Watanzania Na umarekani

Watanzania Na umarekani

...na kwa jinsi miafrika ilivyo mijitu ya hovyo mpaka dini za kuletewa zinawapagaisha na kuishia kuuana wenyewe kwa wenyewe, kweli miafrika ni mijitu ya hovyo sana hapa duniani!
 
Kwahiyo sipetu ni mjinga kumbe..nimeona kapost hiyo thenks givingi dina kule gram
 
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa

Kaka, wewe unashangaa Thanksgiving, watu wanasherehekea kuanzia Halloween mpaka Diwali! Jambo kubwa hapa ni kwamba sisi tulishakuwa brainwashed, sikukuu nyingi ni za kuiga, kuanzia Christmas, Idd, Mei Mosi, Uhuru, Jubilei sijui ya nini..Mimi sioni skukuu halisi ambayo ni asili yetu hata moja, ZOTE NI WIZI MTUPU!
 
Hata nywele tunataka za kizungu, ingawa za maiti lakini tunazinunua kwa bei mbaya sana, ingawa zinatunyonyoa nywele zetu za asili na kutufanya vipara lakini tuko tayari kujiharibu na kuzishonea vichwani mwetu ili tuwe kama wazungu. Tupo tayari tuunguwe vichwa vyetu kwa kemikali lakini tuonekane kama wazungu aka wa-maana.

Rangi tunataka za kizungu, tuko tayari kula makemikali ya kutudhuru na kututia makansa ili tuwe weupe, tuko tayari kunuka miili yetu kwa kujichubuwa kwa makemikali ili tuwe weupe.

Tuko tayari hata kumkosoa Mwenyeezi Mungu kwa kuabudu picha ya mzungu na kumfanya Mungu ili tunekane wa-maana.

Tumempa mzungu cheo cha Uungu kwa kumuita "Mzungu" (toa "z" hapo uone inakuwa nini).

Tumejidhalilisha na kuendelea kujidhalilisha kwa kujiita "Wa Afrika", neno linalotokana na "Afrit" na (aliyemuasi Mwenyeezi Mungu na baba la mashetani wote) kujinasibisha nae.

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu

Kwa hakika miafrika ndivyo tulivyo, tuko tayari kujifunika gubigubi kuacha vimacho tu ati ndiyo ustaarabu, tuko tayari kuowa wake wanne na kuwafungia ndani kama wafungwa kwa sababu ndiyo mila za waliostaarabika, tuko tayari kubadili lugha na kuongea za wenzetu ili tuonekane tuko karibu na Mungu!
Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa

pitia bible UTAKuta mambo HAYOHAYO
 
Afrika kuna wamarekani koko, wazungu koko, waarabu koko.....
 
Back
Top Bottom