Watanzania Tuache Kukurupuka Ovyo

Watanzania Tuache Kukurupuka Ovyo

Unaweza ukawa sahihi,lakini hii haiondoi ukweli tabia yetu ya kupenda kukurupuka na ni rahisi sana kwetu kutoa lawama kwakuwa tu tunajisikia kufanya hivyo
Watu Ku-express emotions zao ndo unaita kukurupuka.
 
View attachment 3321627

Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen

Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni

Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia

Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo

Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?

Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?

Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama

Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo

Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa

Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa

Ni hayo tu!
Wafuasi wa Lissu akili zao sawa na za ng'ombe tu
 
Watu Ku-express emotions zao ndo unaita kukurupuka.
Kwahiyo kwakuwa una express hisia zako ndio useme tu bila kupima mambo?

Tangu lini ukaona ukwei ukiwa katika emotion?

Ndio maana tunashauriwa tutumie fikra pia katika kuyaangalia mambo
 
Kaelewa ila ni kwa sababu kaamua kuwa upande wa fisi.
Na hii ndio kasumba yenu,kwakuwa mnapenda kusapotiana pale mnapopenda akitokea mtu tofauti na upande wao anaonekana fisi

Mjifunze kuambiwa ukweli na huko ndio kukua
 
Unaweza ukawa sahihi,lakini hii haiondoi ukweli tabia yetu ya kupenda kukurupuka na ni rahisi sana kwetu kutoa lawama kwakuwa tu tunajisikia kufanya hivyo
Yaani uache kitu ambacho unakifanya. Umekiri tabia yenu ya kukurupuka.IN SHORT UMEKURUPUKA HOVYO.
 
Huyo Padre uongo unamfaidisha nini? Kalewa kaenda kuanguka chooni ili kuficha aibu kaamua asingizie kajeruhiwa, kama padre ndo muongo hivyo hao waumini wake wana hali gani?

Naliagiza jeshi la polisi limuachie mara moja huyo mtu aliekamatwa kwa tuhuma za uongo za kumshambulia huyo Padre.
Mpumbavu mwingine Huyu, siku akijeruhiwa Ndugu yako uje hapa uongee huu upumbavu
 
Back
Top Bottom