Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,673
Naona baada ya kupunguzwa boom akili imekukaa sawa
Inabidi apumzike aisee.
Tumeteseka sana.
Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.
Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Corona aisee hii nchi bwana haiishi vituko.
Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.
Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.
Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.
Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.
Yapo mengi sana kwa kweli.
Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.
Na kuna watu wanataka atawale miaka milele Hawa ndo wasaliti wa inchi magu hii miaka mi5 Ina mtosha anatakiwa kupumzika
Acheni kumkweza huyu jamaa, Mkiruhusu uchaguzi huru na haki, watu wanaweza kumpa hata masanja mkandamizaji.Tatizo sio kumuondoa Magufuri madarakani,ishu ni kwamba bado hatujaona mtu bora wa kumpa nchi tofauti na yeye hasa hii 2020
Mniwie radhi, kura yangu ni heri nimpigie Harmorapa kuliko kumpigia huyu mtu
Kwa hiyo unanifokea au?Unatesekaje wewe wakati umbea unapiga kama kawaida
ngoja sasa kama itatokea akishinda tena uone mateso yataanza upyaaaaaa.Jamaa saa hizi anaongea kwa utaratibu saana mpaka tumeanza kumwamini tena. Dah
Kabisa.Acheni kumkweza huyu jamaa, Mkiruhusu uchaguzi huru na haki, watu wanaweza kumpa hata masanja mkandamizaji.
Dah sio kwa huyu kwa kweli.
Huna hojaWatanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.
Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Corona aisee hii nchi bwana haiishi vituko.
Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.
Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.
Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.
Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.
Yapo mengi sana kwa kweli.
Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.
Thibitisha.Huna hoja
Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.
Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Corona aisee hii nchi bwana haiishi vituko.
Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.
Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.
Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.
Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.
Yapo mengi sana kwa kweli.
Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.
Sawa hiyo ni haki yako kikatiba kumchagua unayeona anakufaa.Mkuu mbona tulishakubaliana kumsamehe na kumpa mi5 tena.
Aisee.Hata wewe mleta maada umebadilika hukuwa hivi daaa siamini yaaan
Usinifokee.Mtu yeyote anayetoa mtazamo hasi tu wakati kuna mazuri mengi tu hataki kuyasema ili watu wapime mzani unaangukia wapi mtu huyo ni fake. Na mtu asiyeweza ku conceptualize yaliyokuwa yanafanywa katika awamu ya nne na hatima ya taifa aidha ni mburura ama ni mtu anayelelewa .
Kwa heri.