jorochere95
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 294
- 152
Kwa hivo unapinga kauli mbiu ya "HAPA KAZI TU?"Unatumia "research sample"ya kijijini kwenu kutoa takwimu za kitaifa ? Ni watanzania wangapi wanaoishi kwa chakula cha msaada ? Ni watanzania wangapi wana Kazi ?Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
Uvivu ni malezi mkuu kuanzia ngazi ya familia mpk taifani!Unakuta mtoto kalelewa kivivuvivu tu toka kwny familia yake anaenda kuajiriwa chini ya kiongozi mvivumvivu tu ambae anaongozwa na mfumo wa kivivukivivu tu na mwisho taifa zima linakuwa la wavivu tu!Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.
Mimi siyo mvivu na sichangii uvivu hapa ila nataka tu kukuambia nlikumisi hatari rubiiWEWE NI MCHINA?
UNAUZA KARANGA AU UBUYU WA CHINA?
Mimi siyo mvivu na sichangii uvivu hapa ila nataka tu kukuambia nlikumisi hatari rubii
Hivi Lady Fyrahisha unafanya kazi gani jamani?hata mm nimemshangaa na nimewashangaa sana mamods kuachia thread hii bila hata kuifuta sasa nchi zingine wakiona hapa watasema kuhusu sisi watanzania huyu nadhani hana tatizo inaelekea yeye mtoa mada ni mvivu anatuchanganya wote wavivu wakati wengine saa 9 alfajiri tupo tunatafuta ugali wa siku hiyo yeye anadhani tunavyochat hapa wengi hawana kazi au hawajishughulishi
Hivi ni kweli? Naona maza uza tuu
Hv hakuna namna ya kuwafanya watanzania wapende kaziii?
Kunavidonge flan hv vinaitwa sonko ukivinywa hv utakuwa zaid ya msukule kwny kaz yaan kaz kaz mwanzo mwenga.....Hv hakuna namna ya kuwafanya watanzania wapende kaziii?
JPM mwenyewe mvivu.Tumetukuka kwa uvivu JPM tunyooshe
Kuna wakati mpaka unajuta kuwa mtanzania, fikiria kila sehemu ukienda ni uvivu mwanzo mwisho, vijisababu haviishi kila siku mtu anakuja na sabab wa uvivu wake. Daah si hotelini, ofisi za umma, kwenye daldala, dukani.
*** Wachina wakija kuuza karanga nako tunalia lia tu.