IoT
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 1,057
- 1,401
He is the best president ever baada ya Mwalimu Nyerere. Sio ile umeingia ofisi ya umma inakuwa kama umeingia nyumbani kwa mtu. Tanzania tunahitaji watu wa namna hii, maana kujiongoza hatuwezi. Tanzania need a ruler not a Leader. Magufuli tano tena.
NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Maana kuna watu hapa akili zao muda wote siasa tu, badala ya Taifa kwanza.
NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Maana kuna watu hapa akili zao muda wote siasa tu, badala ya Taifa kwanza.