Watanzania mnaotutambia kujenga kila kitu kwa hela ya ndani, mnadaiwa kila mmoja milioni moja

Halafu leo wanakuja watu ohhh, asibezwe!!mazuri aliyofanya atakumbukwa kwayo lakini hata mapungufu yake lazima yasemwe, tusipangiane!!legacy ya mtu huwa hailindwi kwa kutumia nguvu basi husimama yenyewe tu.
 
Yaani MATAGA!!wakati meko anaingia madarakani deni lilikuwa ni trilioni 35, leo hii ni karibia trilioni70!!eti hajakopa sana!!tatizo sio kukopa bali ni ulaghai aliokuwa akiwaaminisha wajinga kuwa kila kitu ni kwa pesa ya ndani yeye hakopi , na ndio maana mabeberu wanamuonea wivu kwani hakopi pesa zao!!!tumshukuru Mungu kwa kila jambo

Leta stats, stats hazidanganyi
 
La Kenya ukiligawanya kwa kila mkenya ni million 4, bado ukiangalia pesa zote hizo zimeenda wapi huoni

Hakuna muundombinu wowote wa maana uliopo Kenya Tanzania haupo lakini ipo miundombinu mingi ya maana ipo Tanzania Kenya haipo

Sasa Tanzania ikiamua kukopa kama ninyi si tutakua Singapore
Hebu taja hizo miundombinu zilizopo Tanzania na hazipo Kenya
 
Kudaiwa ndio ufahari wa tajiri.

Watanzania ni matajiri, tembeeni vifua mbele, tunajenga uchumi wetu kwa pesa za ndani.

Alikisika mtu mmoja kutoka kijiji cha Chato ambaye kwa sasa ni marehemu.
Ukidaiwa huku unaona kilichofanyika cha kimaendeleo ni sawa Kabisa. We agggre looking forward for one unit of electricity to cost less that 50 Tsh, which is less that Ksh 2.50. Currently the price for the same is more than Tsh 1000 or Ksh 50!
Tunafurahi kudaiwa kwa kuwa kazi iliyofanyika itatupunguzia mzigo! SGR ikikamilika pia itaharakisha usafiri na usafirishaji Wa mizigo kwa karibuni asilimia 50. Mungu akupe nini tena?
 
Ndugu zetu kila siku mnatutambia namna kwenu huko hela zipo na mnafanya vyote hivyo kwa hela ya ndani, ilhali taarifa zinaonyesha namna deni lenu limekua ghafla kwa miaka michache, heri sisi ambao huwa tunakiri kufanikisha hii miundo mbinu yote kwa mikopo japo pia uchumi wetu ni mara mbili ya wenu.

Nyie huko huimba kila aina ya nyimbo mnazoimbishwa, mkiambiwa hakuna corona basi nyote hivyo hivyo, mkiambiwa vinajengwa kwa hela ya ndani, nyote mnakenua.

Haya hapa kila Mtanzania anadaiw milioni moja
Deni limefikia 71,000,000,000,000
Gawa kwa Watanzania 60,000,000

Hapo kila mmoja kuanzia kwa vitoto vichanga mpaka kwa ajuza anadaiwa 1,183,000
Kuna baadhi hamtegemei kushika milioni moja kwa maisha yenu, haya mwenye hela yake aanze kulipa.

--------------------------------------------

Tanzania’s national debt, currently at Tsh71.4 trillion ($30.63 billion), is increasing, and the central bank says the dollar's depreciation against other currencies, in which the debt is denominated, is to blame, particularly the Special Drawing Rights (SDRs).

According to the latest Bank of Tanzania monthly economic review for December 2020, external debt stock was $23.8 billion at the end of November 2020, representing an increase of $145.5 million from October 2020 and $1,496.1 million from November 2019.

By the end of October 2020, external debt stood at $23.668 billion: In October 2019, debt from external borrowing was $22.317 billion.


Noma Sana tulidanganywa sana na MWENDAZAKE.
 
Si ndo hizo hela tunajengea,kununua mandege na kujiibia badala ya kulipa deni ambalo linakua tu kwa riba za ajabu ajabu

Sasa nyie mnakopa kabla hamjatumia mnaiba na deni linazidi kukua tu
 
Ndugu zetu kila siku mnatutambia namna kwenu huko hela zipo na mnafanya vyote hivyo kwa hela ya ndani, ilhali taarifa zinaonyesha namna deni lenu limekua ghafla kwa miaka michache, heri sisi ambao huwa tunakiri kufanikisha hii miundo mbinu yote kwa mikopo japo pia uchumi wetu ni mara mbili ya wenu.

Nyie huko huimba kila aina ya nyimbo mnazoimbishwa, mkiambiwa hakuna corona basi nyote hivyo hivyo, mkiambiwa vinajengwa kwa hela ya ndani, nyote mnakenua.

Haya hapa kila Mtanzania anadaiw milioni moja
Deni limefikia 71,000,000,000,000
Gawa kwa Watanzania 60,000,000

Hapo kila mmoja kuanzia kwa vitoto vichanga mpaka kwa ajuza anadaiwa 1,183,000
Kuna baadhi hamtegemei kushika milioni moja kwa maisha yenu, haya mwenye hela yake aanze kulipa.

--------------------------------------------

Tanzania’s national debt, currently at Tsh71.4 trillion ($30.63 billion), is increasing, and the central bank says the dollar's depreciation against other currencies, in which the debt is denominated, is to blame, particularly the Special Drawing Rights (SDRs).

According to the latest Bank of Tanzania monthly economic review for December 2020, external debt stock was $23.8 billion at the end of November 2020, representing an increase of $145.5 million from October 2020 and $1,496.1 million from November 2019.

By the end of October 2020, external debt stood at $23.668 billion: In October 2019, debt from external borrowing was $22.317 billion.

Rais mwenda zake aliamini sana katika cheap popularity, kusema ukweli kwake ilikuwa haramu japo ilijinasibu kwa kelele nyingi kwamba ni msema kweli, sasa nchi iko katika lindi la madeni tutakoma!
 
hv kwenu kenya rapid bus transit ipo?
ktk kada ya afya mna hospitali kuu ya kitengo cha moyo na kansa?
Unongea ni kama hakuna hospitali chini kenya zinazotoa matibabu za cancer na moyo. Jielimishe kidogo kaka
 
Unongea ni kama hakuna hospitali chini kenya zinazotoa matibabu za cancer na moyo. Jielimishe kidogo kaka
Nimeuliza wewe leta jibu.
Sijasema km hakuna na sijasema km zipo maana sijui .
Ila nauliza tu broo ili nijue km zipo maana kwa navyojua mm hospitali kubwa ya moyo na ilofanikisha upasuaji mwingi huu ukanda wetu ni JKCI ya muhimbili
 
Nimeuliza wewe leta jibu.
Sijasema km hakuna na sijasema km zipo maana sijui .
Ila nauliza tu broo ili nijue km zipo maana kwa navyojua mm hospitali kubwa ya moyo na ilofanikisha upasuaji mwingi huu ukanda wetu ni JKCI ya muhimbili
Pitia hii article kidogo kwanza uchangamshe ubongo
20210311_111953.jpg
 
Nimeuliza wewe leta jibu.
Sijasema km hakuna na sijasema km zipo maana sijui .
Ila nauliza tu broo ili nijue km zipo maana kwa navyojua mm hospitali kubwa ya moyo na ilofanikisha upasuaji mwingi huu ukanda wetu ni JKCI ya muhimbili
Kenya hatuna hospitali ya cancer wala ya kufanya upasuaji wa moyo. Happy now?
 
Kenya hatuna hospitali ya cancer wala ya kufanya upasuaji wa moyo. Happy now?
Ttttttttt duh hii hatari.
Mie sijataka mabishano nimetaka kujua na nimeuliza kiupole tu muheshimiwa,ila unaonekana huna busara na hujakomaa kiakili wacha nikuache.
Mie ni miongoni mwa watu wanaotamani kufika Kenya kuijua ikoje hivi mgeni anaetaka ijua kwenu ndivyo utakavyomjibu??
Kwaheri ndugu.
 
Pitia hii article kidogo kwanza uchangamshe ubongoView attachment 1895952
sijakwambia ulete article mm.
mnakuza mambo ilhali kitu chepesi mie nimeuliza na nilitaka jibu la ndio au hapana.
HABARI ZENU WAKENYA SIZIAMINIGI MSHA FABRICATE SANA HABARI NYIE.
NYIE SI NDIO MLIOTANGAZA OLDUVAI GORGE IPO KENYA ??
NITAAMINIJE HABARI ZA WATU KM NYIE?
 
Back
Top Bottom