Watanzania walio Msumbiji wadai wana matatizo

Watanzania walio Msumbiji wadai wana matatizo

Hii tabia ya Polisi wa MSUMBIJI kuwanyanyasa raia wa kigeni si ngeni
Ila kwa sasa wamekuwa wana deal sana na wageni wanaoishi montipuez sababu nimeongea na jamaa yangu yuko Pemba cabo del gado amenambia wao wako salama tu hata hao wanaotoka montipuez wanakimbilia huko Pemba
Kikubwa ni kwamba hawatakiwi wageni sehemu zenye migodi ya rubi
Yap nimekusoma mkuu ni kwli hii ishu imelenga sehemu zenye madini,kunataarifa wilaya ya ancuabe pia kuna ambush coz nako hawatakiwi hii ishu cio ya moza nzima ni baadhi ya maeneo yenye madini tu!!!
 
Mkuu kiheshimu Kiswahili.Unaelezea vitu vya maana lakini sifahamu
Xna
mana
Moza
Jmn
Hsa
Matuc
Chanc
Samahani kama nimekukwaza
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] mkuu kwani hujaelewa???ndo kiswahili chetu cha kimakonde lkn [emoji4][emoji6] [emoji6]
 
Du mbona hiyoo ni hatari sana kwa majirani zetu kutufanyia hivyoo.....hapa Dar wa msumbiji wako wengi tuu...ss ni ndgu moja East Africa .Frelimo tuliwasaidia sana kupata uhuru.
Wamesahau tumewasaidia kupata uhuru na tumewasomeshea watu wao .... kweli shukrani ya punda ni mateke
 
Kama unaishi kwenye nchi ya watu kinyume na taratibu ukitimuliwa inakuwa nongwa ?

Fuateni taratibu za nchi za watu mtaishi kwa amani
We unaelekea kama mmoja wa watumia madawa ya kulevya na avatar yako inaendana kabisa na wewe WANALALAMIKA WANANYANG'ANYWA VIBALI VYA KUISHI NA KUFANYA KAZI WANA KILA KITU KINACHOSTAILI KUISHI KULE WANACHOMEWA MADUKA NA KUBAKWA NA KUPOLWA MALI ZAO SASA HIZO HUKUMU KISHERIA ZINATAMBULIKA HATA KAMA WANA MAKOSA.?
 
We unaelekea kama mmoja wa watumia madawa ya kulevya na avatar yako inaendana kabisa na wewe WANALALAMIKA WANANYANG'ANYWA VIBALI VYA KUISHI NA KUFANYA KAZI WANA KILA KITU KINACHOSTAILI KUISHI KULE WANACHOMEWA MADUKA NA KUBAKWA NA KUPOLWA MALI ZAO SASA HIZO HUKUMU KISHERIA ZINATAMBULIKA HATA KAMA WANA MAKOSA.?
Ndio natumia shida yako nini ?
 
Mambo haya hujibiwa kwa kuwashughulikia wenzao wanaoishi upande wa pili.
Ukipigwa kofi unarudisha kofi na ngumi, mchokozi ananywea. Maneno matupu hayavunji mfupa.
Sasa kazi ipo kumjua mmakonde na mmozambique
 
Yap nimekusoma mkuu ni kwli hii ishu imelenga sehemu zenye madini,kunataarifa wilaya ya ancuabe pia kuna ambush coz nako hawatakiwi hii ishu cio ya moza nzima ni baadhi ya maeneo yenye madini tu!!!
Sasa kuchoma maduka , kubakwa na kunyang'anywa fedha na mali hilo ndiyo SUBJECT MATTER ya HUMMILITION
 
Hili jambo ni kubwa, serikali yetu lazima ilikemee hili. Nadhani huwa wanapitia mitandao yetu, watz wakawaida tunahitaji mkono wa serikali kuingilia kati ktk swala hili.

Haipaswi kukaa kimya huku raia wenzetu wakinyanyasika hata kama wamevunja sheria zao. Mwiko.
 
Najuta kuchangia damu yangu mwaka 1974 ili kuwasaidia waliokuwa ndugu zetu wa Msumbiji katika mapambano yao dhidi ya ukoloni mkongwe wa Ureno. Ama kweli tenda wema wende zako, usingoje shukrani.

Mh kazi ipo kwa kweli.Hawa ndugu zetu vipi tena?Wameshasahau?
 
Huyo dada atakuwa ni mgeni kwa huo mkoa wa pemba au caboligado hiyo ni ambush ya kawaida sana na ambushi kama hizo hutokea mara kwa mara sana kwenye huo mkoa kwahiyo atulie kila inchi inasheria zake.

Kama vp arudi home tz ili asibakwe

Najua huyo dada atakuwa montepez kijiji cha nanyupu kama id yangu hapo juu
Pumbavu
 
Bas polen sana achane kulia lia rudin kwenye nchi yenu mtulizane mbona mimi niriludi niko home tz nakiga mishe zangu

Na kumbuka hizo ambush hazijaanza leo huwa ni kila mwaka na watu tulikua tunashinda polin mfano mimi nilikimbilia namapa baada ya kutulia ndo nikarud nikaendelea kupiga kazi zangu kama kawaida

Afu kitu kingine police wa mozbiqu wanapenda sana hela aka dinyelu kwahiyo wakikubamba watoe umalizane nao bas
bla shaka ww ni muuza unga unamaswali ya kujibu kwa RC wa dar
 
Mm niko MSUMBIJI vile vile kwa anaeilewa Mozambique hii ni kama kawaida yao huwa wanafanya kila baada ya miaka kadhaa na sio tu kwa WATANZANIA ni kwa wageni wote na huwa inafanyika hivi kila mkoa Kwa wakati wake.

Ila hili la kubakwa ni geni siwezi kukataa au kusibitisha
Na hii kamata kamata huwa inawalenga wale wasio na vitambulisho
Mm niko Nampula msako upo kwa wageni wote kwa huku Mwenye vitambulisho halali yupo salama tu
Huo utaratibu ni mzuri sana kuwabaini raia wa kigeni.
 
Back
Top Bottom