Watanzania tunapitia kipindi kigumu kiuchumi kuwahi kutokea

Namba tunasoma wote lakini jamaa wa MAMA ANA UPIGA MWINGI na ndugu zao CDM/ACT wanaamini wanaowaita SUKUMA GANG ndo wanaumia
Binafsi kwa upande wangu na wanaonizinguka wote hali mbaya zaidi kiuchumi! Hakuna biashara yani full mdororo ila ndiyo kwanza naona EWURA wanapandisha bei za mafuta na mitungi ya Gas nayo inapenda bei huku hali za kibiashara zikiendelea kudorola kabisa kabisa.

Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!

Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.

Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.
 
Tozo zinatoka kwa wananchi ambao kipato chao hakijaongezeka kwa mda mrefu! W.kazo wa umma kwa zaidi ya miaka 6, w.kaz wa private hali mbaya na ajira hamna kitu mda mrefu. Yeye raisi anatoa wapi ujasiri wa kuongeza tozo hizo? Na watu wanacompensate wapi hela wanayopoteza!? Naomba uache kiherehere cha kutetea ujinga ww wa kula na kulala. Hali ni ngumu na ni heri wakachukue mkopo watuache na deni tu kuliko kutukwapua kidogo tulichonacho!!! Bladifakeni ww
Sawa mkuu🤣

Awamu ya 5 ilikuwa na slogan ya "HAPA KAZI TU"....

Awamu ya 6 ambayo haina ilani yake imekuja na slogan ya "KAZI INAENDELEA".....

Hizo kelele mlimpigia Hayati JPM?!!!

Kipi kimebadilika sasa?!!

Mh.SSH kaajiri zaidi ya vijana 8000 kufidia nafasi zilizoachwa wazi.....AWAMU YA 5 haikuajiri....hii nayo si nafuu?!!!

Zile TASK FORCE za kukusanya Kodi kwa nguvu hazipo....je si nafuu?!!!

Maduka ya kubadilisha fedha bado yamefungwa?!!

ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO

#KaziIendelee
 
Sasa hiyo miradi imekwisha?!!

Nani wa kuimaliza baada ya kuanzishwa?!!

Mh.Rais SSH amekataza TASK FORCES za kukusanya Kodi kwa NGUVU...je leo zile BUREAU DE CHANGES zilizokuwa zimefungwa hazijaanza KUFUNGULIWA?!!

Mh.Rais amewafutia TOZO ya 6% wanufaika wa mikopo kutoka HESLB....je hii si nafuu kwao ?!!!
Mama anaupiga mwingi sanaaaaaaaaa
 
Kipindi kigumu nilianza miaka mitano iliyopita msitake kumtupia mama mambo mkamsahau muanzilishi
 
Sawa mkuu🤣

Awamu ya 5 ilikuwa na slogan ya "HAPA KAZI TU"....

Awamu ya 6 ambayo haina ilani yake imekuja na slogan ya "KAZI INAENDELEA".....

Hizo kelele mlimpigia Hayati JPM?!!!

Kipi kimebadilika sasa?!!

Mh.SSH kaajiri zaidi ya vijana 8000 kufidia nafasi zilizoachwa wazi.....AWAMU YA 5 haikuajiri....hii nayo si nafuu?!!!

Zile TASK FORCE za kukusanya Kodi kwa nguvu hazipo....je si nafuu?!!!

Maduka ya kubadilisha fedha bado yamefungwa?!!

ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO

#KaziIendelee
Ukweli mm sina shida na maduka ya kubadili fedha kiholela, sababu iyo ni kazi ya mabenki . Ila ajira, Izo za walimu na watumishi wa afya pekee hazitoshi. Ripoti ilotoka tamisemi, upungufu ni 40,000 walimu kwa hiyo ata 1/3 hakufika! Alaf watz wote ni wahitimu wa ualimu na afya!?
Alaf, pamoja na magu kutubana nk. HAKUKUWA NA TOZO ZA MSHIKAMANO!!! HUKU NI KUUWA UCHUMI I ASSURE YOU!! RAISI ARUDI CHUO AKASOME UCHUMI TENA SIO ANALETA MAJARIBU NA UCHUMI MBOVU TAYAR- NI KUUANGUSHA TU!!! YANI NI AIBU LKN WATU KITAA WANASEMA HERI YA MAGU!!!!
 
Mipango INAENDELEA.....

Mh.Rais ametuelezea malengo ya TOZO kuwa itarudi kwa wananchi kwa kuzijenga barabara za vijijini ili ziwe TIJA NA NAFUU kwa wakulima.....je hili si sawa na mipango ya JPM kutokuajiri vijana na kututia moyo kuwa anajenga kwanza SGR na BWAWA LA MWALIMU NYERERE?!!!

Mh.SSH aliinadi ilani ya miaka 5 ambayo bado ipo na anatembelea JUU YAKE.....Kumlaumu kwa muda huu mfupi ni kumuonea tu.....

#KaziIendelee
#SiempreSSH
Kama unaona wanaolalamika kuhusu hizi tozo wanaigiza basi chukua Mali zako zote uuze kitakachopatikana ipe serikali ili ijulikane wewe ndo mzalendo Mana unachokitete ni ujinga na utoto.
 
Awamu ya 5 haikutoa ajira kwa miaka 6....wewe ulikuwa usingizini kutoziona hizi ajira 8000 za TAMISEMI na WIZARA YA AFYA?!!!

#KaziIendelee
Nishakujibu, watanzania sio wahitimu wa elimu ya ualimu na afya pekee!!! Plus wahitimu wa miaka 6 ni wangapi so far? Na so walopewa Ajira ni asilimia moja point ngani yani....!?
 
Binafsi kwa upande wangu na wanaonizinguka wote hali mbaya zaidi kiuchumi! Hakuna biashara yani full mdororo ila ndiyo kwanza naona EWURA wanapandisha bei za mafuta na mitungi ya Gas nayo inapenda bei huku hali za kibiashara zikiendelea kudorola kabisa kabisa.

Unaweza sema Hayati aliharibu uchumi lakini si kama sasa aisee! Hayati alitumianisha kuwa wavumilivu cos alikuwa na miradi mikubwa ambayo ingekuja kusaidia hapo mbele tuishi maisha mazuri, kabla hajatufikisha huko alikokuona Mungu akamuita sasa katuachia Samia lakini Samia amekuja kwa kukamua zaidi watu wa chini!

Katika uhalisia walikuwa wanajua bei ya mafuta katika soko la Dunia itapanda, lakini ajabu na wao ndiyo wakaongeza tozo! Sasa kila mwezi mafuta yatakuwa yanapanda tu, mbali na ilo akaona aweke na makato katika miamala yetu yani ile VAT akaona haitoshi na tozo ni lazima kama kodi tu lakini hana habari.

Sijui kama tunakokwenda ni kuzuri kwakweli.
Hayati alikopa sana kiasi mama kaachiwa upenyo mdogo wa kukopa.
Ila kosa alilolifanya mama ssh ni kiwaamini watu ambao hawamkubali.

Twende hivyohivyo mzobe mzobe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dah ni kwei maisha sasa hv yamekua magumu sana hakuna bishara kabisa binafsi sijui ni nn kinaendelea yani sielewi ila

Maisha ni magumu na biashara haziendi
 
Ukweli mm sina shida na maduka ya kubadili fedha kiholela, sababu iyo ni kazi ya mabenki . Ila ajira, Izo za walimu na watumishi wa afya pekee hazitoshi. Ripoti ilotoka tamisemi, upungufu ni 40,000 walimu kwa hiyo ata 1/3 hakufika! Alaf watz wote ni wahitimu wa ualimu na afya!?
Alaf, pamoja na magu kutubana nk. HAKUKUWA NA TOZO ZA MSHIKAMANO!!! HUKU NI KUUWA UCHUMI I ASSURE YOU!! RAISI ARUDI CHUO AKASOME UCHUMI TENA SIO ANALETA MAJARIBU NA UCHUMI MBOVU TAYAR- NI KUUANGUSHA TU!!! YANI NI AIBU LKN WATU KITAA WANASEMA HERI YA MAGU!!!!
Hamna shukurani ndivyo wabongo mlivyo,Magu amekaa madarakani hakuwahi kupandisha madaraja wala ajira mpya,Leo hii mnakuwa madomo Kaya kumsema mama ambae hata miezi sita haikufika kapandisha madaraja, ameajiri walimu,watumishi wa Afya na Askari polisi waliokaa miaka sita bila vyeo Leo hii wamefufurika vyuoni kupata vyeo.
na bado wengine wanasubiria wapo kwenye list ya wafuatao, tunaona mabadiliko ya mishahara,wewe bado unaongelea habari ya tozo,nenda kasome wewe sio kumwambia Mh Rais ambae amezungukwa na wabobezi wa uchumi ambao ndio washauri wake,wewe Nani kumwambia Rais arudi chuoni?
 
Back
Top Bottom