Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Tukubaliane kabisa kuwa CCM imepewa madaraka kuongoza nchi kwa niamba ya watanzania mil 60 bila kujali itikadi zao.
CCM kuwa madarakani sio sababu ya wanaCcm wachache ambao walishakuwa viongozi kujifanya wao na familia zao wanajua sana kupiga madili makubwa na kunufaisha matumbo yao.
CCM kuwa madarakani isiwe sababu ya kujiona kuwa ni chama cha kifalme ambacho kinaweza kuwaona watanzania ni mazoba hivyo viongozi wake wanaweza kufanya wanavyotaka.
Tumesikia kuwa mazungumzo juu mradi wa Bandari ya Bagamoyo yameresume. Ni jambo jema. Lakini je, yatakuwa na tija kwa taifa na watu wake?
Mazungumzo haya yanayolazimishwa kwa udi na uvumba sio kwa manufaa ya watu wachache? Yatakuwa yanawekwa wazi ili kila mtu ajue nini kinaendelea?
Kama mazungumzo haya ni kwa manufaa ya WanaCCM wachache ambao walishajenga tabia ya kuliibia hili taifa huu ni wakati wa kuwapinga kwa kila namna. Watanzania tuwe tayari kulinda taifa letu dhidi ya mafisadi kwa kila namna. Njia pekee inayofaa ni kuingia barabarani na kuig'oa CCM kama yalivyofanyika Tunisia kama ikitokea wataleta dharau za kuliibia taifa letu.
CCM kuwa madarakani sio sababu ya wanaCcm wachache ambao walishakuwa viongozi kujifanya wao na familia zao wanajua sana kupiga madili makubwa na kunufaisha matumbo yao.
CCM kuwa madarakani isiwe sababu ya kujiona kuwa ni chama cha kifalme ambacho kinaweza kuwaona watanzania ni mazoba hivyo viongozi wake wanaweza kufanya wanavyotaka.
Tumesikia kuwa mazungumzo juu mradi wa Bandari ya Bagamoyo yameresume. Ni jambo jema. Lakini je, yatakuwa na tija kwa taifa na watu wake?
Mazungumzo haya yanayolazimishwa kwa udi na uvumba sio kwa manufaa ya watu wachache? Yatakuwa yanawekwa wazi ili kila mtu ajue nini kinaendelea?
Kama mazungumzo haya ni kwa manufaa ya WanaCCM wachache ambao walishajenga tabia ya kuliibia hili taifa huu ni wakati wa kuwapinga kwa kila namna. Watanzania tuwe tayari kulinda taifa letu dhidi ya mafisadi kwa kila namna. Njia pekee inayofaa ni kuingia barabarani na kuig'oa CCM kama yalivyofanyika Tunisia kama ikitokea wataleta dharau za kuliibia taifa letu.