Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 221
...na kwa jinsi miafrika ilivyo mijitu ya hovyo mpaka dini za kuletewa zinawapagaisha na kuishia kuuana wenyewe kwa wenyewe, kweli miafrika ni mijitu ya hovyo sana hapa duniani!
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa
Hata nywele tunataka za kizungu, ingawa za maiti lakini tunazinunua kwa bei mbaya sana, ingawa zinatunyonyoa nywele zetu za asili na kutufanya vipara lakini tuko tayari kujiharibu na kuzishonea vichwani mwetu ili tuwe kama wazungu. Tupo tayari tuunguwe vichwa vyetu kwa kemikali lakini tuonekane kama wazungu aka wa-maana.
Rangi tunataka za kizungu, tuko tayari kula makemikali ya kutudhuru na kututia makansa ili tuwe weupe, tuko tayari kunuka miili yetu kwa kujichubuwa kwa makemikali ili tuwe weupe.
Tuko tayari hata kumkosoa Mwenyeezi Mungu kwa kuabudu picha ya mzungu na kumfanya Mungu ili tunekane wa-maana.
Tumempa mzungu cheo cha Uungu kwa kumuita "Mzungu" (toa "z" hapo uone inakuwa nini).
Tumejidhalilisha na kuendelea kujidhalilisha kwa kujiita "Wa Afrika", neno linalotokana na "Afrit" na (aliyemuasi Mwenyeezi Mungu na baba la mashetani wote) kujinasibisha nae.
Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu
Nilikuwa napitia mitandao ya kijamii nikakuta mtu ameweka post well come to thanks giving dinner. Nilishtuka kulikuwa Na picha ya mapochopocho Na ile picha imepigwa eneo fulani DSM. Swali watu tunafahamu haswa hii sikukuu Na maana yake au sisi ni right peoples ni wrong country. Mimi nadhani watanzania tubabadilike kwani huwezi ukawa mmarekani Kwa Hali yoyote sikukuu ya thanks giving ni Kwa wamarekani tu ni kama vile tisa December usema wachina washeherekee tuacheni ujinga Na ni ushamba kusheherekea sikukuu isiyo kuwa yako sababu ya kuipenda America fungukeni sasa
Happy thanksgiving Money Stunna
Napenda kutoa shukrani kwa familia niliyonayo na afya njema!!!!