MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,410
- Thread starter
- #21
Noma sana
Profesa Lipumba: Ukitumia vigezo vya dunia nusu ya Watanzania (watu milioni 28) Wanaishi katika ufukara uliopitiliza
Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amesema ukitumia vigezo vya dunia kutathmini hali ya maisha ya watanzania basi zaidi ya nusu ya watanzania ni mafukara wa kutupwa. Lipumba amesema zaidi ya watanzania milioni 28 wanaishi kwa umaskini uliopitiliza. Ramadhan Kareem!
www.jamiiforums.com