Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,267
🙏🏾Tunatekeleza ilani mkuu
🙏🏾Tunatekeleza ilani mkuu
Binafsi kwa upande wangu na wanaonizinguka wote hali mbaya zaidi kiuchumi! Hakuna biashara yani full mdororo ila ndiyo kwanza naona EWURA wanapandisha bei za mafuta na mitungi ya Gas nayo inapenda bei huku hali za kibiashara zikiendelea kudorola kabisa kabisa.
Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!
Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.
Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.
Sawa mkuu🤣Tozo zinatoka kwa wananchi ambao kipato chao hakijaongezeka kwa mda mrefu! W.kazo wa umma kwa zaidi ya miaka 6, w.kaz wa private hali mbaya na ajira hamna kitu mda mrefu. Yeye raisi anatoa wapi ujasiri wa kuongeza tozo hizo? Na watu wanacompensate wapi hela wanayopoteza!? Naomba uache kiherehere cha kutetea ujinga ww wa kula na kulala. Hali ni ngumu na ni heri wakachukue mkopo watuache na deni tu kuliko kutukwapua kidogo tulichonacho!!! Bladifakeni ww
Mama anaupiga mwingi sanaaaaaaaaaSasa hiyo miradi imekwisha?!!
Nani wa kuimaliza baada ya kuanzishwa?!!
Mh.Rais SSH amekataza TASK FORCES za kukusanya Kodi kwa NGUVU...je leo zile BUREAU DE CHANGES zilizokuwa zimefungwa hazijaanza KUFUNGULIWA?!!
Mh.Rais amewafutia TOZO ya 6% wanufaika wa mikopo kutoka HESLB....je hii si nafuu kwao ?!!!
Awamu ya 5 haikutoa ajira kwa miaka 6....wewe ulikuwa usingizini kutoziona hizi ajira 8000 za TAMISEMI na WIZARA YA AFYA?!!!Unafuu wake unakuja wapi wakati hawajapata ajira bado!? Ajira zimekuwa ngumu sana ata watoe mkopo bure haisaidii kitu
Hahaha, wapinzani wetu pumbavu kabisa, Kama walimpokea Lowassa watashindwa nini kusema Magufuli was betterKabisa kabisa na sio unaweza sema ila ndiyo uhalisia bora ya Magu
Hawa jamaa ni wale wakuambiwa masikioni lakini hawajui kama mama amepandisha madaraja na kutoa ajira,vipofu haoAawamu ya 5 haikutoa ajira kwa miaka 6....wewe ulikuwa usingizini kutoziona hizi ajira 8000 za TAMISEMI na WIZARA YA AFYA?!!!
#KaziIendelee
Ukweli mm sina shida na maduka ya kubadili fedha kiholela, sababu iyo ni kazi ya mabenki . Ila ajira, Izo za walimu na watumishi wa afya pekee hazitoshi. Ripoti ilotoka tamisemi, upungufu ni 40,000 walimu kwa hiyo ata 1/3 hakufika! Alaf watz wote ni wahitimu wa ualimu na afya!?Sawa mkuu🤣
Awamu ya 5 ilikuwa na slogan ya "HAPA KAZI TU"....
Awamu ya 6 ambayo haina ilani yake imekuja na slogan ya "KAZI INAENDELEA".....
Hizo kelele mlimpigia Hayati JPM?!!!
Kipi kimebadilika sasa?!!
Mh.SSH kaajiri zaidi ya vijana 8000 kufidia nafasi zilizoachwa wazi.....AWAMU YA 5 haikuajiri....hii nayo si nafuu?!!!
Zile TASK FORCE za kukusanya Kodi kwa nguvu hazipo....je si nafuu?!!!
Maduka ya kubadilisha fedha bado yamefungwa?!!
ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO
#KaziIendelee
Kama unaona wanaolalamika kuhusu hizi tozo wanaigiza basi chukua Mali zako zote uuze kitakachopatikana ipe serikali ili ijulikane wewe ndo mzalendo Mana unachokitete ni ujinga na utoto.Mipango INAENDELEA.....
Mh.Rais ametuelezea malengo ya TOZO kuwa itarudi kwa wananchi kwa kuzijenga barabara za vijijini ili ziwe TIJA NA NAFUU kwa wakulima.....je hili si sawa na mipango ya JPM kutokuajiri vijana na kututia moyo kuwa anajenga kwanza SGR na BWAWA LA MWALIMU NYERERE?!!!
Mh.SSH aliinadi ilani ya miaka 5 ambayo bado ipo na anatembelea JUU YAKE.....Kumlaumu kwa muda huu mfupi ni kumuonea tu.....
#KaziIendelee
#SiempreSSH
Kwa hiyo hizo milioni 450 ndizo zimesababisha Tanzania nzima kuwa hali ya uchumi ngumu?Hivi kulikua na ulazima wa kumnunulia babu benzi la milioni 450 kama besiday prezent?
Nishakujibu, watanzania sio wahitimu wa elimu ya ualimu na afya pekee!!! Plus wahitimu wa miaka 6 ni wangapi so far? Na so walopewa Ajira ni asilimia moja point ngani yani....!?Awamu ya 5 haikutoa ajira kwa miaka 6....wewe ulikuwa usingizini kutoziona hizi ajira 8000 za TAMISEMI na WIZARA YA AFYA?!!!
#KaziIendelee
Hayati alikopa sana kiasi mama kaachiwa upenyo mdogo wa kukopa.Binafsi kwa upande wangu na wanaonizinguka wote hali mbaya zaidi kiuchumi! Hakuna biashara yani full mdororo ila ndiyo kwanza naona EWURA wanapandisha bei za mafuta na mitungi ya Gas nayo inapenda bei huku hali za kibiashara zikiendelea kudorola kabisa kabisa.
Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!
Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.
Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.
Hamna shukurani ndivyo wabongo mlivyo,Magu amekaa madarakani hakuwahi kupandisha madaraja wala ajira mpya,Leo hii mnakuwa madomo Kaya kumsema mama ambae hata miezi sita haikufika kapandisha madaraja, ameajiri walimu,watumishi wa Afya na Askari polisi waliokaa miaka sita bila vyeo Leo hii wamefufurika vyuoni kupata vyeo.Ukweli mm sina shida na maduka ya kubadili fedha kiholela, sababu iyo ni kazi ya mabenki . Ila ajira, Izo za walimu na watumishi wa afya pekee hazitoshi. Ripoti ilotoka tamisemi, upungufu ni 40,000 walimu kwa hiyo ata 1/3 hakufika! Alaf watz wote ni wahitimu wa ualimu na afya!?
Alaf, pamoja na magu kutubana nk. HAKUKUWA NA TOZO ZA MSHIKAMANO!!! HUKU NI KUUWA UCHUMI I ASSURE YOU!! RAISI ARUDI CHUO AKASOME UCHUMI TENA SIO ANALETA MAJARIBU NA UCHUMI MBOVU TAYAR- NI KUUANGUSHA TU!!! YANI NI AIBU LKN WATU KITAA WANASEMA HERI YA MAGU!!!!
Ulikuwa huna muajiriwa hata mmoja kwa miaka 6....ndani ya siku 100 una waajiriwa 8000....Nishakujibu, watanzania sio wahitimu wa elimu ya ualimu na afya pekee!!! Plus wahitimu wa miaka 6 ni wangapi so far? Na so walopewa Ajira ni asilimia moja point ngani yani....!?
Kwani mafuta yamepanda tena maana nimecheki website ya ewura naona hawajaweka Bei elekezi za mafuta mwezi wa nane
Sent from my SH-04H using JamiiForums mobile app