Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,353
- 96,640
Comment za wachangiaji zina onyesha wewe huja kua.Nimeiheshimu ndio maana nimeandika hilo chapisho,tupende kuambiwa ukweli na huko ndio kukua
Comment za wachangiaji zina onyesha wewe huja kua.Nimeiheshimu ndio maana nimeandika hilo chapisho,tupende kuambiwa ukweli na huko ndio kukua
Watu Ku-express emotions zao ndo unaita kukurupuka.Unaweza ukawa sahihi,lakini hii haiondoi ukweli tabia yetu ya kupenda kukurupuka na ni rahisi sana kwetu kutoa lawama kwakuwa tu tunajisikia kufanya hivyo
Wafuasi wa Lissu akili zao sawa na za ng'ombe tuView attachment 3321627
Nimesoma habar ya kujeruhiwa kwa kiongozi mmoja wa dini akiwa anapata kiraji canteen
Na polisi wamedai wamemkata mtuhumiwa tayar ,ina maana uchunguzi unaendelea na bilashaka tutapata majibu hivi karibuni
Kinacho nisikitisha zaidi ni tabia yetu ya kukurupuka na kutoa lawama ambazo hata hazina msingi,ni watu wa kudandia mambo na kwenda nayo kadri ya vile tunavyojisikia
Na ndio maana ni rahisi mno kwa watu kutubadilishia muelekeo kutoka kwenye mambo ya msingi na kutupeleka kujadili jambo ambalo litaletwa mbele yetu maadamu tu tunajua kukurupuka basi hao tunajaa kwenye mfumo
Pamoja na mapungufu ya jeshi la Polisi lakini si sawa kila jambo linalotokea basi lawama wapewe wao tu,je mnamaanisha jeshi la polisi ndio limepanga kujeruhiwa kwa huyo kiongozi wa dini?
Wengine mnaenda mbali zaidi mnampa lawama mama Samia kuwa sijui hafai kuongoza nchi,sasa kwahiyo kwa kila tatizo linalo tokea Raisi anatakiwa kulizuia?
Kwa kila shida inayotolea mama Samia anatakiwa aitabiri mapema na kuizuia isitokee? Jamani mama Samia kama kiongozi mwingine yeyote yule ana mazuri yake na mabaya yake,kwani hakuna mtu aliyekamilika,ila sio sawa na sio haki kila jambo basi apewe yeye lawama
Tijifunze kuwa watulivu na wenye subira tukisubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi na kisha kupitia ripoti yao ndio tuweze kujadili na kuchambua habari hiyo
Tabia hii ya kukurupuka sio nzuri kabisa,haina tija wala faida yoyote ile sana sana inaleta chuki na kuondoa umoja kama taifa
Tulaumu pale inapo paswa kulaumu na tupongeze pale inapo paswa kupongeza na kuhoji pale inapopaswa kuhojiwa
Ni hayo tu!
Sishangai kwakuwa naona unazidi kukirupukaYaani uache kitu ambacho unakifanya. IN SHORT UMEKURUPUKA HOVYO.
Kaelewa ila ni kwa sababu kaamua kuwa upande wa fisi.Kuna mambo haujayaelewa you need time to learn mkuu
Kaamua kujitoa ufahamu MkuuKaelewa ila ni kwa sababu kaamua kuwa upande wa fisi.
Kwahiyo kwakuwa una express hisia zako ndio useme tu bila kupima mambo?Watu Ku-express emotions zao ndo unaita kukurupuka.
Yaani uache kitu ambacho unakifanya. IN SHORT UMEKURUPUKA HOVYO.Sishangai kwakuwa naona unazidi kukirupuka
Mjifunze kuambiwa ukweli
Na hii ndio kasumba yenu,kwakuwa mnapenda kusapotiana pale mnapopenda akitokea mtu tofauti na upande wao anaonekana fisiKaelewa ila ni kwa sababu kaamua kuwa upande wa fisi.
Nina shida ya macho Ndugu yanguWe unaonaje?
Naaam salamu zimefika muheshimiwa RaisiHeshima yako pia, ewe makamu wa chama Cha ma jobless pro max
Yaani uache kitu ambacho unakifanya. Umekiri tabia yenu ya kukurupuka.IN SHORT UMEKURUPUKA HOVYO.Unaweza ukawa sahihi,lakini hii haiondoi ukweli tabia yetu ya kupenda kukurupuka na ni rahisi sana kwetu kutoa lawama kwakuwa tu tunajisikia kufanya hivyo
Mueleweshe sasa!Kuna mambo haujayaelewa you need time to learn mkuu
Mpumbavu Sana weweanapata kiraji canteen
Hawajipi nafasi ya kutafakari ila wanasema kila kinacho wajia kichwani😂😂Wafuasi wa Lissu akili zao sawa na za ng'ombe tu
Nimeipenda hii expert wanguMueleweshe sasa iki
Mueleweshe sasa!
Mpumbavu mwingine Huyu, siku akijeruhiwa Ndugu yako uje hapa uongee huu upumbavuHuyo Padre uongo unamfaidisha nini? Kalewa kaenda kuanguka chooni ili kuficha aibu kaamua asingizie kajeruhiwa, kama padre ndo muongo hivyo hao waumini wake wana hali gani?
Naliagiza jeshi la polisi limuachie mara moja huyo mtu aliekamatwa kwa tuhuma za uongo za kumshambulia huyo Padre.
Asante expert wanguMpumbavu Sana wewe