Watanzania Tuache Kukurupuka Ovyo

Watanzania Tuache Kukurupuka Ovyo

Hao nyumbu kila tukio wanalitumia km turufu ya kisiasa, kwani watu wangapi wanadhuriwa? Kitima ni mtu km watu wengine. Hao wamechoka kisiasa, jeshi la polisi haiwezi kumlinda mtu moja moja. Km vp aweke ulinzi wake binafsi
Asante sana expert wangu,walau mpo watu ambao mnaangalia upande wa pili wa shilingi
 
Na hii ndio kasumba yenu,kwakuwa mnapenda kusapotiana pale mnapopenda akitokea mtu tofauti na upande wao anaonekana fisi

Mjifunze kuambiwa ukweli na huko ndio kukua
Acha kushapaza shingo topic nyepesi hii
 
Back
Top Bottom