Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa
Kwani wanasheherekea nini, na kunausahihi wowote kwamba hamna nchi nyingine wanaoitambua hiyo sherehe?
Miafrika ni mijitu mijinga mijinga tu. Ni mijitu isiyojielewa. Ni mijitu yenye kufuata mikumbo. Ni mijitu isiyo na ubunifu.
Ni mijitu isiyojithamini na kutothamini tamaduni zao. Ni mijitu yenye kushobokea sana mambo na vitu vya wengine. Ni mijitu duni.
Ni mijitu ya ajabu ajabu - kwa mfano - mimi nimeshawahi kukutana na Wamarekani weusi ambao wanashukuru mababu zao kuchukuliwa utumwa huko Marekani na hivyo kuwezesha wao kuzaliwa Marekani ambako ni bora zaidi kuliko kuzaliwa Afrika.
Miafrika yenyewe kwa yenyewe huchekana eti flani hajui Kiingereza, au hudharauliana kwa kusema flani ana mambo ya Kiswahili.
Miafrika humwona mtu anayejua Kiingereza kama ni mtu bora zaidi, aliyestaarabika, na mwenye akili sana.
Hivyo usishangae kuona Miafrika ikisherehekea sikukuu ya Thanksgiving. Hakuna tena linalonishangaza kuhusu Miafrika. Hata siku nikisikia moja ya nchi inapiga Star Spangled Banner kama wimbo wa taifa sitashangaa.
Kwa kifupi, Miafrika Ndivyo Tulivyo.
sikukuu nilikuwa nzuri sana .....
duuh ila kweli asee tushakua maphotocopy machines wa style za maisha za watuMiafrika ni mijitu mijinga mijinga tu. Ni mijitu isiyojielewa. Ni mijitu yenye kufuata mikumbo. Ni mijitu isiyo na ubunifu.
Ni mijitu isiyojithamini na kutothamini tamaduni zao. Ni mijitu yenye kushobokea sana mambo na vitu vya wengine. Ni mijitu duni.
Ni mijitu ya ajabu ajabu - kwa mfano - mimi nimeshawahi kukutana na Wamarekani weusi ambao wanashukuru mababu zao kuchukuliwa utumwa huko Marekani na hivyo kuwezesha wao kuzaliwa Marekani ambako ni bora zaidi kuliko kuzaliwa Afrika.
Miafrika yenyewe kwa yenyewe huchekana eti flani hajui Kiingereza, au hudharauliana kwa kusema flani ana mambo ya Kiswahili.
Miafrika humwona mtu anayejua Kiingereza kama ni mtu bora zaidi, aliyestaarabika, na mwenye akili sana.
Hivyo usishangae kuona Miafrika ikisherehekea sikukuu ya Thanksgiving. Hakuna tena linalonishangaza kuhusu Miafrika. Hata siku nikisikia moja ya nchi inapiga Star Spangled Banner kama wimbo wa taifa sitashangaa.
Kwa kifupi, Miafrika Ndivyo Tulivyo.
You can't stop the reign.
Nenda Japan huko uone nchi ya ma Buddhist na ma Shinto wanavyoshadadia Christmas kuliko nchi nyingine za Kikristo. Na hiyo sikukuu ya kidini.
Maisha mafupi, Al-Qaeda wanaweza kukulipua Westgate style any minute, ngoma nje nje, ajira hakuna, matumaini hakuna, matetemeko ya ardhi na maafa ya nuclear si ajabu, watu wanatumia kila nafasi kusheherekea.
Kama vipi susia na internet utengeneze yako ya vibatari.
Hata hii internet unayotumia ni kugeza Wamarekani, wao ndio walioianzisha.
Kuna Wamarekani wengine hawafagilii hiyo Thanksgiving vilevile. Malcolm said they did not land on Plymouth Rock, Plymouth Rock landed on them.
Mtu anaanza kes kukuuliza "do you celebrate thanksgiving?", ukimwambia "yes" ndiyo anapata licence ya kusrma "Happy Thanksgiving". For all they know one could be a radical Muslim out of Philly, embracing separatist neo Nation of Islam doctrines and very American.
Do you, and let others do them.
Hata wakitaka kusheherekea Fourth of July instead of Ninth of December kivyao.
Labda wanawezeshwa "kwa msaada wa watu wa Marekani", utajuaje?
Utamlazimishaje mtu mwingine aishi unavyotaka wewe?
Unasema kweli? Basi utakuwa mshamba wewe:smile-big:
Honey...really?!!.
Na ile ya halloween ina maana gani? Nilishawahi ona picha watu flani hapa bongo wanaishobokea