Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,229
- 12,954
Binafsi kwa upande wangu na wanaonizinguka wote hali mbaya zaidi kiuchumi! Hakuna biashara yani full mdororo ila ndiyo kwanza naona EWURA wanapandisha bei za mafuta na mitungi ya Gas nayo inapenda bei huku hali za kibiashara zikiendelea kudorola kabisa kabisa.
Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!
Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.
Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.
Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!
Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.
Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.