Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,341
- 34,715
Hivi tukisema wanajeshi wa kwetu nao wawafanyie hivyo wanavyo tufanyia tutakuwa tumekosea??Kimenuka Mozambique huko
Wanajaribu kuuwasha moto ambao ukikolea watashindwa kuuzima
Hivi tukisema wanajeshi wa kwetu nao wawafanyie hivyo wanavyo tufanyia tutakuwa tumekosea??Kimenuka Mozambique huko
Tatizo Wanasiasa Waliochoka Ndio Wanafanywa MabaloziWizara ya mambo ya nje ya Tanzania inatakiwa ijirekebishe namna inavyoshughulikia matatizo ya wananchi wake.
Miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nasoma nchi jirani. Kukatokea vurugu chuoni polisi wa kutuliza ghasia wa nchi hiyo waliingilia watu hadi vyumbani (hostel) kujeruhi na kubaka wanafunzi ambapo waathirika wengi walikuwa wasudani na watanzania.
Baada ya tukio tukaenda ubalozini tukijua tutasaidiwa hasa ukizingatia watu waliokuwa wanagoma ni wenyeji na sisi tulivamiwa vyumbani kwetu mbali kabisa na chuoni vurugu ilipotokea.Tulitegea basi balozi wetu atoe walau kauli ya kulaani kitendo hicho.
Lakini cha ajabu balozi ndio kwanza akaamza kutupiga mkwala na kutuona kama wakosaji badala ya kufuatilia na kuwasaidia waliojeruhiwa na kubakwa kupata matibabu.
Lakini kwa wenzetu wa Sudan hali ilikuwa tofaiti. Balozi wao alileta noma na raia wake walitibiwa bure na serikali ya nchi hiyo tulipofanyiwa vurugu.
Hii haina rofauti na ile iliyotokea south Africa kipindi flani waafrika tunashida mahali unamchukia mweusi mwwnzako badala ya mweupe aliyekunyonya miaka yote ya ukoloniKuna taarifa tangu jana zilikuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii, kuhusu watanzania waishio Msumbiji wamekamatwa na serikali ya huko na kuuwawa!ikiwa ni pamoja kuwekwa jela kwa kilichoelezwa kuwa waondoke Msumbiji sikwao!! na hata kama ulikuwa na karatasi halali za kuishi huko na kufanya kazi wametiwa ndani pia ,na hawakuwa na mda wakusoma dokment za mtu yoyote!! hata pasi za kusafiria zimechomwa!! hadi jana watu walikuwa hawatoki ndani!!!Inasadikika watu 4 walipoteza uhai!.Na hilo katika kipindi cha PowerBreakfast cha Clouds amesikika mtu akiojiwa na Clouds kuhusu hali ya huko na alikuwa akiomba msaada.
Hivyo tunaomba serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ichunguze hizi tuhuma.
we utakuwa chizi au ushawai kuingiliwa.amesema anataka kuludi ila ata wakikutwa kwenye magali wanashushwa na mipaka imefungwa uwe unasoma na kuelewa zuzu wee.. usisiem kila sehemm??!!Huyo dada atakuwa ni mgeni kwa huo mkoa wa pemba au caboligado hiyo ni ambush ya kawaida sana na ambushi kama hizo hutokea mara kwa mara sana kwenye huo mkoa kwahiyo atulie kila inchi inasheria zake.
Kama vp arudi home tz ili asibakwe
Najua huyo dada atakuwa montepez kijiji cha nanyupu kama id yangu hapo juu
Wa msumbiji ni wa makonde usitudanganye!Police wanaofanya hivyo sio wa kimakonde wewe ni police wa kimachangani hawapenda watanzania tangu Kitambo sana.
Naona unabwabwaja pasipo kuelewaRoho inaniuma ila serikali iangalie kwa jicho la tatu au kuna kitu tumewaudhi huku kwetu wanalipiza kisasi siamini kama hizo ni roho za kibinadam nahisi kama shetani ana mkono wake hapo!
Hii tabia ya Polisi wa MSUMBIJI kuwanyanyasa raia wa kigeni si ngeniMkuu nampula nako wameingia??ila hii ya muntipuez ni wivu tu hawa jamaa wananjaa xana wanaona wageni wanawazid parefu wkt wao hawataki kujituma ni pombe na kufanya matuc hawa mbwa roho inaniuma xna ndugu ztu wanateseka jmn hsa mabinti mana moza ke wa tz anathamani xna kuringanisha na matafaifa mengne,hvyo polic wanaitumia hii chanc kuwafanyia unyama [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Kaeni kwenu, mbona mnawahusu sana wahindi
Yaani huko tete ndio kupo salama kabisaKuna washikaji wangu wako mkoa tete lakin hawapatikan sielewi hata ni kwa nini
Mkuu nampula nako wameingia??ila hii ya muntipuez ni wivu tu hawa jamaa wananjaa xana wanaona wageni wanawazid parefu wkt wao hawataki kujituma ni pombe na kufanya matuc hawa mbwa roho inaniuma xna ndugu ztu wanateseka jmn hsa mabinti mana moza ke wa tz anathamani xna kuringanisha na matafaifa mengne,hvyo polic wanaitumia hii chanc kuwafanyia unyama [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Lazima kashasema hivyousikute mtu akatangaza hapo "waache wafie hukohuko, walienda kufanya nini", hapo ndipo utajua watu walivyo makatili. hata familia zao sijui huwa wanaishije, watakuwa wanapata shida sana kuishi na watu wa aina hiyo.
Mipaka haijafungwa watu wanapita kama kawaida ila ukaguzi ndio umezidishwawe utakuwa chizi au ushawai kuingiliwa.amesema anataka kuludi ila ata wakikutwa kwenye magali wanashushwa na mipaka imefungwa uwe unasoma na kuelewa zuzu wee.. usisiem kila sehemm??!!