makaa ya mawe na madini mengine, wamemaliza shule na wamebobe sasa wamerudi NDC na serekali ya MKAPA waliwapiga chini na kuwadharau na sasa wamerudi hukohuko wanaendlea na maisha.
Ona huyu mbona NASA walimruhusu.
Wamarekani ni "head hunters manake wakishamwona mtu ambaye ni kichwa hawawezi kabisa kumwachia!!!!
Ninyi kumbe wa juzijuzi, enzi za Yamsebo...!Sawia mkuu,tukumbushane enzi za akina Mwaihojo,Yamsebo n.k
Unammogopa mtoto wa waziri .
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Nadhani mkuu The Boss kuna haja ya kuwajua, kama na Chenge (Mzee wa vijisenti) amesoma huko!....Hii itatusaidia kupima mchango wao kwa sababu uwezo wa wahitimu wa chuo ni miongoni mwa vigezo muhimu kutathmini ngazi ya ubora wa chuo husika.
Havard siyo chuo bora. Ongelea MIT! Havard ni sawa na st mary za bongo. Wanasoma watoto nyanya nyanya wa wanasiasa halafu wanakuwa na wanafunzi wachache wenye akili na ma prof wao ni wale wanaowalipa mishahara mikubwa yaani ni ovyo ovyo tu
Extracurricular activities zipo nyingi tu hapo bongo. Mpeleke mtoto hata tennis academy, debating societies, spelling (bee) competitions, math & science society, foreign language institutes etc....try to be creative mkuu
Mtoto akitoka darasani mchana asikae bure tu hadi wakati wa kuingia kitandani
Harvard ina schools nyingi, wapo waliosoma na wanaosoma school ya public health wengi sana nadhani kila mwaka hawapungui sita, na wapo waliobaki kama post doctoral fellows kadhaa, humble guys
WHAT DO YOU WANT TO LEARN FROM THEM?
Ngoja nifanye utaratibu wa kumtafutia dogo hata guiter lessons maana si unajua hizi extracuricular ndio wanaangalia sana pale kwenye ivy league schools.
Tunawafahamu wengi sana! Bila shaka lengo lako ni jema lakini je "wewe ni "decision maker"? Maana hawa watu wanahitaji kutumiwa vizuri sana kwa faida ya taifa letu lakini pia walipwe vizuri na waepushwe na ubabaishaji serikalini na hata ktk sekta binafsi!
Ndio, wapo! Una lolote la kuwaambia? Kuwasidia?!
Ni kweli mkuu wenzetu wako makini sana kuchunguza interest za watoto wakiwa wadogo, wanawafanyia kila liwezekanalo kuwapeleka kwenye vikundi/society zinayo husika na interest zao, wakati mwingine wanapewa mafunzo ya ziada.