Watanzania Tuache Kukurupuka Ovyo

Watanzania Tuache Kukurupuka Ovyo

Sijasoma kila kitu ila ccm wanahusika na sababu ccm wanahusika askari watalipigapiga danadana hili kama ilivyotokeaga kwa No, kama ilivyotokea kwa akwilina, hii nchi ina viongozi wapumbavu kuliko viongozi wote duniani, kama hao polisi ni wajinga kuliko ujinga wenyewe, ndio mana watu wamekuja judgmental.
Kwanza hujasoma sasa sijui unajua tunaongelea nini,ndii kukurupuka ninako kusema huku

Pili tunaamini kuwq polisi wako nyuma ya kila tukio,ndio maana tunakuja na hitimisho.kwamba ni polisi wamefanya hivi

Je tupo sahihi?
 
Sheikh wangu haya mambo unapotaka kujadili kwanza uwe na akili zako timamu, bila kutia utimu, uchama wala udini.. kifupi uwe NEUTRAL

Ujue hata hao askari wanapoanza uchunguzi wao tuseme,mtu kafa kwa kupigwa kisu, ama kauwawa bila kuibiwa kitu. Kuna vitu huwa wanavishuku.
Mfano alikorofishana na nani, mawasiliano yake n.k

Kuna shida gani watanzania wanaohisi ni serikali kisa ametoka kuisema serikali.
 
View attachment 3321627

Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen

Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni

Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia

Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo

Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?

Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?

Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama

Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo

Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa

Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa

Ni hayo tu!
Uliwahi pata majibu ya saa name, a,Ori n.k ?
 
View attachment 3321627

Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen

Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni

Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia

Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo

Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?

Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?

Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama

Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo

Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa

Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa

Ni hayo tu!
Ukitukanwa unasema unaonewa
 
Binafsi nimeshangaa juzi kati kuna kiongozi wa dini anaitwa Ponda analalamika viongozi wa dini yake kusota rumande kwa miaka 10 kwenye kesi ya ugaidi
 
View attachment 3321627

Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen

Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni

Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia

Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo

Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?

Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?

Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama

Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo

Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa

Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa

Ni hayo tu!
ndio pale unapokubali na kuamini uongo Je maana ya kukurupuka ni nini? na Kuongea unachokifahamu hata unachokifikiria ? Unajua maana Ya Freedom of speech... Fanya uchunguzi wako uje na taarifa yako sio kuchochea watu kutokufikria na kusubiria taarifa za Wanadamu wengine ambao ni Police
 
Siku zooote hakuwahi kujeruhiwa baada tu ya kuanza kukosoa mwenendo wa Serikali ghafla kajeruhiwa, mtuhumiwa namba moja ni nani?
 
View attachment 3321627

Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen

Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni

Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia

Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo

Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?

Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?

Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama

Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo

Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa

Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa

Ni hayo tu!
Shenzi kabisa mpuuzi wa kwanza wewe


Mtiririko wa Matukio yanayoendelea Tanzania, unaanzaje kuyatenganisha na Jeshi la Polisi, Serikali ??.
 
1746094053389.png
 
Kwanza hujasoma sasa sijui unajua tunaongelea nini,ndii kukurupuka ninako kusema huku

Pili tunaamini kuwq polisi wako nyuma ya kila tukio,ndio maana tunakuja na hitimisho.kwamba ni polisi wamefanya hivi

Je tupo sahihi?
Hatupo sahihi lakin police wenyewe wanajichanganya mfano ni mara ngapi police wanateka watu na wakiulizwa wanasema sio wao.. alafu baada ya muda wanakubali tena wamemshikilia hata juzi tu Murilo si kakataa police hawajapiga watu ?...lakini video zimetuonyeshaje ? Maaskari ni watu wajinga sana....ndio mana ni vijitu visivuokuwa na mipango ya pesa
 
ccm na polisi hawajaanza leo .
hakuna mtu anayewaza kumpiga sheikh au padre.
ni ccm au polisi
 
Shenzi kabisa mpuuzi wa kwanza wewe


Mtiririko wa Matukio yanayoendelea Tanzania, unaanzaje kuyatenganisha na Jeshi la Polisi, Serikali ??.
Kwanza nashukuru kwa kuniita mshenzi huenda inakufanya ujisikie vizuri

Si.kila tukio ni la kuhusisha polisi na serikali yake,mkiendekeza huu upuuzi ipo siku utagombana mkeo utasema ni serikali au.polisi


Pamoja na kwamba tuhuma nyingi sana zinaelekezwa kwa serikali na polisi lkn haikupi haki ya kuwapa lawama kwa kila kitu

Tusubiri uchunguzi kisha toa lawama kwa ripoti itakayotolewa hapo utapima pumba na mchele

Mkubali kuambiwa ukweli ndio kukua huko
 
ndio pale unapokubali na kuamini uongo Je maana ya kukurupuka ni nini? na Kuongea unachokifahamu hata unachokifikiria ? Unajua maana Ya Freedom of speech... Fanya uchunguzi wako uje na taarifa yako sio kuchochea watu kutokufikria na kusubiria taarifa za Wanadamu wengine ambao ni Police
Kukurupuka ni kuongea au kufanya uamuzi bila kujua ukweli halisi wa jambo husika

Nyie tayar hata wenye mamlaka ya kufanya uchunguzi bado hawajamaliza kazi nyie tayar mna majibu yenu mkononi,kama sio kukurupuka ni nini?

Unataka upate taarifa kutoka kwa wananchi ambao ndio hao wakurupukaji?

Ebu tuwe makini expert wangu
 
View attachment 3321627

Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen

Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni

Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia

Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo

Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?

Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?

Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama

Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo

Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa

Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa

Ni hayo tu!
Hapo kwenye bold;
1. Wewe hujakurupuka
2. Wewe hujalaumu?
3. Wewe hujadandia mambo?
 
Back
Top Bottom