Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, Magufuli wa mwaka 2020 siye huyu wa miaka ya nyuma

Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
 
Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
Vile vyama Sijui CWT wanakula hela za wanachama tu, kazi gani wanayoifanya zaidi ya kufyeka pesa monthly za wanyonge.?
 
Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.

Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Corona aisee hii nchi bwana haiishi vituko.

Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.

Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.

Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.

Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.

Yapo mengi sana kwa kweli.

Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.
Sasa we ni mende au Tundu? Type mbadala Basi wa jembe Magu! Sisi kwetu Magufuli ndio habari ya mjjni! Wengine tulishawafungia vioo! Au hujasiki kibwagizo...mkimchafuA tutamsafishaaaaa!?
 
Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
Tunajisikia fahari wafanyakazi kuchangia zaidi awamu hii kuleta maendelea na hata kuingia uchumi wa Kati hakika wafanyakazi tunapaswa tujipongeze! Miaka mwingine 5 tutaweza ipaisha Tz mpaka uchumi wa juu kabisa, tuendelee na jemedari wetu! Vita ni Vita tu mura!
 
Tatizo la Jf mada kama hii inaonekana imeletwa na m-chadema. Jambo amabalo sio la kweli hata kidogo. Kuna watu wengi sana humu hajawahi kuwa upinzani ila akitoa maoni yake juu ya nchi inavyoendeshwa anaonekana ni mpinzani tena anapewa na chama kabisa kuwa ni chadema.
 
Tunajisikia fahari wafanyakazi kuchangia zaidi awamu hii kuleta maendelea na hata kuingia uchumi wa Kati hakika wafanyakazi tunapaswa tujipongeze! Miaka mwingine 5 tutaweza ipaisha Tz mpaka uchumi wa juu kabisa, tuendelee na jemedari wetu! Vita ni Vita tu mura!
Sawa
 
He is the best president ever baada ya Mwalimu Nyerere. Sio ile umeingia ofisi ya umma inakuwa kama umeingia nyumbani kwa mtu. Tanzania tunahitaji watu wa namna hii, maana kujiongoza hatuwezi. Tanzania need a ruler not a Leader. Magufuli tano tena.
NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Maana kuna watu hapa akili zao muda wote siasa tu, badala ya Taifa kwanza.
Huenda haitabaki Taifa tena basi, tuibadilishe kuwa Ufalme...
 
Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
Haki zipi tena?
 
Tunajisikia fahari wafanyakazi kuchangia zaidi awamu hii kuleta maendelea na hata kuingia uchumi wa Kati hakika wafanyakazi tunapaswa tujipongeze! Miaka mwingine 5 tutaweza ipaisha Tz mpaka uchumi wa juu kabisa, tuendelee na jemedari wetu! Vita ni Vita tu mura!
I would not be surprised if you have never been employed in your life..
 
Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.

Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Corona aisee hii nchi bwana haiishi vituko.

Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.

Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.

Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.

Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.

Yapo mengi sana kwa kweli.

Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.

Hakuna cha ajabu hapa! Wanayemtaka, wewe humtaki na unayemtaka wewe, wao hawamtaki. You’ll never get people to agree unanimously on who should be their leader, because they have divergent and fluid ranking criteria. Kwa sababu hiyo, kiongozi anapatikana kwa kuangalia idadi ya wanaomuunga mkono vs wasiomuunga mkono. Wasiomuunga mkono wanaweza wakawa na idadi inayokaribia kulingana na idadi ya wanaomuunga mkono, lakini kwa sababu ya kanuni za kumpata kiongozi, mwenye support kubwa ndiye anakuwa kiongozi wa wote (wakiwemo wasiomuunga mkono).

Ndiyo democracy yenyewe hiyo.
 
Watu walijitolea na mpaka misaada ilitoka nchi rafiki na walioguswa na yale madhara mwisho wa siku tukasikia "KWANI MAFURIKO YAMELETWA NA SERIKALI?"
As a normal citizen niliumia sana
Subirini lipumba atamng'oa kwenye uchaguzi mkuu
 
Wengine wanalalamika moyoni tu... hata kama walinyooka kama kiberiti... just to be declared lower middle income country is not enough, we must see it's effects in our daily life..
Hakuna nchi isiyokuwa na maskini duniani. Infrastructure ndiyo maendeleo ya kweli
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom