THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Nawasalimu Wakuu,
Nianze pasipo kupoteza Muda.
Kauli ya Serikali ya kusema kua Watanzania wamekubali Tozo haina tofauti hata kidogo na ile kauli yao waliyo toa wakisema Watanzania hawataki katiba mpya wakisema kipaumbele chao ni Maendeleo.
Ifikie hatua tuseme kua tunaburuzwa sana kwa ukimya wetu huu na uhakika wataanzania wengi hawakubaliani na TOZO hizi hata kwa Mapunguzo yanayoendelea kuwekwa,hivohivo katika swala la Katiba Mpya Watanzania wengi sidhani kama wanakubaliana na Katiba iliopo. Ila kwa kua Viongozi wetu wametuona Bongolala wanatoa tu matamuko kua watanzania wamesema hivi hata kama hatujaulizwa, tunalishwa Maneno kila uchwao.
Ukweli ni kuwa ukimya Wetu unatuponza sana na utaendelea kutuponza sana sisi Watanzania, tubadilike tuseme isiwe tu upinzani ndio wasemee kila kitu.
Ikumbukwe kua Tukisubiri wanasiasa waliopo Madarakani watusemee itakua tunajipiga jenga wenyewe kwa sababu wote ni wa chama kimoja.
Nianze pasipo kupoteza Muda.
Kauli ya Serikali ya kusema kua Watanzania wamekubali Tozo haina tofauti hata kidogo na ile kauli yao waliyo toa wakisema Watanzania hawataki katiba mpya wakisema kipaumbele chao ni Maendeleo.
Ifikie hatua tuseme kua tunaburuzwa sana kwa ukimya wetu huu na uhakika wataanzania wengi hawakubaliani na TOZO hizi hata kwa Mapunguzo yanayoendelea kuwekwa,hivohivo katika swala la Katiba Mpya Watanzania wengi sidhani kama wanakubaliana na Katiba iliopo. Ila kwa kua Viongozi wetu wametuona Bongolala wanatoa tu matamuko kua watanzania wamesema hivi hata kama hatujaulizwa, tunalishwa Maneno kila uchwao.
Ukweli ni kuwa ukimya Wetu unatuponza sana na utaendelea kutuponza sana sisi Watanzania, tubadilike tuseme isiwe tu upinzani ndio wasemee kila kitu.
Ikumbukwe kua Tukisubiri wanasiasa waliopo Madarakani watusemee itakua tunajipiga jenga wenyewe kwa sababu wote ni wa chama kimoja.